Habari jf.
Kuna watanzania wengi wana pesa za kutosha na hawajui wawekeze wapi, Jibu ni hili Mtaani kuna graduates wengi wasio na mitaji na wana mawazo mazuri ya kibiashara.
Fursa ni kwako wewe mwenye pesa na hujui ufanye nini wakopeshe vijana kwa riba nafuu na waweke bond (Dhamana) vyeti vyao vya masomo,hakika ni moja biashara nzuri.
Hakika hakuna graduate atakaye kimbia deni na kuacha cheti chake labda kiwe na zero.Lakini pia wewe mkopeshaji si vema kukopesha pesa nyingi napendekeza maximum iwe 500,000/=. Kwa kufanya hivyo tutapunguza threads za watu kuomba kazi na pia tutaongeza wajasiriamali wengi. (Ewe mjasiriamali anzia sokoni).
Wakopeshaji karibuni na graduates pia karibuni
Uzi tayari.
Sent using
Jamii Forums mobile app