[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Tuulizie kama matunda yakiisha shambani hatutakandamizwa shingoni tukashindwa kupumua?
Dah asante mkuu. Ila mishe hizo hapana mkuu,ni afadhali twende iringa tukalime mashamba yetu wenyewe kuliko hizo za kusema upo ulaya halafu unashinda maporini miezi yote.mbu wa dengue kuna kimeo kingine huku kamanda
Hahaha!! Kamwene mnyalukoloDah asante mkuu. Ila mishe hizo hapana mkuu,ni afadhali twende iringa tukalime mashamba yetu wenyewe kuliko hizo za kusema upo ulaya halafu unashinda maporini miezi yote.
Ila ni kweli kabisa ulichoandikaDah asante mkuu. Ila mishe hizo hapana mkuu,ni afadhali twende iringa tukalime mashamba yetu wenyewe kuliko hizo za kusema upo ulaya halafu unashinda maporini miezi yote.
Kuna e-mail address hapo juu unaweza CV na covering letter.