Fursa ya Kilimo cha Korosho Manispaa ya Lindi

Fursa ya Kilimo cha Korosho Manispaa ya Lindi

Mkaa mweusi unauliza Kama zinastawi au Nini unataka Nini fafanua zaidi tuweze kukusaidia
Ahsante kwa ukarimu mkuu,

Mimi nilipata habari ya shamba linapatikana mtwara vijiji ekari 8 kwa 2.5mil, linamikorosho kiasi kama 7¼ekari,
Sifahamu chochote kuhusu kilimo cha korosho.
Je nikilipa hiyo pesa ni sahihi au nitakuwa nimeliwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mashamba bado yapo kikubwa nguvu uliyonayo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kinachosumbua katika haya mashamba ni moto na wakulima wengi wa kusini hupendelea kilimo cha moto kwa hyo kipindi cha mwez wa 7,8,9 inakuaga ni miez ya moto mimi sina ham kabisa nz hii kitu tena hadi nimeanza kuhisi ni ushirikina.
 
Back
Top Bottom