Prisoner of hope
JF-Expert Member
- Aug 9, 2017
- 2,440
- 2,572
mpe likeHii ndio roho ya utajiri, ambayo tulinyimwa wabongo wakapewa wachina.
Safi sana broh....God bless you.
Sent using Jamii Forums mobile app
unaweza kufanya sole propriator si lazima uwe na company .kuhusu vibali hapa kwetu inategemea na bidhaa unatopeleka kwenye upande wa vyakula ama vinywaji havina tatuzo hapa kwetu lakn pia upande wa comoro hawana shida kwenye kuingiza bidhaa ila tu cha umuhimu ni lazima uwe na Visa ya biashara na lessen zao amabzo sio shida kupata ndan ya siku 3 tuuvip kuhusu vibali vya kuingiza bdhaa huko na hapa kwetu kutoa mzigo?
pia je ni lazima ue na kampuni au unaweza fanya as sole propriator?
Sent using Jamii Forums mobile app
lak 7 ivi! labda kama unataka business class bas 1m ma zaidkama M1 go and return....sina hakika sana
ndio ivyo mkuu baadae wanalalamika Hawaoni fursanyuzi tamu kama hizi zinakosa wachangiaji ila ukienda MMU nyuzi za ajabu wachangiaji laki
Asante mkuu nikitaka nianze biashara ya kitunguu naitajika niwe na mtaji kiasi gani???
Fursa zipo nyingi sana ila sisi watanzania ni namba moja kwa kulalamika na kutoa lawama
Please naomba no yako nikupigie,Yangu 0712660713mm ni mfanyabiashara tz-comoro ..nilianza mwaka Jana lakn mafaniko ni makubwa Kwan kuna fursa nying sana sababu visiwa vya comoro 96% wanategemea vitu pamoja na chakula kutoka nje..ivyo hupelekea kuwa na demand kubwa ya mahitaj hasa vyakula lakn changamoto hasa inayopelekea biashara ya comoro kusua sua ni usafirishaji lakn fursa ni nying sana pia changamoto nyingne ni mmoja hasa kwa watanzania hamna umoja kabisa wa kibiashara Kwan hata kwenye upende wa usafirishaji wacomoro ndio wanakodi meli tena hapa Tanzania na kijipatia pesa nzur sana wakat tunauwezo wa kujikusanya wafanya biashara na kukodi chombo tutafanya supply kwa wakati ...sababu kuna kipind comoro mzima haina kitunguu ama vinywaj kama juice sababu tu hamna meli za kwenda...lakn fursa ni nying sana
Sent using Jamii Forums mobile app
kwanza kabisa tukija kwenye upende wa pesa yao : comoro wanatumia Euro na comoro France (kmf) .pesa Yao ni mara 5 ya pesa yetu yan kmf 1 = Tsh 5 ..na kwa upende wa euro pia wametuzi kwao Euro 1= KMF 500 wakat kwetu Euro 1= Tsh 2,600/= iyo hupelekea biashara kuwa na faida kubwa ...turud kwenye bidhaa zinazoitajima sana ni:
mboga mboga kama vitunguu,hoho,carrot,cabbage
nyama ya ng'ombe/mbuzi
Ng'ombe / wazima
juice hasa za Azam
maji
magimbi
magodolo
fenichers
nguo but hasa nguo za. ndan
matunda
tissue na vitu ving tuu ....
Sent using Jamii Forums mobile app
Magu angenunua cargo airplane si ungekuta tunakuwa na usafiri wa uhakika wa kuspply vitu huko aiseeBiashara na Comoro inachangamoto sana, hawa jamaa hawaongei kiswahili ni kifaransa,
pili hakuna usafir wakueleweka hasa usafir wa mizgo. Mahitaji yao mengi wanayapata kupitia zanzibar ambao wanatumia majahazi kupeleka vitu huko, napia wadau wanalalamika kua bahari yao inachangamoto ya mvua zenye upepo unaosababisha mawimbi makubwa na vimbunga.
Nchi yao yote nikama ufukwe hawawez kulima chochote kila ktu knahitajika kwao nigarama sana. Bei ya kilo ya nyama au nyanya inaweza kufika mara 5 yabei ya tz.
Kitamaduni hawa jamaa wanafanana sana nawazanzibar/watu watanga(washiraz) wengi ni waislam nimchanganyiko wa wabantu na waarabu ila walitawaliwa na waarabu na wafaransa. Wengi wanandugu uarabuni na ufaransa ambao ndo source kubwa yakipato kwao.
Vitu vyao vingi wanaagiza kutoka ufaransa, pakistan, china na kenya sababu usafir wakueleweka wa anga.
Vitu kma mchele mafuta nguo, mashine. Mbogomboga nyama navitu vinginevidogo dogo wanapata kutoka zanzibar
Sent using Jamii Forums mobile app
mm ni mfanyabiashara tz-comoro ..nilianza mwaka Jana lakn mafaniko ni makubwa Kwan kuna fursa nying sana sababu visiwa vya comoro 96% wanategemea vitu pamoja na chakula kutoka nje..ivyo hupelekea kuwa na demand kubwa ya mahitaj hasa vyakula lakn changamoto hasa inayopelekea biashara ya comoro kusua sua ni usafirishaji lakn fursa ni nying sana pia changamoto nyingne ni mmoja hasa kwa watanzania hamna umoja kabisa wa kibiashara Kwan hata kwenye upende wa usafirishaji wacomoro ndio wanakodi meli tena hapa Tanzania na kijipatia pesa nzur sana wakat tunauwezo wa kujikusanya wafanya biashara na kukodi chombo tutafanya supply kwa wakati ...sababu kuna kipind comoro mzima haina kitunguu ama vinywaj kama juice sababu tu hamna meli za kwenda...lakn fursa ni nying sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee ng'ombe wanaochukuaga ni wale wenye mapembe makubwaaaa....naonaga kuna sehemu mnadani wakomoro wananunua hao ng'ombe mkuu wanasafirishwa comorokwanza kabisa tukija kwenye upende wa pesa yao : comoro wanatumia Euro na comoro France (kmf) .pesa Yao ni mara 5 ya pesa yetu yan kmf 1 = Tsh 5 ..na kwa upende wa euro pia wametuzi kwao Euro 1= KMF 500 wakat kwetu Euro 1= Tsh 2,600/= iyo hupelekea biashara kuwa na faida kubwa ...turud kwenye bidhaa zinazoitajima sana ni:
mboga mboga kama vitunguu,hoho,carrot,cabbage
nyama ya ng'ombe/mbuzi
Ng'ombe / wazima
juice hasa za Azam
maji
magimbi
magodolo
fenichers
nguo but hasa nguo za. ndan
matunda
tissue na vitu ving tuu ....
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa kuna madini mazuri sana. Wengine tunafatilia naamini turaokota kitu.nyuzi tamu kama hizi zinakosa wachangiaji ila ukienda MMU nyuzi za ajabu wachangiaji laki