Mr Suprize
JF-Expert Member
- Dec 18, 2014
- 869
- 961
Kuna harufu ya utapeli hapa Halafu ogopa Sana mtu anakuambia Yuko Zanzibar, siku hizi matapeli wengi wanajifanya location wapo Zanzibar,
Utapeli upo Aina mbili
1.utawapa pesa kisha usubiri mzgo na hiyo itakuwa imetoka
2. Unaweza kupewa mzgo WA mafuta Halafu ukaja kugundua wateja hawanunui kwa bei hiyo , kwa hiyo ukabaki na mzgo ...
Kwa story yake zinafanana na story flan za matapeli wanakupigia simu , kwanza anajifanya anakujua anakuambia kuna mchongo WA pesa kuna wageni wake wanakuja uwapokee 😁😁 wageni wanahitaji vifaranga vya kuku ......
Kama mmewahi kusikia Hii story mtakuwa mmepata picha
Utapeli upo Aina mbili
1.utawapa pesa kisha usubiri mzgo na hiyo itakuwa imetoka
2. Unaweza kupewa mzgo WA mafuta Halafu ukaja kugundua wateja hawanunui kwa bei hiyo , kwa hiyo ukabaki na mzgo ...
Kwa story yake zinafanana na story flan za matapeli wanakupigia simu , kwanza anajifanya anakujua anakuambia kuna mchongo WA pesa kuna wageni wake wanakuja uwapokee 😁😁 wageni wanahitaji vifaranga vya kuku ......
Kama mmewahi kusikia Hii story mtakuwa mmepata picha