immu bin masoud
Senior Member
- Jun 4, 2017
- 162
- 197
Kunahitaji boti au meli, sio ndege mkuu. Nilskia bakhresa anafanyia mpangoMagu angenunua cargo airplane si ungekuta tunakuwa na usafiri wa uhakika wa kuspply vitu huko aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Biashara na Comoro inachangamoto sana, hawa jamaa hawaongei kiswahili ni kifaransa,
pili hakuna usafir wakueleweka hasa usafir wa mizgo. Mahitaji yao mengi wanayapata kupitia zanzibar ambao wanatumia majahazi kupeleka vitu huko, napia wadau wanalalamika kua bahari yao inachangamoto ya mvua zenye upepo unaosababisha mawimbi makubwa na vimbunga.
Nchi yao yote nikama ufukwe hawawez kulima chochote kila ktu knahitajika kwao nigarama sana. Bei ya kilo ya nyama au nyanya inaweza kufika mara 5 yabei ya tz.
Kitamaduni hawa jamaa wanafanana sana nawazanzibar/watu watanga(washiraz) wengi ni waislam nimchanganyiko wa wabantu na waarabu ila walitawaliwa na waarabu na wafaransa. Wengi wanandugu uarabuni na ufaransa ambao ndo source kubwa yakipato kwao.
Vitu vyao vingi wanaagiza kutoka ufaransa, pakistan, china na kenya sababu usafir wakueleweka wa anga.
Vitu kma mchele mafuta nguo, mashine. Mbogomboga nyama navitu vinginevidogo dogo wanapata kutoka zanzibar
Sent using Jamii Forums mobile app
hawa jaamaa wanaongea kifaransa na rugha Yao ambayo inashahiiana na kiswahili ba huwez Amin wanaoongea kifaransa ni wale waliosoma tu kuna wacomoro pale hawajui kifaransa pia zaman vitu ving vilikuwa vinatoka zanzibar lakn sasa sio sana mfano nyama wanatoa Belgium kuku wanatika Brazil sometyme mpaka mbogamboga ..utakuta Muda mwingne kitunguu vinatoka India vinaenda kuuzwa comoro wakat tz tunavitunguu vya kutoshaBiashara na Comoro inachangamoto sana, hawa jamaa hawaongei kiswahili ni kifaransa,
pili hakuna usafir wakueleweka hasa usafir wa mizgo. Mahitaji yao mengi wanayapata kupitia zanzibar ambao wanatumia majahazi kupeleka vitu huko, napia wadau wanalalamika kua bahari yao inachangamoto ya mvua zenye upepo unaosababisha mawimbi makubwa na vimbunga.
Nchi yao yote nikama ufukwe hawawez kulima chochote kila ktu knahitajika kwao nigarama sana. Bei ya kilo ya nyama au nyanya inaweza kufika mara 5 yabei ya tz.
Kitamaduni hawa jamaa wanafanana sana nawazanzibar/watu watanga(washiraz) wengi ni waislam nimchanganyiko wa wabantu na waarabu ila walitawaliwa na waarabu na wafaransa. Wengi wanandugu uarabuni na ufaransa ambao ndo source kubwa yakipato kwao.
Vitu vyao vingi wanaagiza kutoka ufaransa, pakistan, china na kenya sababu usafir wakueleweka wa anga.
Vitu kma mchele mafuta nguo, mashine. Mbogomboga nyama navitu vinginevidogo dogo wanapata kutoka zanzibar
Sent using Jamii Forums mobile app
ilo ndo tatizo wanatupiga bao kwa nn wacomoro waende mpaka minadan uko kununua ng'ombe tena bei rahis na wao kwenda kuuza bei juu .why wasikutane na hao ng'ombe comoro ama wachukulie hapa dar!? maana yake wakija kuchukilia hapa dar kuna watu watapata fursa ya kufanya biashara kuliko wao kwenda moja kwa moja vijijinAisee ng'ombe wanaochukuaga ni wale wenye mapembe makubwaaaa....naonaga kuna sehemu mnadani wakomoro wananunua hao ng'ombe mkuu wanasafirishwa comoro
Sent using Jamii Forums mobile app
daah wako very localmkuu naomba mitandao ya kijamii wanaotumia huko kama mfano wa jamii forum.
mtaji inategemea na bidhaa unayoitaj kupeleka japo mara nashauri Kabla ya kuanza biashara bas ni muhimu kwenda kutazama fursa na kufanya chaguo sahihi la bidhaa utakayoweza kuipeleka
kwa visiwa vya huko ni huduma gani ya biashara ni nzuri pia kwenye biashara ya bidhaa ni zipi nzuri na zenye faidi aidha ya kilimo au products za viwandanimm ni mfanyabiashara tz-comoro ..nilianza mwaka Jana lakn mafaniko ni makubwa Kwan kuna fursa nying sana sababu visiwa vya comoro 96% wanategemea vitu pamoja na chakula kutoka nje..ivyo hupelekea kuwa na demand kubwa ya mahitaj hasa vyakula lakn changamoto hasa inayopelekea biashara ya comoro kusua sua ni usafirishaji lakn fursa ni nying sana pia changamoto nyingne ni mmoja hasa kwa watanzania hamna umoja kabisa wa kibiashara Kwan hata kwenye upende wa usafirishaji wacomoro ndio wanakodi meli tena hapa Tanzania na kijipatia pesa nzur sana wakat tunauwezo wa kujikusanya wafanya biashara na kukodi chombo tutafanya supply kwa wakati ...sababu kuna kipind comoro mzima haina kitunguu ama vinywaj kama juice sababu tu hamna meli za kwenda...lakn fursa ni nying sana
Sent using Jamii Forums mobile app
kuna visiwa 3 .ngazdja .anjuan na mohel(mwali)
mtaji inategemea na bidhaa unayoitaj kupelekaMtaji kama shillings ngapi niandae?
Hata ndege inahitajika mkuu.....mfano kutoa maparachichi kule mbeya....ndizi bukoba na kilimanjaro.....zinafika ziko fresh unauza kwa bei nzuri....ndege ni suitable kwa perishable productsKunahitaji boti au meli, sio ndege mkuu. Nilskia bakhresa anafanyia mpango
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za jion wapendwa kuna fursa ndogo ningependa kushare nanyi kuna mfanyabiashara kutoka comoro ambaye ana kiwanda kidogo cha kutengeneza yogurt( mtindi) so ameniomba nimtafutie packaging zifuatazo : so naomba kushare nanyi fursa ..anaeitaka hii fursa bas nitafute ..no.0736670680
View attachment 1038051View attachment 1038052View attachment 1038053View attachment 1038054View attachment 1038055View attachment 1038056View attachment 1038057
Sent using Jamii Forums mobile app
kwanza kabisa tukija kwenye upende wa pesa yao : comoro wanatumia Euro na comoro France (kmf) .pesa Yao ni mara 5 ya pesa yetu yan kmf 1 = Tsh 5 ..na kwa upende wa euro pia wametuzi kwao Euro 1= KMF 500 wakat kwetu Euro 1= Tsh 2,600/= iyo hupelekea biashara kuwa na faida kubwa ...turud kwenye bidhaa zinazoitajima sana ni:
mboga mboga kama vitunguu,hoho,carrot,cabbage
nyama ya ng'ombe/mbuzi
Ng'ombe / wazima
juice hasa za Azam
maji
magimbi
magodolo
fenichers
nguo but hasa nguo za. ndan
matunda
tissue na vitu ving tuu ....
Sent using Jamii Forums mobile app