Fursa Singida kwa sisi Diaspora

Njoo ufanye biashara ya mafuta ya alizeti
Nenda kijjn nunua alizeti au tafta dalali wa kukutafutia mzigo kisha unaenda kulipia
Changamoto zipo ila hyo million 5 ni kubwa tu pia anza pale msim wa alizeti unapoanza kwa sasa hivi mbegu hamna kijijini
Nakutakia safar njema
 
I can be the one who can make you to be rich but it needs torelance, ukitaka utajiri wa ghafla haupo , you need almost 7months to have nine million in your pocket ,you are welcome kama itakupendeza ,contact 0769112316 nikupatie mchongo ambao by mwezi wa Pili hadi wa NNE utaufanya then baada ya hapo utakuja niambia ,the only issue is that uwe tayari kufanya kazi kijijini au uwe na MTU mzoefu na mtaalam wa kazi hiyo.
 
Muuza simu ulifanikiwa kufanya nini huko kwa watafuna alizeti mrejesho pleas!
 
Diaspora unarudi nyumbani bila kujua majibu ya vitu kama hivi, na mtaji wa hela ya kununulia pafyumu milioni 5, unatudharaulisha Diaspora wa ukweli.

Wewe ulikuwa Diaspora nchi gani?

Somalia au Mozambique?
 
Diaspora unarudi nyumbani bila kujua majibu ya vitu kama hivi, na mtaji wa hela ya kununulia pafyumu milioni 5, unatudharaulisha Diaspora wa ukweli.

Wewe ulikuwa Diaspora nchi gani?

Somalia au Mozambique?
Mtaji hata ukiwa mdogo ni Mtaji mshauri Diaspora mwenzako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…