Fursa ya biashara ndani ya visiwa vya Comoro

Fursa ya biashara ndani ya visiwa vya Comoro

Kama una hela nenda kule kwa wiki moja au mbili ufanye uchunguzi wako, bidhaa zinazohitajika, wateja wako, bei, gharama za kusafirisha.

Ukirudi elimisha watu unaowaamini umoja ni nguvu.
ooh sorry bro inatakiwa upate hint kidogo ili uendapo uende na kitu ambacho hakina largage kubwa kitakupa nauli au cover some costs so kwenda mikono mitupu Kama mtalii...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
unachotakiwa ni ww kutenga muda wa kwenda kutazama fursa ..utatumia usafir wa ndege ukiwa na Visa yako

Sent using Jamii Forums mobile app
sorry bro mimi ni mfanyabiashara pia napeleka vitu vyangu Zambia na Congo...kiuhalisia huwezi kwenda tu sehem kuangalia fursa mikono mitupu! unaenda na kimzigo kidogo Cha kukusupport vinginevyo unaweza jikuta mtaji unafanyia tour ya kuangalia fursa... In this field of hustling every point is bizness hvyo ni bora mtu akijua hata kitu ambacho halipii largage kubwa akabeba ili ktk ile research yake anakuwa na Cha kucover some expenses.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa mkuu, Lakini unaonaje ukiweka mambo sawa hapa au tuyajenge PM maana hiyo nauli ya kwenda na kurudi huko ukichanganya na survey mbona nao ni mtaji tosha, sasa vipi ukienda bure
bure broo ha ha usije ukaolewa! kikubwa ipate details za uhakika na uwe na mtu aliyepo kule akwambie njoo na kitu fulani ilo usikate mtaji upate hela ya kucover nauli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
bure broo ha ha usije ukaolewa! kikubwa ipate details za uhakika na uwe na mtu aliyepo kule akwambie njoo na kitu fulani ilo usikate mtaji upate hela ya kucover nauli

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekusudia kwenda ''bure'' yaani bila bidhaa yoyote kwenda kufanya kwanza utafiti. Kwenda bure na kurudi bure.
Tulia kidogo unaposoma post ambayo unataka kuijibu. Ila ahsante
 
Mimi ni mfanyabiashara Tanzania na Comoro. Nilianza mwaka jana lakini mafaniko ni makubwa kwan kuna fursa nyingi sana sababu visiwa vya Comoro 96% wanategemea vitu pamoja na chakula kutoka nje..

Hivyo hupelekea kuwa na mahitaji kubwa ya hasa vyakula lakini changamoto hasa inayopelekea biashara ya Comoro kusua sua ni usafirishaji lakini fursa ni nyingi sana pia changamoto nyingne ni mmoja hasa kwa Watanzania hamna umoja kabisa wa kibiashara kwan hata kwenye upende wa usafirishaji Wacomoro ndio wanakodi meli tena hapa Tanzania na kijipatia pesa nzuri sana

Wakati tunauwezo wa kujikusanya wafanya biashara na kukodi chombo tutafanya supply kwa wakati sababu kuna kipindi Comoro nzima haina kitunguu ama vinywaj kama juice sababu tu hamna meli za kwenda...lakini fursa ni nying sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Nibeep 0769026543

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante mkuu nikitaka nianze biashara ya kitunguu naitajika niwe na mtaji kiasi gani???

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu kwenye mtaji hapo sjajua couse inategemea na bei ya vitunguu unaponunua si unajua huwa havina bei maalumu ! ninachofahamu ukipeleka comoro kule wanauza kwa kg kawauz kwa magunia kama uku tz vikiwa ving sokon bei inakuwa kmf 400 sawa na tsh 2000 per kg bei ya Jumla ambapo uku tz ndio manavuna vitunguu mnaunua Guinea elf 50 AMA 70 Kule unapata lak 2 kwa Gunia vikiadimika sokon bei inakuwa zaid ya hapo na mara nying vinaadimika .kuna kipindi gunia moja la kitunguu linafika lak 4

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu kwenye mtaji hapo sjajua couse inategemea na bei ya vitunguu unaponunua si unajua huwa havina bei maalumu ! ninachofahamu ukipeleka comoro kule wanauza kwa kg kawauz kwa magunia kama uku tz vikiwa ving sokon bei inakuwa kmf 400 sawa na tsh 2000 per kg bei ya Jumla ambapo uku tz ndio manavuna vitunguu mnaunua Guinea elf 50 AMA 70 Kule unapata lak 2 kwa Gunia vikiadimika sokon bei inakuwa zaid ya hapo na mara nying vinaadimika .kuna kipindi gunia moja la kitunguu linafika lak 4

Sent using Jamii Forums mobile app
Natamani nipeleke kitunguu kwaajili ya kusoma Raman nipe maelekezo pm nikifika navyo kkoo nafanyaje nivitungu Aina gani swaumu au maji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtaji kama shillings ngapi niandae?
My sister starting a bussiness capital should never ever stop you in your tracks pls, just find out what those people need, the quality and quantities,wheather they need like foodstuff in raw form or proccessed and such, then see how much taxes bussiness people are charged(taxes are very vital part of bussiness haswa in a foreing land) after going thro all this put it on a paper,then look for funds were you have what i call bussiness fesibility study and seen the profitability of it, just float that , talk to banks or individuals even here at JF and we can help in capital pls, barikiwa sana
 
Kama una hela nenda kule kwa wiki moja au mbili ufanye uchunguzi wako, bidhaa zinazohitajika, wateja wako, bei, gharama za kusafirisha.

Ukirudi elimisha watu unaowaamini umoja ni nguvu.
for sure my sister you can get all tat info from google pls, you only need a simple command of english
 
Back
Top Bottom