Fursa ya kwenda kufundisha Kiswahili Marekani

Kufundisha kiswahili ni rahisi sana alafu mtihani unawapa swali kuwa
Fasihi ni kuku mnyonyoe
Kiswahili kina mambo ya kijinga sana, unafundishwa vingine unakuja kuulizwa vichekesho
 
Kiswahili kina mambo ya kijinga sana, unafundishwa vingine unakuja kuulizwa vichekesho
Sema hawa ni kile kiswahili rahisi kadri iwezekanavyo
Maana unaenda kufundisha watu ambao hawajui kiswahili kabisa
 
Mkuu Jimena kwanza hongera mwa nia yako njema ya kuwasanua wanajamii juu ya fursa hii.

Lakini kwenye swala la umri naomba urekebishe. Nimepitia tena tangazo husika, haswa kwenye kipengele cha Eligibility Criteria, sijaona popote walipoweka kigezo cha umri chini ya miaka 30, nipo tayari kusahihishwa.

Kutoka huko, zifuatazo ni sifa za muombaji;
  • Must be a citizen of the United Republic of Tanzania and reside in Tanzania throughout the application, nomination and selection process.
  • Applicants must have a bachelor’s degree by June 2024 with a good academic record.
  • Have a sincere interest in teaching Kiswahili and Tanzanian culture to students in the U.S.
  • Are fluent in English, as demonstrated by a recent score of no less than 550 (Paper Based TOEFL), 79-80 (Internet Based TOEFL – IBT), or 6.0 (Overall Score International English Language Testing System – IELTS). TOEFL scores are not required at the time of application.
  • Can work creatively and be self-reliant while being willing to work cooperatively as part of a team with faculty, staff and students.
  • Are flexible and have a willingness to learn.
  • Are adaptable to living in rural or urban areas.
  • Clearly demonstrate maturity, dependability, integrity and professionalism.
  • Do not hold U.S. citizenship; dual citizens are not eligible for the program participation.
  • Letter of support from Employer, if employed.
  • Written commitment to return and reside in Tanzania for at least two years upon completion of the program.
 
Mkuu muombaji inambidi awe na umri wa chini ya miaka 30 mpaka kufikia tarehe 03 may
Pia hizo programu za kwenda kufundisha huko ziko tofauti tofauti. Na umri unategemea na nchi uliyotoka. Yani kwa kifupi kila nchi wana taratibu tofauti na wengine, hata wakenya pia wanachukuliwa kwenda kufundisha huko japo mara zote watanzania ndio huwa wanaenda wengi.
Kwa ambao walipata nafasi hizi miaka iliyopita na wale walioomba ila wakakosa watakuwa wanajua vizuri hili swala la umri.
Pia kuna vipengele vingi tu ambapo hawajaviainisha hapo ila walengwa watakutana navyo wakati wanajaza fomu
 
Mahondaw
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…