Tarakilishi
JF-Expert Member
- May 19, 2013
- 2,181
- 2,448
Je naweza jiunga sasa kwa uwekezaji mdogo. Tafadhali nijulishe....Inakuwa inaendelea.
Awamu ya kwanza ilikuwa ni uwekezaji wa 500,000 kwa wiki 52. Unaendelea kwa wale waliokwisha wekeza.
Tumeombwa na wengi tuanze tena ule uwekezaji mdogo, kuna watu wametutumia pesa zao, tunatarajia tutauanza tena mwezi huu wa nne. Tutawajulisha.
Je naweza jiunga sasa kwa uwekezaji mdogo. Tafadhali nijulishe....
Shukran, nitafanya mawasiliano na MzeeUwekezaji mdogo wa 500,000 utaanza tena April 15 na utakuwa na grace period (muda wa matayarisho) ya mwezi mmoja au chini ya hapo.
Kila tukipata wawekezaji mapema ndiyo grace period (muda wa matayarisho) inapungua.
Karibu sana.
Nataka kuingia kwenye huu uwekezaji mdogo mkianza msiache kutu updates ili tutume pesaUwekezaji mdogo wa 500,000 utaanza tena April 15 na utakuwa na grace period (muda wa matayarisho) ya mwezi mmoja au chini ya hapo.
Kila tukipata wawekezaji mapema ndiyo grace period (muda wa matayarisho) inapungua.
Karibu sana.
Nataka kuingia kwenye huu uwekezaji mdogo mkianza msiache kutu updates ili tutume pesa
So kwa sisi ambao ndo tunataka kujiunga tuanaruhusiwa kuingia kwenye hilo group lenu la WhatsApp ili tupate update mkianza tutume pesa? if yes then naomba uniunge kwa 0763772636 email pettymichael92@gmail. comHuwa tuna kawaida ya ku update waliojiunga kwa njia ya whatsapp kila stage. Na kazi zinapoanza kuingiza income huwa tunatuma "statement" kila malipo yanapofanyika kwa njia ya email.
Tunategemea huu uwekezaji mdogo utaanza tarehe 15-4-2017.
Asante.
Dodoma na Tanga tayari unaye wakala wa kusambaza super clay? Nataka kuwa wakala wako kwa hapa Dodoma na Tanga
So kwa sisi ambao ndo tunataka kujiunga tuanaruhusiwa kuingia kwenye hilo group lenu la WhatsApp ili tupate update mkianza tutume pesa? if yes then naomba uniunge kwa 0763772636 email pettymichael92@gmail. com
Na mm naomba niungwe kwenye group hilo la uwekezaji kwa namba 0763500398(chotanorasko@gmail.com.com)
Hebu naomba yako ili unipe detailed information zaid. Dada yanguHilo si group, huwa tunatuma PM kwa kila aliyewekeza kwenye miradi yetu.
Tukianzisha group tutawaunga, ni wazo zuri.
Hebu naomba yako ili unipe detailed information zaid. Dada yangu
Sent from my itel_it1502 using JamiiForums mobile app
Biashara ya pesa ogopa sana, ina maneno matamu, utajiri unakuja mpaka usoni daaah..!
Na hata ukipigwa uhamini kama umepigwa kwa jinsi walivyo kunyenyekea na maneno matamu.
Ukiliangalia jina mume wangu, ushirikina upo, maneno matamu yapo na kudanganywa uku unaona kupo, kama vile mume kwa mke wake.
Ukienda kwenye hii biashara lazima ukawe mke, na mke lazima azae kwa maumivu.
Tafakali chukua hatua upo tayari kuzaa kwa maumivu?
Pesa pesa ogopa naneno yanayo husu pesa maana ni matamu na mwisho ni uchungu.
Tunapenda kuwafahamisha wote kuwa ule mradi wetu wa phase III ambao tulitarajia utaanza tarehe 16-3-2017 sasa tumeusogeza karibu zaidi na tunatarajia utaanza tarehe 10-3-2017.
Mara tu baada ya kuanza mradi huo tutatangaza phase III B.
Pia tunafuraha kuwajulisha kuwa mradi wetu wa phase I unaendelea vizuri na wawekezaji wanaendelea kufaidika na uwekezaji wao.
Mradi wetu wa phase II ulianza na kwisha kabla ya matarajio na wote waliowekeza walifaidika ndani ya siku 60 licha ya "projections" za awali za miezi mitatu mpaka sita.
Tunamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuwezesha hii miradi yetu na tunatowa shukurani nyingi sana kwa wale wote waliotuamini na kuwekeza nasi.
Kidole kimoja hakivunji chawa.
Abdul
0625249605
siyo lazima kila mtu aongee...waweza piga kimya.....umewahi kufuatilia na kupata mitaji benki wewe?"Mitaji inapatikana benki"
Mkachukue huko.
Leo tuna furaha kuwajulisha kuwa tumeanza test production ya phase 3 A.
Phase 3B tunatarajia itaanza April au May kutegemea na mwenendo wa mvua.
Abdul
OK...50% inarudi ndani ya miezi mitatu-sita ,vipi kuhusu ile 50% nyingine?....na kwa hesabu zenu na uzoefu, je,nitakuwa napata kiasi gani kwa kila wiki????Ni rahisi sana, unatutumia pesa zako unazotaka kuwekeza au tunakupa account namba unaziiingiza kwenye account yetu na inakuwa umeshawekeza.
Kwa upande wetu tunaanza kazi kwa tarehe kama tulizoziweka huko juu na kama kuna madiliko tunakujulisha, baada ya hapo tunakupa updates za mara kwa mara na tuna guarantee kuwa utapata 50% ya pesa ulizowekeza ndani ya miezi mitatu mpaka sita. Na huenda ikawa kabla ya hapo. Tunasema miezi mitatu mpaka sita ili tu kujiweka kwenye "safe side".
Mara tunapoanza mradi tunakutumia pesa kila wiki mpaka tunapohakikisha unapata kama tulivyoahidiana.
Hilo si group, huwa tunatuma PM kwa kila aliyewekeza kwenye miradi yetu.
Tukianzisha group tutawaunga, ni wazo zuri.
Uwekezaji mdogo wa 500,000 utaanza tena April 15 na utakuwa na grace period (muda wa matayarisho) ya mwezi mmoja au chini ya hapo.
Kila tukipata wawekezaji mapema ndiyo grace period (muda wa matayarisho) inapungua.
Karibu sana.