Fursa ya Kilimo cha Korosho Manispaa ya Lindi

Fursa ya Kilimo cha Korosho Manispaa ya Lindi

Mahitaji ya soko ni tani 1000000 uwezo wa nchi ni tani 300,000 kingine tanzania msimu wa korosho ni wa pekee wakati huku zipo wazalishaji wakubwa ivory coast brazil wanakuwa bado fursa bado ipo saana na kama tukawekeza kuwa na viwanda, faida ita triple zaidi ya bei ya mibadani na hili ndiyo lengo

Vile vile korosho ya ukanda huo ni ya daraja la juu/best grade hivyo kupelekea kuwa na uhitaji na bei nzuri katika soko.
 
Kuroshio ni ghali sana katika soko la dunia, kilo moja hufika Tshs 30,000-40,000
Soko la ndani la korosho bado hatujalimaza huko nje ndiyo usiseme hali ya hewa na aina ya mikorosho iliyopo tz sehem nyingine hakuna huku inaanza kuzaa mwezi wa saba nane kufikia wa kumi mnaanza kupeleka minadani wa 12 na januari inaenda vietnam kwenye soko la dunia wakat na ni tanzania pekee kwa kipindi hicho huwa na korosho nchi nyingine hazina tunachozalisha hakitoshi ndan na nje ya nchi bado korosho zetu bora.
 
Soko la ndani la korosho bado hatujalimaza huko nje ndiyo usiseme hali ya hewa na aina ya mikorosho iliyopo tz sehem nyingine hakuna huku inaanza kuzaa mwezi wa saba nane kufikia wa kumi mnaanza kupeleka minadani wa 12 na januari inaenda vietnam kwenye soko la dunia wakat na ni tanzania pekee kwa kipindi hicho huwa na korosho nchi nyingine hazina tunachozalisha hakitoshi ndan na nje ya nchi bado korosho zetu bora.
Kama kungekuwa na uwezekano wa kupata mnunuzi mfano supermarket za nje anaenunua jumla ingekuwa bora.
 
Soko lipo la uhakika kikubwa ni uthubutu umoja ni nguvu.
Mkuu soko lipo vipi hasa kwa dar nataka kuchukua korosho mtwara nipeleke dar naomba kujua bei ya soko la dar kwa kilo. na kama kuna sehemu naweza kwenda kufanya survey kupata ufahamu zaidi.
.
 
Duh, huu uzi sijui ulinipita vipi. kwakweli haya ndio mambo tunataka kusikia. kwakweli serikali ya Lindi kama kweli watafanikiwa katika hili ntawapa hongera sana. yaani Tz tukiamua kulima kwa kisasa na akili kubwa hakika tutatoka. Infact inabidi tufanye in such a way wanunuzi wa dunia watazifuata huku kwetu.
 
mkuu soko lipo vipi hasa kwa dar nataka kuchukua korosho mtwara nipeleke dar naomba kujua bei ya soko la dar kwa kilo. na kama kuna sehemu naweza kwenda kufanya survey kupata ufahamu zaidi
.
Unataka kupeleka dar korosho za aina gani?

Kwa kuanza na survey yako nenda dar stand ya mbagala kuna banda wananunua korosho na kuuza korosho.
 
Wacha wapige siasa Ili haya ndio tulikuwa tunayataka..... Magufuli oyeeeeee
Katika hili jambo siasa zote zipite zituache tufanye mambo yetu wakija kushtuka tumeshika soko la korosho la ndani unalima unavuna unapeleka kiwandani kuongeza thamani na si mnadani.

Kwa kuanza nimefanya safari SIDO nimekuta kuna mashine za ku process korosho kwa kuanzia na kiwanda cha nyumbani unapata kila kitu kwa 10,500,000/=.

Mmezoea kuona Diamond karanga soon mtakuja kukutana na vitu vyangu ila vitakua vya korosho.
 
duh, huu uzi sijui ulinipita vipi. kwakweli haya ndio mambo tunataka kusikia. kwakweli serikali ya Lindi kama kweli watafanikiwa katika hili ntawapa hongera sana. yaani Tz tukiamua kulima kwa kisasa na akili kubwa hakika tutatoka. infact inabidi tufanye in such a way wanunuzi wa dunia watazifuata huku kwetu.
Haya mambo ya kufanya kwa sisi vijana tusije kuja kuulizwa maswali na watoto zetu tulikuwa wapi wakat wenzetu wanakimbilia fursa.
 
Korosho ina faida nyingi sana kula korosho nyeupe za kuchemshwa ni bora mara 100 kuliko kula pweza au mihogo mibichi. Ongeza heshima ya ndoa kula korosho nyeupe
 
Mkuu Negrodemus nimefarijika sana na habari hizi, nimeamua kwa hiyari yangu kumuandikia mkurugenzi wa Lindi barua ya kuomba ekari 3 zakuanzia.

Lakini wasi wasi wangu sio mjuvi sana wa kilimo hiki. Kwa hizi ekari 3 nahitajika kua na mbolea aina zipi na kwa kiwango gani?

Nikipata na gharama itanifaa sana, nataka kuja kuweka kambi kabisa nifungashe Pesa yakutosha.
 
Back
Top Bottom