Fursa ya biashara ndani ya visiwa vya Comoro

Fursa ya biashara ndani ya visiwa vya Comoro

Jamani mkipata fursa huko msinisahau na mimi kwa yeyote anaehitaji mtu wakumbebea magunia nipo tiyar umoja ni nguvu 🤣🤣🤣
 
Habari wakuu, kama nilivyoahidi, na kaa mtu wenye kutimiza ahadi, nimefanya research, nafikiri inaitwa utafiti na swahili kuhusu biashara hapo comoros na hii ndio ukweli,comoros kwa mijibu wa idara yao ya biashara, hawajakua na statics za 2018, lakini wako na za 2017, na hii ndio mambo yalivyo,comoros mwaka wa 2017 iliingiza nchini bidhaa zenye thamani ya dollar 295 million za marekani,Na kati ya bidhaa hizo asilimia 30% zilitoka tanzania, Nataka nitaje zile vitu wanacomoro waliingiza kwao toka tanzania, RICE,SUGAR,POUTY MEAT AND PRODUCTS,WHEAT AND ITS PRODUCTS, FISH,CEMENT,( yaani sukari, cementi, unga ngano na vitu zake, samaki kuku na bidhaa zake na mafuta ya kula) katika hio mwaka wa 2017, comoros iliingiza bidhaa za dollar million $87 toka hapa kwetu tz, na nafikiri statistics za 2018 nikizipata nitaweka na lazima zitakuwa zimepita hio ya $87m us dollars, La muhimu na zuri zaidi ni kuwa comoros ni COMESA MEMBER( najua wengi munajua maana ya comesa) kwahivyo ni advantage kubwa sana kwa sisi watz,Na huhitaji capital kubwa kufanya biashara na comoos tho kuna logistics issues but hio can be dealt with, ukiwa na mtaji wa kuanzia $5-10,000 yaani dola za marekani kati ya 3-10,000 uko sawa kabisa,mimi weyewe sifanyi biashara na comoros, lakini naweza aza later this year on a much larger scale, lakini kaa kuna mtu anahitaji either maelezo zaidi, musaada au lolote kuhusu hapo comoros, jisikie huru to inbox me, have a very blessed weekend
 
Mkuu vip namna ya kuingia Commoros, watu wake wapoje, tamaduni zao, mfn nikitoka apa bongo na bidhaa zangu naenda kushukia wapi, ulinzi kwao upoje, namna ya kupata channel nzuri ya kuwasiliana na wateja(channels)...

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wako poa,sasa kwa kusuka sijui unataka kuwa unatumia usafiri gani, unataka peleka bidhaa gani,na mambo kaa hayo, lakini unajua afrika ulinzi ni hivyo hivyo mkuu, na wewe culture yao yanini mkuu, si wewe ni biashara, unaenda unapeleka bidaa, unalipwa kisa unarudi hapa kwetu tz, lakini sio watu wabaya mkuu
 
Kwa wenye mitaji yenu na mikakati mizuri kazi kwenu,mdau kaelezea vzr.

Sent from Nokia 7 Plus
 
Unafikiri Unaweza kunisaidia tuka process vibali na hizo Logistics nyingine?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa makini unapotaka kudeal na mtu katika masuala ya biashara. Fanya utafiti zaidi wa soko na umfahamu vyema unaetaka kufanya nae muungano wa kikazi au kukusaidia.

Natoa angalizo tu ili tuende sawa, na kwa mafanikio.
 
Mkuu nashukuru sana kwa maelezo yako. Mimi nataka nifanye biashara ya nyama kwani wacomoro wananunua nyama zaidi Brazil. Nafikiri logistics za hapa TZ na Comoros ni nyepesi kuliko Brazil. Please kama hutojali naomba ufafanuzi kidogo namna ya kulifikia soko la nyama.
 
Kuwa makini unapotaka kudeal na mtu katika masuala ya biashara. Fanya utafiti zaidi wa soko na umfahamu vyema unaetaka kufanya nae muungano wa kikazi au kukusaidia.

Natoa angalizo tu ili tuende sawa, na kwa mafanikio.
Asante kwa hili, ila najua mawazo yako iko wapi ni vile hutaki kuyataja, lakini nikkujulize kidogo tu, mimi hata siwezi itisha yeye hata centi moja, kaa ni vibali anataka nitampa tu adress ya hizo ofisi, hatua za kuchukua mpaka azipate hizi vibali, hata sitaki kuonana nae uso kwa uso, ile tu nitamwambie enda ofisi fulani, hakikisa una hiki na kile na mambo kaa haya, sitaki kaa nilivyosema hata kukutana nae, to najua your suggestion has helped a lot of people who fall into the trap of being conned of their hard earned cash, be blessed mkuu
 
Mkuu nashukuru sana kwa maelezo yako. Mimi nataka nifanye biashara ya nyama kwani wacomoro wananunua nyama zaidi Brazil. Nafikiri logistics za hapa TZ na Comoros ni nyepesi kuliko Brazil. Please kama hutojali naomba ufafanuzi kidogo namna ya kulifikia soko la nyama.
oky kweli hapa kwetu ni karibu kuliko toka brazil, nitaangalia kwa wizara yao ya biashara masharti ya kuingiza nyama toka tz, na kisa nitakupa jibu, ila ujue biashara kaa hio inahitaji quick and very safe(healthwise) logistics, lakini nakuahidi i will find out for sure, nice weekend mkuu
 
Habari wakuu, kama nilivyoahidi, na kaa mtu wenye kutimiza ahadi, nimefanya research, nafikiri inaitwa utafiti na swahili kuhusu biashara hapo comoros na hii ndio ukweli,comoros kwa mijibu wa idara yao ya biashara, hawajakua na statics za 2018, lakini wako na za 2017, na hii ndio mambo yalivyo,comoros mwaka wa 2017 iliingiza nchini bidhaa zenye thamani ya dollar 295 million za marekani,Na kati ya bidhaa hizo asilimia 30% zilitoka tanzania, Nataka nitaje zile vitu wanacomoro waliingiza kwao toka tanzania, RICE,SUGAR,POUTY MEAT AND PRODUCTS,WHEAT AND ITS PRODUCTS, FISH,CEMENT,( yaani sukari, cementi, unga ngano na vitu zake, samaki kuku na bidhaa zake na mafuta ya kula) katika hio mwaka wa 2017, comoros iliingiza bidhaa za dollar million $87 toka hapa kwetu tz, na nafikiri statistics za 2018 nikizipata nitaweka na lazima zitakuwa zimepita hio ya $87m us dollars, La muhimu na zuri zaidi ni kuwa comoros ni COMESA MEMBER( najua wengi munajua maana ya comesa) kwahivyo ni advantage kubwa sana kwa sisi watz,Na huhitaji capital kubwa kufanya biashara na comoos tho kuna logistics issues but hio can be dealt with, ukiwa na mtaji wa kuanzia $5-10,000 yaani dola za marekani kati ya 3-10,000 uko sawa kabisa,mimi weyewe sifanyi biashara na comoros, lakini naweza aza later this year on a much larger scale, lakini kaa kuna mtu anahitaji either maelezo zaidi, musaada au lolote kuhusu hapo comoros, jisikie huru to inbox me, have a very blessed weekend
Sikubaliani na utafiti wako kibiashara, huu utafiti wa kwenye internet unasaidia kwenye travelling tu kama flight na hotel.

Seriously bussiness ya kupeleka physical sehemu ni lazima uwe na physical research na ujuwe demand na connection ya straigh buyer.

Kuna jamaa yangu anapiga pesa mbaya kwa kuuza mapembe ya ng"ombe Nairobi tena mapembe mengine hanunui anayaokota tu Vingunguti.

Imagine ni mwana lakini hanipi chimbo lake Nairobi, kwahiyo point yangu kubwa kwenye biashara mtu muhimu ni buyer, wakulima wa mbaazi wanaliewa hili vizuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante kwa hili, ila najua mawazo yako iko wapi ni vile hutaki kuyataja, lakini nikkujulize kidogo tu, mimi hata siwezi itisha yeye hata centi moja, kaa ni vibali anataka nitampa tu adress ya hizo ofisi, hatua za kuchukua mpaka azipate hizi vibali, hata sitaki kuonana nae uso kwa uso, ile tu nitamwambie enda ofisi fulani, hakikisa una hiki na kile na mambo kaa haya, sitaki kaa nilivyosema hata kukutana nae, to najua your suggestion has helped a lot of people who fall into the trap of being conned of their hard earned cash, be blessed mkuu
Very true mkuu kwani lengo ni kufikia mafanikio kwa hiyo is better ku-approach hii kitu with all precautions.

Wengi huwa wanajiachia for such opportunity wakisahau fraudstars hutega very attractive opportunity kupiga.

Nashukuru tukitenda vyema kwa mafanikio ya wahusika. Ila tambua simaanishi nalenga wale wanaotaka kutumia hii fursa kufanya utafiti zaidi kianzia hapo ulipoishia na kujua nani mshirika mwaminifu.
 
Asante kwa hili, ila najua mawazo yako iko wapi ni vile hutaki kuyataja, lakini nikkujulize kidogo tu, mimi hata siwezi itisha yeye hata centi moja, kaa ni vibali anataka nitampa tu adress ya hizo ofisi, hatua za kuchukua mpaka azipate hizi vibali, hata sitaki kuonana nae uso kwa uso, ile tu nitamwambie enda ofisi fulani, hakikisa una hiki na kile na mambo kaa haya, sitaki kaa nilivyosema hata kukutana nae, to najua your suggestion has helped a lot of people who fall into the trap of being conned of their hard earned cash, be blessed mkuu

Samahani mkuu wewe ni Arab?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
oky kweli hapa kwetu ni karibu kuliko toka brazil, nitaangalia kwa wizara yao ya biashara masharti ya kuingiza nyama toka tz, na kisa nitakupa jibu, ila ujue biashara kaa hio inahitaji quick and very safe(healthwise) logistics, lakini nakuahidi i will find out for sure, nice weekend mkuu
Nashukuru sana mkuu kwa concern yako. Usisite kunipatia mrejesho.
Weekend njema.
 
Nashukuru sana mkuu kwa concern yako. Usisite kunipatia mrejesho.
Weekend njema.
pls uta inbox mimi ndio niwe nakujuza vile nimepata taarifa au hatua niliyofika mkuu, na hongera kwa wazo lako bora, barikiwa
 
Back
Top Bottom