Fursa ya kuwekeza kwa msingi mdogo

Fursa ya kuwekeza kwa msingi mdogo

Inakuwa inaendelea.

Awamu ya kwanza ilikuwa ni uwekezaji wa 500,000 kwa wiki 52. Unaendelea kwa wale waliokwisha wekeza.

Tumeombwa na wengi tuanze tena ule uwekezaji mdogo, kuna watu wametutumia pesa zao, tunatarajia tutauanza tena mwezi huu wa nne. Tutawajulisha.
Je naweza jiunga sasa kwa uwekezaji mdogo. Tafadhali nijulishe....
 
Je naweza jiunga sasa kwa uwekezaji mdogo. Tafadhali nijulishe....


Uwekezaji mdogo wa 500,000 utaanza tena April 15 na utakuwa na grace period (muda wa matayarisho) ya mwezi mmoja au chini ya hapo.

Kila tukipata wawekezaji mapema ndiyo grace period (muda wa matayarisho) inapungua.

Karibu sana.
 
Uwekezaji mdogo wa 500,000 utaanza tena April 15 na utakuwa na grace period (muda wa matayarisho) ya mwezi mmoja au chini ya hapo.

Kila tukipata wawekezaji mapema ndiyo grace period (muda wa matayarisho) inapungua.

Karibu sana.
Shukran, nitafanya mawasiliano na Mzee
 
Dodoma tayari unaye wakala wa kusambaza super clay? Nataka kuwa wakala wako kwa hapa Dodoma
 
Uwekezaji mdogo wa 500,000 utaanza tena April 15 na utakuwa na grace period (muda wa matayarisho) ya mwezi mmoja au chini ya hapo.

Kila tukipata wawekezaji mapema ndiyo grace period (muda wa matayarisho) inapungua.

Karibu sana.
Nataka kuingia kwenye huu uwekezaji mdogo mkianza msiache kutu updates ili tutume pesa
 
Nataka kuingia kwenye huu uwekezaji mdogo mkianza msiache kutu updates ili tutume pesa

Huwa tuna kawaida ya ku update waliojiunga kwa njia ya whatsapp kila stage. Na kazi zinapoanza kuingiza income huwa tunatuma "statement" kila malipo yanapofanyika kwa njia ya email.

Tunategemea huu uwekezaji mdogo utaanza tena tarehe 15-4-2017.

Asante.
 
Huwa tuna kawaida ya ku update waliojiunga kwa njia ya whatsapp kila stage. Na kazi zinapoanza kuingiza income huwa tunatuma "statement" kila malipo yanapofanyika kwa njia ya email.

Tunategemea huu uwekezaji mdogo utaanza tarehe 15-4-2017.

Asante.
So kwa sisi ambao ndo tunataka kujiunga tuanaruhusiwa kuingia kwenye hilo group lenu la WhatsApp ili tupate update mkianza tutume pesa? if yes then naomba uniunge kwa 0763772636 email pettymichael92@gmail. com
 
Dodoma na Tanga tayari unaye wakala wa kusambaza super clay? Nataka kuwa wakala wako kwa hapa Dodoma na Tanga


Itakuwa vizuri sana. Tulikuwa na Bi Rukia wa pale kwenye Zanzibar mix pale barabara ya saba kwa hapo Dodoma lakini ninaona kazi za mix zimembana sana.

Tanga hatuna uwakilishi kwa sasa.

Karibu sana. Unaweza kutupigia 0769302206 kwa maelezo zaidi.
 
So kwa sisi ambao ndo tunataka kujiunga tuanaruhusiwa kuingia kwenye hilo group lenu la WhatsApp ili tupate update mkianza tutume pesa? if yes then naomba uniunge kwa 0763772636 email pettymichael92@gmail. com


Hilo si group, huwa tunatuma PM kwa kila aliyejiunga.

Ni wazo zuri hilo la kuanzisha group, tutawasiliana na wengine wakiafiki basi tutafanya group.
 
Na mm naomba niungwe kwenye group hilo la uwekezaji kwa namba 0763500398(chotanorasko@gmail.com.com)
 
Na mm naomba niungwe kwenye group hilo la uwekezaji kwa namba 0763500398(chotanorasko@gmail.com.com)

Hilo si group, huwa tunatuma PM kwa kila aliyewekeza kwenye miradi yetu.

Tukianzisha group tutawaunga, ni wazo zuri.
 
Biashara ya pesa ogopa sana, ina maneno matamu, utajiri unakuja mpaka usoni daaah..!

Na hata ukipigwa uhamini kama umepigwa kwa jinsi walivyo kunyenyekea na maneno matamu.

Ukiliangalia jina mume wangu, ushirikina upo, maneno matamu yapo na kudanganywa uku unaona kupo, kama vile mume kwa mke wake.

Ukienda kwenye hii biashara lazima ukawe mke, na mke lazima azae kwa maumivu.

Tafakali chukua hatua upo tayari kuzaa kwa maumivu?

Pesa pesa ogopa naneno yanayo husu pesa maana ni matamu na mwisho ni uchungu.

Hopeless guy.....utakufa masikini kama kawaida yenu...........
 
Tunapenda kuwafahamisha wote kuwa ule mradi wetu wa phase III ambao tulitarajia utaanza tarehe 16-3-2017 sasa tumeusogeza karibu zaidi na tunatarajia utaanza tarehe 10-3-2017.

Mara tu baada ya kuanza mradi huo tutatangaza phase III B.

Pia tunafuraha kuwajulisha kuwa mradi wetu wa phase I unaendelea vizuri na wawekezaji wanaendelea kufaidika na uwekezaji wao.

Mradi wetu wa phase II ulianza na kwisha kabla ya matarajio na wote waliowekeza walifaidika ndani ya siku 60 licha ya "projections" za awali za miezi mitatu mpaka sita.

Tunamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuwezesha hii miradi yetu na tunatowa shukurani nyingi sana kwa wale wote waliotuamini na kuwekeza nasi.

Kidole kimoja hakivunji chawa.

Abdul
0625249605

Mkuu Abdul nitakutafuta.......haya ndiyo mambo ya kuyafuatilia katika mitandao...achaneni na wapuuzi wanaopinga kila kitu....
 
Leo tuna furaha kuwajulisha kuwa tumeanza test production ya phase 3 A.

Phase 3B tunatarajia itaanza April au May kutegemea na mwenendo wa mvua.

Abdul

Vizuri sana.....ikimpendeza Mungu naweza kuwa sehemu ya uwekezaji wa Phase 3 B....Yote yanawezekana...time will tell
 
Ni rahisi sana, unatutumia pesa zako unazotaka kuwekeza au tunakupa account namba unaziiingiza kwenye account yetu na inakuwa umeshawekeza.

Kwa upande wetu tunaanza kazi kwa tarehe kama tulizoziweka huko juu na kama kuna madiliko tunakujulisha, baada ya hapo tunakupa updates za mara kwa mara na tuna guarantee kuwa utapata 50% ya pesa ulizowekeza ndani ya miezi mitatu mpaka sita. Na huenda ikawa kabla ya hapo. Tunasema miezi mitatu mpaka sita ili tu kujiweka kwenye "safe side".

Mara tunapoanza mradi tunakutumia pesa kila wiki mpaka tunapohakikisha unapata kama tulivyoahidiana.
OK...50% inarudi ndani ya miezi mitatu-sita ,vipi kuhusu ile 50% nyingine?....na kwa hesabu zenu na uzoefu, je,nitakuwa napata kiasi gani kwa kila wiki????
 
Hilo si group, huwa tunatuma PM kwa kila aliyewekeza kwenye miradi yetu.

Tukianzisha group tutawaunga, ni wazo zuri.

Zainab, ili kuwe na ufanisi, itabidi uunde group mbalimbali za whasapp/Telegram...kulingana na uwekezaji husika au malengo husika....kuanzia wale ambao bado hawajawekeza lakini wana nia , waliowekeza, nk
 
Uwekezaji mdogo wa 500,000 utaanza tena April 15 na utakuwa na grace period (muda wa matayarisho) ya mwezi mmoja au chini ya hapo.

Kila tukipata wawekezaji mapema ndiyo grace period (muda wa matayarisho) inapungua.

Karibu sana.

kwa uwekezaji huu mdogo ,nitarajie kupata kiasi gani kwa wiki?
 
Back
Top Bottom