Fursa ya biashara ndani ya visiwa vya Comoro

Fursa ya biashara ndani ya visiwa vya Comoro

Haaaaa no my dear sister, i am an enterprenuer, i am just trying to help someone who needs help, either in ideas, knowledge or otherwise, otherwise i am an african enterprenuer, based in EU, be blessed and thanks

You sounds like someone I know!

Let me save this I hope you'll be helpful in the future.
Thank you


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Very true mkuu kwani lengo ni kufikia mafanikio kwa hiyo is better ku-approach hii kitu with all precautions.

Wengi huwa wanajiachia for such opportunity wakisahau fraudstars hutega very attractive opportunity kupiga.

Nashukuru tukitenda vyema kwa mafanikio ya wahusika. Ila tambua simaanishi nalenga wale wanaotaka kutumia hii fursa kufanya utafiti zaidi kianzia hapo ulipoishia na kujua nani mshirika mwaminifu.
Very true sir, iko watu wengine ambao husema najuana na fulani leta hela hii nitakusaidia na kisa wanapotea gizani, hio ni nduruma kubwa kabisa hata mbele ya macho ya mungu na pia binadamu wenzio, na hii hutokea sana, watu wengine ni wavivu kwa kufanya research, na ndio wanakuwa conned of their money, na hata hii kidogo nimeeleza pia inahitaji research zaidi, vile nimefanya ni kaa kuambia mtu ukitaka enda mwanza to ka dar fuata hii mbarambara , lakini huko jiani sijui utakuta nini, sasa hio utakuta nini ndio mtu anatakiwa kufanya more research, sasa watz wasajua vile vitu comoros wanahitaji toka kwetu, sasa ni wajibu ya sisi watz tufanye connections na hao watu, na kisa tuaze biashara na wao, in 2017 comoros imported 30% ya bidhaa toka nje ya nchi kutoka hapa kwetu tz, na tunaweza fanya hio ikuwe hata 50%, weekend njema
 
Sikubaliani na utafiti wako kibiashara, huu utafiti wa kwenye internet unasaidia kwenye travelling tu kama flight na hotel.

Seriously bussiness ya kupeleka physical sehemu ni lazima uwe na physical research na ujuwe demand na connection ya straigh buyer.

Kuna jamaa yangu anapiga pesa mbaya kwa kuuza mapembe ya ng"ombe Nairobi tena mapembe mengine hanunui anayaokota tu Vingunguti.

Imagine ni mwana lakini hanipi chimbo lake Nairobi, kwahiyo point yangu kubwa kwenye biashara mtu muhimu ni buyer, wakulima wa mbaazi wanaliewa hili vizuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
SIR YOU ARE FULL ENTILTED TO YOUR OWN OPINION PLEASE, barikiwa, but pls note i was giving a brief overview of the situation, and mind you in todays world of internet where the world has became a village, i dont need to travel to tz to know that tz has a serious shortage of edible oil, and one can grow palm oil in large scale in kigoma and do brisk bussiness i that field by putting up a palm oil ptroccesing plant at benjamin mkapa special economic zone in kigoma ujiji, barikwa
 
Habari wakuu, kama nilivyoahidi, na kaa mtu wenye kutimiza ahadi, nimefanya research, nafikiri inaitwa utafiti na swahili kuhusu biashara hapo comoros na hii ndio ukweli,comoros kwa mijibu wa idara yao ya biashara, hawajakua na statics za 2018, lakini wako na za 2017, na hii ndio mambo yalivyo,comoros mwaka wa 2017 iliingiza nchini bidhaa zenye thamani ya dollar 295 million za marekani,Na kati ya bidhaa hizo asilimia 30% zilitoka tanzania, Nataka nitaje zile vitu wanacomoro waliingiza kwao toka tanzania, RICE,SUGAR,POUTY MEAT AND PRODUCTS,WHEAT AND ITS PRODUCTS, FISH,CEMENT,( yaani sukari, cementi, unga ngano na vitu zake, samaki kuku na bidhaa zake na mafuta ya kula) katika hio mwaka wa 2017, comoros iliingiza bidhaa za dollar million $87 toka hapa kwetu tz, na nafikiri statistics za 2018 nikizipata nitaweka na lazima zitakuwa zimepita hio ya $87m us dollars, La muhimu na zuri zaidi ni kuwa comoros ni COMESA MEMBER( najua wengi munajua maana ya comesa) kwahivyo ni advantage kubwa sana kwa sisi watz,Na huhitaji capital kubwa kufanya biashara na comoos tho kuna logistics issues but hio can be dealt with, ukiwa na mtaji wa kuanzia $5-10,000 yaani dola za marekani kati ya 3-10,000 uko sawa kabisa,mimi weyewe sifanyi biashara na comoros, lakini naweza aza later this year on a much larger scale, lakini kaa kuna mtu anahitaji either maelezo zaidi, musaada au lolote kuhusu hapo comoros, jisikie huru to inbox me, have a very blessed weekend
We muongo na tapeli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unapomtuhumu mtu kwa utapeli ni busara ukieleza utapeli wake na uongo wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
ASANTE sana mkuu, mimi sijaitisha mtu hela, sijasema mtu anilipe ndio nimupe maelezo, na tena kaa ulivyo sema, nikisema wewe ni muongo na tapeli, basi toa maelezo na statistics ambazo zinaonyesa mimi ni tapeli, lakini silaumu watu wengine, unajua ukishidwa na maisha wengine hutoa stress zao hapa
 
Habari wakuu, kama nilivyoahidi, na kaa mtu wenye kutimiza ahadi, nimefanya research, nafikiri inaitwa utafiti na swahili kuhusu biashara hapo comoros na hii ndio ukweli,comoros kwa mijibu wa idara yao ya biashara, hawajakua na statics za 2018, lakini wako na za 2017, na hii ndio mambo yalivyo,comoros mwaka wa 2017 iliingiza nchini bidhaa zenye thamani ya dollar 295 million za marekani,Na kati ya bidhaa hizo asilimia 30% zilitoka tanzania, Nataka nitaje zile vitu wanacomoro waliingiza kwao toka tanzania, RICE,SUGAR,POUTY MEAT AND PRODUCTS,WHEAT AND ITS PRODUCTS, FISH,CEMENT,( yaani sukari, cementi, unga ngano na vitu zake, samaki kuku na bidhaa zake na mafuta ya kula) katika hio mwaka wa 2017, comoros iliingiza bidhaa za dollar million $87 toka hapa kwetu tz, na nafikiri statistics za 2018 nikizipata nitaweka na lazima zitakuwa zimepita hio ya $87m us dollars, La muhimu na zuri zaidi ni kuwa comoros ni COMESA MEMBER( najua wengi munajua maana ya comesa) kwahivyo ni advantage kubwa sana kwa sisi watz,Na huhitaji capital kubwa kufanya biashara na comoos tho kuna logistics issues but hio can be dealt with, ukiwa na mtaji wa kuanzia $5-10,000 yaani dola za marekani kati ya 3-10,000 uko sawa kabisa,mimi weyewe sifanyi biashara na comoros, lakini naweza aza later this year on a much larger scale, lakini kaa kuna mtu anahitaji either maelezo zaidi, musaada au lolote kuhusu hapo comoros, jisikie huru to inbox me, have a very blessed weekend
hapo kwenye mchele hapana mchele ni tender onatolewa na serikali na wanaagiza toka pakstan

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wakuu, kama nilivyoahidi, na kaa mtu wenye kutimiza ahadi, nimefanya research, nafikiri inaitwa utafiti na swahili kuhusu biashara hapo comoros na hii ndio ukweli,comoros kwa mijibu wa idara yao ya biashara, hawajakua na statics za 2018, lakini wako na za 2017, na hii ndio mambo yalivyo,comoros mwaka wa 2017 iliingiza nchini bidhaa zenye thamani ya dollar 295 million za marekani,Na kati ya bidhaa hizo asilimia 30% zilitoka tanzania, Nataka nitaje zile vitu wanacomoro waliingiza kwao toka tanzania, RICE,SUGAR,POUTY MEAT AND PRODUCTS,WHEAT AND ITS PRODUCTS, FISH,CEMENT,( yaani sukari, cementi, unga ngano na vitu zake, samaki kuku na bidhaa zake na mafuta ya kula) katika hio mwaka wa 2017, comoros iliingiza bidhaa za dollar million $87 toka hapa kwetu tz, na nafikiri statistics za 2018 nikizipata nitaweka na lazima zitakuwa zimepita hio ya $87m us dollars, La muhimu na zuri zaidi ni kuwa comoros ni COMESA MEMBER( najua wengi munajua maana ya comesa) kwahivyo ni advantage kubwa sana kwa sisi watz,Na huhitaji capital kubwa kufanya biashara na comoos tho kuna logistics issues but hio can be dealt with, ukiwa na mtaji wa kuanzia $5-10,000 yaani dola za marekani kati ya 3-10,000 uko sawa kabisa,mimi weyewe sifanyi biashara na comoros, lakini naweza aza later this year on a much larger scale, lakini kaa kuna mtu anahitaji either maelezo zaidi, musaada au lolote kuhusu hapo comoros, jisikie huru to inbox me, have a very blessed weekend
nakushaur achana na izi tafiti fika comoro ama mtafute mtu anayefanya biashara comoro na yupo tayar kukupa ukwel wa biashara Kwan soko la comoro halipo kimataifa ni kama soko la ilala AMA buguruni tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli kabisa mkuu, lakini mtu akifanya kufuatilia atapata hio vibali, hakuna lisilowezekana, ila cha muhimu ni logistics, hio ni shinda kubwa kabisa
logistic ni tatizo vibali vipo ving tu mpaka wenyewe wamechoka kuvitoa couse watu weng wanaenda wakairud wanapotea sababu wanashindwa kwenye logstic

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unafikiri Unaweza kunisaidia tuka process vibali na hizo Logistics nyingine?

Sent using Jamii Forums mobile app
kufanya biashara ya wanyama shart ni lazima ufanye na mzawa means mcomoro Kwan yy ndio anayeenda kuomba import permit ya kuingiza wanyama so yy ndio atakupatia ww na ww iyo import utaombea export permit hapa then utaanza kupeleka how wanyama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuwa makini unapotaka kudeal na mtu katika masuala ya biashara. Fanya utafiti zaidi wa soko na umfahamu vyema unaetaka kufanya nae muungano wa kikazi au kukusaidia.

Natoa angalizo tu ili tuende sawa, na kwa mafanikio.
yap ilo ni muhimu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nashukuru sana kwa maelezo yako. Mimi nataka nifanye biashara ya nyama kwani wacomoro wananunua nyama zaidi Brazil. Nafikiri logistics za hapa TZ na Comoros ni nyepesi kuliko Brazil. Please kama hutojali naomba ufafanuzi kidogo namna ya kulifikia soko la nyama.
logistic za tz ni ngumu kuliko Brazil Kwan Sisi hapa hatuna meli zenye uwezo wa kubebba frozen meet lakn wenzetu wanazo pia hatuna usafir wa Uakika wenzetu wanao.kumbuka nyama inaweza kaaa hata 6 month ukiwa kwa freezer

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikubaliani na utafiti wako kibiashara, huu utafiti wa kwenye internet unasaidia kwenye travelling tu kama flight na hotel.

Seriously bussiness ya kupeleka physical sehemu ni lazima uwe na physical research na ujuwe demand na connection ya straigh buyer.

Kuna jamaa yangu anapiga pesa mbaya kwa kuuza mapembe ya ng"ombe Nairobi tena mapembe mengine hanunui anayaokota tu Vingunguti.

Imagine ni mwana lakini hanipi chimbo lake Nairobi, kwahiyo point yangu kubwa kwenye biashara mtu muhimu ni buyer, wakulima wa mbaazi wanaliewa hili vizuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
sana tena naweka msisitizo watu wasipende kuletewa taarifa hii ni exporting business jaman ni lazima ufanye research ww mwenyewe au kama utapata bahat mtu mkwel akaamua kukupa ukwel wa soko hapo sawa ..pia comoro sio international market ...local market kama buguruni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu changamoto kubwa kiliko zoote Ni USAFIRI awaweke wazi waweza kaa miezi mi 3-4 hujapakia Sasa Kama Ni biashara ya mbogamboga au HILIKI mbichi Mzee mmmmmh!
kwa utaratibu vitu vyoote vya kuoza kuwa vinapakiwa mwisho wa siku .meli kuondoka ivyo unachotakiwa kufanya kujua ratiba ya meli kuwa ikishafika inaondoka lini! then ukijua inaondoka next week bas ww this unaanza process za kuandaa mzigo na kama mwenye meli kamwambia inaondona kesho mkapakia na hajaondoka bas atalipa mwenye meli vikiharibika japo ni mara chache sana maana wenye meli wakishajua wamepakia vitu vya kuaharibua wanaomdoka haraka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa utaratibu vitu vyoote vya kuoza kuwa vinapakiwa mwisho wa siku .meli kuondoka ivyo unachotakiwa kufanya kujua ratiba ya meli kuwa ikishafika inaondoka lini! then ukijua inaondoka next week bas ww this unaanza process za kuandaa mzigo na kama mwenye meli kamwambia inaondona kesho mkapakia na hajaondoka bas atanipa mwenye meli vikiharibika japo ni mara chache sana maana wenye meli wakishajua wamepakia vitu vya kuaharibua wanaomdoka haraka

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu inachukua mda gani meli kufika kutoka kwetu uku
 
Back
Top Bottom