WhyNot In Lounge and Kitchen ipo Goba Dar es salaam
Tunatafuta staff ili kufanya kazi katika hii business mpya iliyopo Goba, Dar es Salaam. Tunatafuta watu wenye vipaji na uzoefu kwa nafasi zifuatazo:
📌 Manager
📌 Bartender/Counter Staff
📌 Servers/Waitress
📌 Cleaners
✅ Uwezo wa kufahamu na kuandaa aina tofauti za vyakula na vinywaji.
✅ Uchangamfu na ustadi wa kuhudumia wateja kwa weledi.
✅ Kwa Bartender/Counter Staff: Uwezo mzuri wa hesabu na kusimamia utoaji wa vinywaji.
Tunatafuta staff ili kufanya kazi katika hii business mpya iliyopo Goba, Dar es Salaam. Tunatafuta watu wenye vipaji na uzoefu kwa nafasi zifuatazo:
📌 Manager
📌 Bartender/Counter Staff
📌 Servers/Waitress
📌 Cleaners
Vigezo vya Muombaji:
✅ Uzoefu wa kufanya kazi kwenye sehemu za kuhudumia vinywaji na chakula.✅ Uwezo wa kufahamu na kuandaa aina tofauti za vyakula na vinywaji.
✅ Uchangamfu na ustadi wa kuhudumia wateja kwa weledi.
✅ Kwa Bartender/Counter Staff: Uwezo mzuri wa hesabu na kusimamia utoaji wa vinywaji.