Fursa ya Forex; Ushauri Wangu kwa Bw. Ontario

Fursa ya Forex; Ushauri Wangu kwa Bw. Ontario

Najua umeandika BET kwa bahati mbaya maana ulipaswa kuandika trade on me!

Hiki kipande kimenishawishi kuandika kidooogo! Yaani trader ana trade na kupata profit bado una doubt kuwa hawezi kuwa na fedha za ku-expand trade zake?
It is like you own capital.


It is also true that no one embrace death until he or she is dead.

Wengine tunashawishika kujibu baada ya kusoma tambo.
Mengine mtupiage kwa pm
Wiki hii nami nimekuwa "nabet "fx kwa mafanikio makubwa ukulinganisha na nilivyoanza wiki iliyopita kiasi kwamba hadi hii wiki inaisha ni sipo double acc nitajipa adhabu ya kutotrade Massa 12 wiki ijayo, pia kesho mchana nitatoa angalau USD 100 niliyoipata kwa" kubet" forex inisaidie Mimi na dola 40 nisaidie ndugu mwenye uhitaji.
Pia nimejifunza kuwa mtu ambaye yupo negative kuhusu hii ''betting'' hawezi kufanikiwa kabisa.
 
Wiki hii nami nimekuwa "nabet "fx kwa mafanikio makubwa ukulinganisha na nilivyoanza wiki iliyopita kiasi kwamba hadi hii wiki inaisha ni sipo double acc nitajipa adhabu ya kutotrade Massa 12 wiki ijayo, pia kesho mchana nitatoa angalau USD 100 niliyoipata kwa" kubet" forex inisaidie Mimi na dola 40 nisaidie ndugu mwenye uhitaji.
Pia nimejifunza kuwa mtu ambaye yupo negative kuhusu hii ''betting'' hawezi kufanikiwa kabisa.
Nina uhakika utapiga hela ndefu sana, kwasababu attitude yako ina elements za down character to earth.
Mungu awe nawe usiyotishwa na vichangamoto vya maneno.

Furnace makes fine gold.
Keep on trading jo.
 
Majibu ya Ontario

Boss nashukuru sana kwa huu ushauri, very short and sweet, very constructive in deed.

Kuna vitu vingi sana ambavyo vipo ndani ya mipango yetu, ndio kwanza tumeanza, nahisi hii ni wiki ya 3. Tuna miaka mingi sana ya kuendelea kukua positively.

Soon tutafungua trading lounge

Hapa kutakua na huduma zote trader anahutaji, lounge yote itazungukwa na screens za news, charts, analysis, updates nk. Kutakua na mentors na pia tutajitahidi kila ijumaa ya kwanza ya mwezi kumleta trader makini kutoka sehemu yoyote dunuani ili tutrade nae NFP. Kutakua na kiingilio kidogo cha watu kuchangia AC, coffee, internet, service charge na umeme. It's gonna be very interesting, One of it's own kind in Africa.

Region tours

Kwa sasa tuna office Dar pekee yake, kitu kinachotuumiza ni kua tuki_stick hapa pekee yake ina maana hii knowledge itakua locked mkoa mmoja, sasa tumefikiria kabla hatujafungua office mikoa mingine, tuwe tunafanya tour mkoa kwa mkoa. Hakuna jiwe litaachwa halijageuzwa, tutazunguka mikoa yote.
Kwa sasa tunafikiria kuanza na Mwanza week ijayo, Kisha Arusha, Mbeya na Dodoma.

Account Management

Bado hatujaanza, lkn tunaandaa infrastructure kwa ajili ya kumanage accounts za watu wengine. Kuna watu, taasisi, makampuni nk ambao wana capital kubwa, lkn hawana trading skills and knowledge, wala hawahitaji kujifunza. So tutaingia mkataba wa kutrade pesa zao, kwa makubaliano ya kushare profits kila mwisho wa mwezi.

Swahili Version

Tupo kwenye mchakato wa kuwaandaa walimu ambao baadae watatoa mafunzo kwa lugha mama ya kiswahili. Binafsi naandaa kitabu kuhusu forex ambacho kitakua kwa lugha ya kiswahili. Na from the bottom of my heart, I will provide it for 100% free, sitajali nitatumia gharama kiasi gani kukipublish, lkn nitahakikisha watu wanakipata bila kulipia chochote.

Kuna kitu kikubwa nakipanga... kwasasa lazima nikiri kuwa nipo busy sana, lkn nikitulia nitaanza mchakato. Nafikiria kuongea na developers wa meta trader 4 na meta trader 5 waweze kuweka option ya kucustomize platform iwe na lugha ya kiswahili.

College learning syllabus

Hii ni ngumu, lkn hakuna kitu ambacho niliwahi kujaribu nikaishia kati.

Nutajaribu at all cost, kupush hii kitu kiasi kwamba wanafunzi wote wanaosoma college masomo ya business kuanzia ngazi ya college, wapewe specific technical knowledge kuhusu fursa zilizopo kwenye global financial markets (forex, indices, commodities, metals, stocks etc). Pia kuwepo na practical part of it. Ni ngumu but bet on me, we will be there soon than you'd ever dream. When something is broken there's always 1 guy who will be willing to fix it.

supporting other forex institutions

Mimi kuna wanafunzi wangu, hua wanakuja ofisini wananiambia Jeff, kuna majamaa wengine wanafanya mnachokifanya, wanafundisha watu forex hadi kwa laki 5... Hua nawauliza, kwani kuna ubaya gani?? Why not??

Kama mtu ni consistent profitable trader, kaamua kuanzisha programme ya kushare knowledge ya forex, mimi nipo tayari kutoa pesa yangu mfukoni kumsupport Ili watanzania wengi zaidi waipate hii elimu. Kama mtu akiweza kunipa proof ya trading history yake, na nikaona uhalisia wa trades zake, then nipo willing kumsupport kwa chochote kile.

Nothing is impossible to a willing heart, it's a matter of patience and grinding hard and smart. Mzee mandela aliwahi kusema It always seems impossible until it's done

Dodoma ni lini?
 
Nina uhakika utapiga hela ndefu sana, kwasababu attitude yako ina elements za down character to earth.
Mungu awe nawe usiyotishwa na vichangamoto vya maneno.

Furnace makes fine gold.
Keep on trading jo.
Mkuu ukiwa jukwaa la siasa unakuaga smart kweli kweli ila ukija huku unakua kama yule mwenye kipara kama solar panel ya mjerumani!!
 
Mkuu ukiwa jukwaa la siasa unakuaga smart kweli kweli ila ukija huku unakua kama yule mwenye kipara kama solar panel ya mjerumani!!
Jamani msiwe waoga kama wana ccm, kupiga hela pia kunahitaji mtu mwenye kifua kipana.
Vimaneno kidogo tu vinawatoa kwenye reli! Jamani keep on trading. You will one day use your profit to cover my medical expenses as unknown people are trucking me.
 
Sio wote lazima tufanye Forex

Wengine tufanye vibarua vingine tujiingizie kipato

Forex is not a get rich quick scheme,lazima udedicate muda na akili na usiwe mwenye kutaka mavuno ya fasta
 
Good idea but hii ingefanywa kwa wale ambao wameshahudhuria mafunzo pale kwa sababu taarifa zao zipo ofisini na wanatambulika na ofisi kama hujahudhuria mafunzo usiruhusiwe halafu isiwe kila siku kwa sababu italemaza watu na hata hivyo itakuwa ni nzuri kama wadau wote ambao wanaokuwepo wanafanya analysis kwa pamoja na sio kutajiwa tu wewe ufanye sell or buy all in all ni idea nzuri.
Wataalamu wa JF naombeni mumtag Ontario aweze kuona haraka huu uzi
pole mkuu inaonyesha una roho mbaya na mbinafsi sana hupendi kuona mtu akifanikiwa bahati mbaya sio wote tuna roho mbaya kama yako hii mi nimehudhuria lakini naomba hii programme iwapate wote tuliohudhuria na ambao hawajahudhuria.
ombea mafanikio ya wengine huwezi kujua watakufaa vipi baadae.
pia kusema watu watalemaa hoja haina mantiki mtu akilemaa kwenye kuingiza pesa kuna ubaya gani kwani?
 
Majibu ya Ontario

Boss nashukuru sana kwa huu ushauri, very short and sweet, very constructive in deed.

Kuna vitu vingi sana ambavyo vipo ndani ya mipango yetu, ndio kwanza tumeanza, nahisi hii ni wiki ya 3. Tuna miaka mingi sana ya kuendelea kukua positively.

Soon tutafungua trading lounge

Hapa kutakua na huduma zote trader anahutaji, lounge yote itazungukwa na screens za news, charts, analysis, updates nk. Kutakua na mentors na pia tutajitahidi kila ijumaa ya kwanza ya mwezi kumleta trader makini kutoka sehemu yoyote dunuani ili tutrade nae NFP. Kutakua na kiingilio kidogo cha watu kuchangia AC, coffee, internet, service charge na umeme. It's gonna be very interesting, One of it's own kind in Africa.

Region tours

Kwa sasa tuna office Dar pekee yake, kitu kinachotuumiza ni kua tuki_stick hapa pekee yake ina maana hii knowledge itakua locked mkoa mmoja, sasa tumefikiria kabla hatujafungua office mikoa mingine, tuwe tunafanya tour mkoa kwa mkoa. Hakuna jiwe litaachwa halijageuzwa, tutazunguka mikoa yote.
Kwa sasa tunafikiria kuanza na Mwanza week ijayo, Kisha Arusha, Mbeya na Dodoma.

Account Management

Bado hatujaanza, lkn tunaandaa infrastructure kwa ajili ya kumanage accounts za watu wengine. Kuna watu, taasisi, makampuni nk ambao wana capital kubwa, lkn hawana trading skills and knowledge, wala hawahitaji kujifunza. So tutaingia mkataba wa kutrade pesa zao, kwa makubaliano ya kushare profits kila mwisho wa mwezi.

Swahili Version

Tupo kwenye mchakato wa kuwaandaa walimu ambao baadae watatoa mafunzo kwa lugha mama ya kiswahili. Binafsi naandaa kitabu kuhusu forex ambacho kitakua kwa lugha ya kiswahili. Na from the bottom of my heart, I will provide it for 100% free, sitajali nitatumia gharama kiasi gani kukipublish, lkn nitahakikisha watu wanakipata bila kulipia chochote.

Kuna kitu kikubwa nakipanga... kwasasa lazima nikiri kuwa nipo busy sana, lkn nikitulia nitaanza mchakato. Nafikiria kuongea na developers wa meta trader 4 na meta trader 5 waweze kuweka option ya kucustomize platform iwe na lugha ya kiswahili.

College learning syllabus

Hii ni ngumu, lkn hakuna kitu ambacho niliwahi kujaribu nikaishia kati.

Nutajaribu at all cost, kupush hii kitu kiasi kwamba wanafunzi wote wanaosoma college masomo ya business kuanzia ngazi ya college, wapewe specific technical knowledge kuhusu fursa zilizopo kwenye global financial markets (forex, indices, commodities, metals, stocks etc). Pia kuwepo na practical part of it. Ni ngumu but bet on me, we will be there soon than you'd ever dream. When something is broken there's always 1 guy who will be willing to fix it.

supporting other forex institutions

Mimi kuna wanafunzi wangu, hua wanakuja ofisini wananiambia Jeff, kuna majamaa wengine wanafanya mnachokifanya, wanafundisha watu forex hadi kwa laki 5... Hua nawauliza, kwani kuna ubaya gani?? Why not??

Kama mtu ni consistent profitable trader, kaamua kuanzisha programme ya kushare knowledge ya forex, mimi nipo tayari kutoa pesa yangu mfukoni kumsupport Ili watanzania wengi zaidi waipate hii elimu. Kama mtu akiweza kunipa proof ya trading history yake, na nikaona uhalisia wa trades zake, then nipo willing kumsupport kwa chochote kile.

Nothing is impossible to a willing heart, it's a matter of patience and grinding hard and smart. Mzee mandela aliwahi kusema It always seems impossible until it's done
Hakika hicho kitabu ambacho kitakuwa kwalugha yakiswahili nahisi nitakuwa wakwanza kukitafuta mungu akuongoze kwahili litimie, mtaji ninao japo sio mkubwa kivile ila tatizo linalonikwamisha nilugha tu!!
 
Wadau Kwema??

Hakuna shaka kua Forex ni Fursa nzuri kwa wengi wetu humu tuliobahatika kujihusisha nayo, wengi wamevutiwa na wengi pia wameanza kujihusisha na kufaidika nayo. Hakuna shaka pia member huyu kwa jina la ONTARIO ni kati ya Jf members wachache walioitangaza fursa hii kwa kiwango kikubwa sana, pamoja na Davion Delmonte Jr. .

Sasa mimi nina wazo moja kwa huyu member, kwa kua tayari una ofisi basi ungeweza kufanya kitu kifuatacho. Kuwe na session kila siku ambapo watu huja pale ofisini kwako na Laptop zao ku-trade kwa muongozo wako hata kwa kiingilio fulani. Watu wengine ni wagumu kuelewa ukiwaambia wakasome lakini wakija pale kwako ukawaambia buy $, sell GBP, buy Yen, sell Euro, etc kisha mpaka jioni wanaangalia wamepata kiasi gani, kisha wanakuachia chako itakua poa sana.

Maana kuna watu wengi nimejaribu kuwagusia hii fursa inakua kama ngumu kwao, lakini wanataka wapate mtu wa kuwaelekeza kuuza na kununua tu mpaka pale watakapoelewa wenyewe soko linaendaje. Watu hawa wanakosekana katika darasa la ONTARIO sababu washajiwekea kua Forex Business ni ngumu kwao, ingawa mitaji na vitendea kazi wanavyo.

Kiingilio (Fees) kinaweza kikawa ni Fixed regardless ya mtaji wa Member/Participant au yaweza kua %ge fulani ya faida atakayopata, ingawa hapa panaweza kua pagumu sababu itahitajika kujua Member/Participant alianza na mtaji kiasi gani asubuhi na Kumaliza na Kiasi gani then faida. Pia fees hii yaweza kua kwa wiki au mwezi.

Hii nayoishauri au kuipendekeza hapa haihusiani kabisa na lile darasa analofundishaga, bali hii ni kwa ajili ya ku-trade tu.

Nawasilisha
Mkuu jamaa alishasema ana mpango wa kuanzisha traders lounge nadhan itakua ndio utekelezaji wa wako lako
 
in forex there is a lot more than just to be told BUY GBP/USD or sell AUD/USD kusoma ni jambo ambalo haliepukiki kwenye forex na ili uifaidi forex unatakiwa uwe na uwezo wa kutengeneza profit not less than a million in a week( ni makadirio tu ) na hapa tunasema wewe ni proffessional trader sasa basi ii kufikia level hiyo (ku master forex) huna budi kusoma hata kama itachukua mwaka au miaka but you have to...wazo zuri labda ungesema kwa wale watakaofikia level ya kutengeneza profit consistently waanzishe shule/institute kwa ajili ya kufundisha forex na wafundishe kama vile unamfundisha mtoto wa chekechea hata kama itachukua 3years but it worth taking ukilinganisha na hii elimu ya kayumba mtu unaspend miaka 15 shuleni (from std 1 to university) na bado ukitoka hapo huna direction ya maisha. swala lingine la muhimu ni kufanya mabadiliko/mapinduzi makubwa kwenye mitaala ya elimu tuwe updated kwa wale wanaosoma banking and finance , syllabus ziwe revised na kuhakikisha kwamba mwanafunzi akimaliza chuo anajua ku trade forex practically and make money out of it ( KITU AMBACHO ONTARIO TAYARI AMESHAKIONGELEA NA AMESHAKIWEKA KWENYE PLAN ZAKE) ila ukisema watu waende pale ofisini halafu wasubiri kuambiwa SELL...BUY... that will be waste of time and resource kwanza jamaa yupo bizi sana sidhani kama atapata huo muda ...kama wewe umebahatika kuifahamu hii fursa basi uwe balozi mzuri (it begins with you) wafundishe watoto wako ,mke wako, wadogo zako, baba yako, mama yako , na house girl wako pia na bila kusahau ndugu jamaa na marafiki fundisha kwa kadri uwezavyo kila mtu akifanya hivi sehemu alipo ndani ya miaka miwili au mitatu nchi itapiga hatua kubwa sana ...usiishie kusema 'angefaya hivi..." au "serikali ifanye hivi...." wewe utafanya nini? do something asee. hata biblia inasema ibaada huanzia nyumbani IT BEGINS WITH YOU. ila usisahau forex is not for everyone
#TMT#Fornoreason
Umeandika ushaur kuntu sana, salute kwako boss
 
WAAAOH AM SO HAPPY AND KUDOS TO MY YOUNG BRO ONTARIO MARA YA KWANZA THREAD KUHUSU FX TRADING INAANZISHWA NILIWAH SEMA KUHUSU MAFANIKIO NILOYAPATA KWA HII BIASHARA. (JAPO SIIFANYI KWA SASA)

USHAURI WANGU NI HUU : KIJANA WA KITANZANIA KAMA UNATAKA KUFAULU NA KUFANIKIWA KTK BIASHARA HII KWANZA BADILI MFUMO WAKO WOOTE WA MAISHA. FX SIO YA SIKU MOJA TU UNAPIGA HELA HAPANA. FX NI MSITU MPANA NA UNAHITAJI TAALUMA HASA NA VITENDO.
YAKUPASA UBADILI HATA MARAFIKI AMBAO HAWAKO KTK MLENGO MMOJA NA WEWE, NA UBADILI HADI CHANNEL ZA TV YAAKO.

FX INAHTAJI KUSOMA NA SIO WIKI MOJA TUU UNASEMA UTAIMASTA NILIFUNDISHWA NA WATAAALM KWA GHARAMA YA JUU MIEZ MIWILI BILA KUWA NA REAL ACCOUNT NA NIKAACHA NIKASEMA KUWA NISHAIMASTA NILICHOKIPATA NILIRUDI KWA WALE WATAALAMU HUKU SINA HAMU.

NARUDIA TENA KAA CHINI SOMA KWA UMAKINI HASA NA BADILI MFUMO WAKO WOTE WA MAISHA MIEZ SITA TAFTA MTALAAM KAA NAE SOMA NA AKUPE NONDO MOJA BAADA YA NYINGINE. NA UNAPOJIFUNZA USIPOELEWA CONCEPT HATA MOJA PLZ USIKAE KIMYA ULIZA WALLAH NAWAAPIA UKIFUATA HAYA NAYOKWAMBIA NA UKAJIFUNZA KIUKAMILIFU NDANI YA MIEZ SITA HUTOKAA UJILAUM KABISAAA.

PLZ NARUDIA TENA FOREX NI MSITU MPANA MNOO MI NILISHAKULA HASARA SAANA KABLA SIJAFIKA HAPA NA SITOPENDA MYAPITIE NILOYAPITIA MAAN ANAIJUA SAANA AKILI YA KIJANA WA KITANZANIA NAIJUA MNOO.

PLZ JIFUNZENI KWA BIDIII NA WALA MSISIKIE YA WATU KUWA NI UTAPELI PIGEN PESA INGALI ASUBUHI MAANA JION MMMMH TRAFIKI WATAKUWA WASHAJAAA.

SIKU NIKIPATA MUDA NITAKUJA HAPO KWA ONTARIO NIWAFUNDISHE HATA WIKI MBILI BUUUUREEEEEEEE LAKINI SOMENI VITABU NA MUIELEWEE HII BIASHARA MAAN ANAJUA BILA HIVYO MTAKUJA KUMAL HUYU BWANA MDOGO.
KILA LA KHERI
 
Majibu ya Ontario

Boss nashukuru sana kwa huu ushauri, very short and sweet, very constructive in deed.

Kuna vitu vingi sana ambavyo vipo ndani ya mipango yetu, ndio kwanza tumeanza, nahisi hii ni wiki ya 3. Tuna miaka mingi sana ya kuendelea kukua positively.

Soon tutafungua trading lounge

Hapa kutakua na huduma zote trader anahutaji, lounge yote itazungukwa na screens za news, charts, analysis, updates nk. Kutakua na mentors na pia tutajitahidi kila ijumaa ya kwanza ya mwezi kumleta trader makini kutoka sehemu yoyote dunuani ili tutrade nae NFP. Kutakua na kiingilio kidogo cha watu kuchangia AC, coffee, internet, service charge na umeme. It's gonna be very interesting, One of it's own kind in Africa.

Region tours

Kwa sasa tuna office Dar pekee yake, kitu kinachotuumiza ni kua tuki_stick hapa pekee yake ina maana hii knowledge itakua locked mkoa mmoja, sasa tumefikiria kabla hatujafungua office mikoa mingine, tuwe tunafanya tour mkoa kwa mkoa. Hakuna jiwe litaachwa halijageuzwa, tutazunguka mikoa yote.
Kwa sasa tunafikiria kuanza na Mwanza week ijayo, Kisha Arusha, Mbeya na Dodoma.

Account Management

Bado hatujaanza, lkn tunaandaa infrastructure kwa ajili ya kumanage accounts za watu wengine. Kuna watu, taasisi, makampuni nk ambao wana capital kubwa, lkn hawana trading skills and knowledge, wala hawahitaji kujifunza. So tutaingia mkataba wa kutrade pesa zao, kwa makubaliano ya kushare profits kila mwisho wa mwezi.

Swahili Version

Tupo kwenye mchakato wa kuwaandaa walimu ambao baadae watatoa mafunzo kwa lugha mama ya kiswahili. Binafsi naandaa kitabu kuhusu forex ambacho kitakua kwa lugha ya kiswahili. Na from the bottom of my heart, I will provide it for 100% free, sitajali nitatumia gharama kiasi gani kukipublish, lkn nitahakikisha watu wanakipata bila kulipia chochote.

Kuna kitu kikubwa nakipanga... kwasasa lazima nikiri kuwa nipo busy sana, lkn nikitulia nitaanza mchakato. Nafikiria kuongea na developers wa meta trader 4 na meta trader 5 waweze kuweka option ya kucustomize platform iwe na lugha ya kiswahili.

College learning syllabus

Hii ni ngumu, lkn hakuna kitu ambacho niliwahi kujaribu nikaishia kati.

Nutajaribu at all cost, kupush hii kitu kiasi kwamba wanafunzi wote wanaosoma college masomo ya business kuanzia ngazi ya college, wapewe specific technical knowledge kuhusu fursa zilizopo kwenye global financial markets (forex, indices, commodities, metals, stocks etc). Pia kuwepo na practical part of it. Ni ngumu but bet on me, we will be there soon than you'd ever dream. When something is broken there's always 1 guy who will be willing to fix it.

supporting other forex institutions

Mimi kuna wanafunzi wangu, hua wanakuja ofisini wananiambia Jeff, kuna majamaa wengine wanafanya mnachokifanya, wanafundisha watu forex hadi kwa laki 5... Hua nawauliza, kwani kuna ubaya gani?? Why not??

Kama mtu ni consistent profitable trader, kaamua kuanzisha programme ya kushare knowledge ya forex, mimi nipo tayari kutoa pesa yangu mfukoni kumsupport Ili watanzania wengi zaidi waipate hii elimu. Kama mtu akiweza kunipa proof ya trading history yake, na nikaona uhalisia wa trades zake, then nipo willing kumsupport kwa chochote kile.

Nothing is impossible to a willing heart, it's a matter of patience and grinding hard and smart. Mzee mandela aliwahi kusema It always seems impossible until it's done
Barikiwa sana...
 
Majibu ya Ontario

Boss nashukuru sana kwa huu ushauri, very short and sweet, very constructive in deed.

Kuna vitu vingi sana ambavyo vipo ndani ya mipango yetu, ndio kwanza tumeanza, nahisi hii ni wiki ya 3. Tuna miaka mingi sana ya kuendelea kukua positively.

Soon tutafungua trading lounge

Hapa kutakua na huduma zote trader anahutaji, lounge yote itazungukwa na screens za news, charts, analysis, updates nk. Kutakua na mentors na pia tutajitahidi kila ijumaa ya kwanza ya mwezi kumleta trader makini kutoka sehemu yoyote dunuani ili tutrade nae NFP. Kutakua na kiingilio kidogo cha watu kuchangia AC, coffee, internet, service charge na umeme. It's gonna be very interesting, One of it's own kind in Africa.

Region tours

Kwa sasa tuna office Dar pekee yake, kitu kinachotuumiza ni kua tuki_stick hapa pekee yake ina maana hii knowledge itakua locked mkoa mmoja, sasa tumefikiria kabla hatujafungua office mikoa mingine, tuwe tunafanya tour mkoa kwa mkoa. Hakuna jiwe litaachwa halijageuzwa, tutazunguka mikoa yote.
Kwa sasa tunafikiria kuanza na Mwanza week ijayo, Kisha Arusha, Mbeya na Dodoma.

Account Management

Bado hatujaanza, lkn tunaandaa infrastructure kwa ajili ya kumanage accounts za watu wengine. Kuna watu, taasisi, makampuni nk ambao wana capital kubwa, lkn hawana trading skills and knowledge, wala hawahitaji kujifunza. So tutaingia mkataba wa kutrade pesa zao, kwa makubaliano ya kushare profits kila mwisho wa mwezi.

Swahili Version

Tupo kwenye mchakato wa kuwaandaa walimu ambao baadae watatoa mafunzo kwa lugha mama ya kiswahili. Binafsi naandaa kitabu kuhusu forex ambacho kitakua kwa lugha ya kiswahili. Na from the bottom of my heart, I will provide it for 100% free, sitajali nitatumia gharama kiasi gani kukipublish, lkn nitahakikisha watu wanakipata bila kulipia chochote.

Kuna kitu kikubwa nakipanga... kwasasa lazima nikiri kuwa nipo busy sana, lkn nikitulia nitaanza mchakato. Nafikiria kuongea na developers wa meta trader 4 na meta trader 5 waweze kuweka option ya kucustomize platform iwe na lugha ya kiswahili.

College learning syllabus

Hii ni ngumu, lkn hakuna kitu ambacho niliwahi kujaribu nikaishia kati.

Nutajaribu at all cost, kupush hii kitu kiasi kwamba wanafunzi wote wanaosoma college masomo ya business kuanzia ngazi ya college, wapewe specific technical knowledge kuhusu fursa zilizopo kwenye global financial markets (forex, indices, commodities, metals, stocks etc). Pia kuwepo na practical part of it. Ni ngumu but bet on me, we will be there soon than you'd ever dream. When something is broken there's always 1 guy who will be willing to fix it.

supporting other forex institutions

Mimi kuna wanafunzi wangu, hua wanakuja ofisini wananiambia Jeff, kuna majamaa wengine wanafanya mnachokifanya, wanafundisha watu forex hadi kwa laki 5... Hua nawauliza, kwani kuna ubaya gani?? Why not??

Kama mtu ni consistent profitable trader, kaamua kuanzisha programme ya kushare knowledge ya forex, mimi nipo tayari kutoa pesa yangu mfukoni kumsupport Ili watanzania wengi zaidi waipate hii elimu. Kama mtu akiweza kunipa proof ya trading history yake, na nikaona uhalisia wa trades zake, then nipo willing kumsupport kwa chochote kile.

Nothing is impossible to a willing heart, it's a matter of patience and grinding hard and smart. Mzee mandela aliwahi kusema It always seems impossible until it's done
Mdogo wangu unakili kuzidi baba yetu, yeye anawaza shirawadu leo watamtoa nani wew unawza kuwafuata developer wa mt4 waweke option ya kiswashi?, unawaza kutengeneza syllabus ya FX? Katika masomo yangu ya chuo japo skusoma masuala ya fedha ila kuna moduli inaitwa business statistic huko nimesoma focusting, moving average, sjawahi kuvitumia ila nimekutananavyo fx ...

Keep it up
 
kama hawawezi kusoma vitabu bora waache tu waendelee na ishu nyingine....forex bila kusoma vitabu hutaiweza
Umenidanganya. Mimi hata sijui kitabu kimoja cha forex. Latrade na kuwaelekeza wengine.

Labda ungewaambia kuwa forex is not for everyone
 
Majibu ya Ontario

Boss nashukuru sana kwa huu ushauri, very short and sweet, very constructive in deed.

Kuna vitu vingi sana ambavyo vipo ndani ya mipango yetu, ndio kwanza tumeanza, nahisi hii ni wiki ya 3. Tuna miaka mingi sana ya kuendelea kukua positively.

Soon tutafungua trading lounge

Hapa kutakua na huduma zote trader anahutaji, lounge yote itazungukwa na screens za news, charts, analysis, updates nk. Kutakua na mentors na pia tutajitahidi kila ijumaa ya kwanza ya mwezi kumleta trader makini kutoka sehemu yoyote dunuani ili tutrade nae NFP. Kutakua na kiingilio kidogo cha watu kuchangia AC, coffee, internet, service charge na umeme. It's gonna be very interesting, One of it's own kind in Africa.

Region tours

Kwa sasa tuna office Dar pekee yake, kitu kinachotuumiza ni kua tuki_stick hapa pekee yake ina maana hii knowledge itakua locked mkoa mmoja, sasa tumefikiria kabla hatujafungua office mikoa mingine, tuwe tunafanya tour mkoa kwa mkoa. Hakuna jiwe litaachwa halijageuzwa, tutazunguka mikoa yote.
Kwa sasa tunafikiria kuanza na Mwanza week ijayo, Kisha Arusha, Mbeya na Dodoma.

Account Management

Bado hatujaanza, lkn tunaandaa infrastructure kwa ajili ya kumanage accounts za watu wengine. Kuna watu, taasisi, makampuni nk ambao wana capital kubwa, lkn hawana trading skills and knowledge, wala hawahitaji kujifunza. So tutaingia mkataba wa kutrade pesa zao, kwa makubaliano ya kushare profits kila mwisho wa mwezi.

Swahili Version

Tupo kwenye mchakato wa kuwaandaa walimu ambao baadae watatoa mafunzo kwa lugha mama ya kiswahili. Binafsi naandaa kitabu kuhusu forex ambacho kitakua kwa lugha ya kiswahili. Na from the bottom of my heart, I will provide it for 100% free, sitajali nitatumia gharama kiasi gani kukipublish, lkn nitahakikisha watu wanakipata bila kulipia chochote.

Kuna kitu kikubwa nakipanga... kwasasa lazima nikiri kuwa nipo busy sana, lkn nikitulia nitaanza mchakato. Nafikiria kuongea na developers wa meta trader 4 na meta trader 5 waweze kuweka option ya kucustomize platform iwe na lugha ya kiswahili.

College learning syllabus

Hii ni ngumu, lkn hakuna kitu ambacho niliwahi kujaribu nikaishia kati.

Nutajaribu at all cost, kupush hii kitu kiasi kwamba wanafunzi wote wanaosoma college masomo ya business kuanzia ngazi ya college, wapewe specific technical knowledge kuhusu fursa zilizopo kwenye global financial markets (forex, indices, commodities, metals, stocks etc). Pia kuwepo na practical part of it. Ni ngumu but bet on me, we will be there soon than you'd ever dream. When something is broken there's always 1 guy who will be willing to fix it.

supporting other forex institutions

Mimi kuna wanafunzi wangu, hua wanakuja ofisini wananiambia Jeff, kuna majamaa wengine wanafanya mnachokifanya, wanafundisha watu forex hadi kwa laki 5... Hua nawauliza, kwani kuna ubaya gani?? Why not??

Kama mtu ni consistent profitable trader, kaamua kuanzisha programme ya kushare knowledge ya forex, mimi nipo tayari kutoa pesa yangu mfukoni kumsupport Ili watanzania wengi zaidi waipate hii elimu. Kama mtu akiweza kunipa proof ya trading history yake, na nikaona uhalisia wa trades zake, then nipo willing kumsupport kwa chochote kile.

Nothing is impossible to a willing heart, it's a matter of patience and grinding hard and smart. Mzee mandela aliwahi kusema It always seems impossible until it's done
Mkuu ww ni smart! Salute kwako
 
Back
Top Bottom