Mdogo ake the BOLD
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 510
- 871
Sawa mkuu asante sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simu zina changamoto sana mkuu. japo ni biashara nzuri lakini inabidi upate zile simu mpya tu.Sisi tunao uza Simu vipi
UnauzajeMkuu me nina mchele mwingi mbeya, nataka kuja kuuzia dar kwa jumla. Sihitaji kuwa na fremu huko nataka niwe nauleta nakuuza moja kwa moja, Kama wanavofanya mabibo kwenye soko la viazi pale. Vipi kuna hilo soko la mchele hapo dar?
soko lipo sana inategema tu na ubora wake na bei. kama unataka kuuza kwa mfumo huo sokoni hawaruhusu inabidi uje uukabidhi kwa madalali wa pale sokoni uwaambie bei yako wao wanakuuzia. kama una mwingi sana njoo PM nikutafutie soko la uhakika nje ya masoko ya madalaliMkuu me nina mchele mwingi mbeya, nataka kuja kuuzia dar kwa jumla. Sihitaji kuwa na fremu huko nataka niwe nauleta nakuuza moja kwa moja, Kama wanavofanya mabibo kwenye soko la viazi pale. Vipi kuna hilo soko la mchele hapo dar?
shukran na karibu sanaWazo zuri Sana.
mkuu mchele una kiasi gan ambaoupo tayari sahvMkuu me nina mchele mwingi mbeya, nataka kuja kuuzia dar kwa jumla. Sihitaji kuwa na fremu huko nataka niwe nauleta nakuuza moja kwa moja, Kama wanavofanya mabibo kwenye soko la viazi pale. Vipi kuna hilo soko la mchele hapo dar?
unataka eneo la size gani mkuu na bajeti yako ni kiasi gani. kuna ambalo limepatika barabara ya kinyerez katikati ya malalmba mwisho na mbeziMkuu nitafutie center nzuri ya kuweka mashine ya kusaga na kukoboa mahindi kwa Dar es salaam...tutalipana
unahitaji kiasi gani mkuu? na unahitaji ile ambayo imeshatumika au mipya kabisa? ya kg kuanzia ngapi unataka.Mm nahitaji mifuko mitupu ile ambayo wanatoa sukar kwenye viwanda vya juice au soda