Fursa ya safari ya kibiashara China (kwa wajasiriamali wenye mitaji midogo)

Fursa ya safari ya kibiashara China (kwa wajasiriamali wenye mitaji midogo)

HAITOSHI. Mtu mwenye 6m akupe hiyo hela umnunulie mzigo. Kwa hawa Bongo movie hata 5m inatosha kwasababu wakifika wanajiuza kwanza
Naongea kutokana na uzoefu hiyo pesa kwa kuanzia inatosha hasa ukiamua kuchukua
Fulana
Sox
Chupi
Urembo
Chaja za simu
Saa
Cover za simu nknk
Hivi ni vitu vinavyouzwa kwa marundo na kwa kilo.. Mfano saa za mkononi saa 10 unauziwa Yuan 10 sawa na Tsh 3000.. Na huo mzigo wote unakuja nao kwenye mabegi yako yasiyozidi 20kg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzoefu wa China, anaweza jitokeza akatoa semina ndogo hapa, juu hasa nini mnyonge mwenye milioni kumi anaweza fanya akaambulia faida na gharama zake kurudi baada ya safari,sidhani kama kuna ambaye anataka kwenda kama mtalii, wengi wanahitaji kwenda ili arudi na chochote kitakachorudisha gharama zake.
Asanteni.
 
Mzoefu wa China, anaweza jitokeza akatoa semina ndogo hapa, juu hasa nini mnyonge mwenye milioni kumi anaweza fanya ataambulia faida na gharama zake kurudi baada ya safari,sidhani kama kuna ambaye anataka kwenda kama mtalii, wengi wanahitaji kwenda ili arudi na chochote kitakachorudisha gharama zake.
Asanteni.
Kutakuwepo na semina kabla ya safari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naongea kutokana na uzoefu hiyo pesa kwa kuanzia inatosha hasa ukiamua kuchukua
Fulana
Sox
Chupi
Urembo
Chaja za simu
Saa
Cover za simu nknk
Hivi ni vitu vinavyouzwa kwa marundo na kwa kilo.. Mfano saa za mkononi saa 10 unauziwa Yuan 10 sawa na Tsh 3000.. Na huo mzigo wote unakuja nao kwenye mabegi yako yasiyozidi 20kg


Sent using Jamii Forums mobile app
Yuan 10 kwa sasa ni 3800 sio 3000.
 
M6 haitoshi kwenda China ukafanya la maana. Tafuta angalau 15m.
Huwezi kutegemea safari ya kwanza ikulipe.
Safari ni ya mafunzo na kutengeneza koneksheni.
Hata usipokwenda na mtaji bado italipa kwani unaenda kufanya utafiti.

Tujifunze kufanya utafiti kabla ya uwejezaji.

Una akili za ki ccm huwezi ekewa.

Go Mshana Jr goo
 
Huwezi kutegemea safari ya kwanza ikulipe.
Safari ni ya mafunzo na kutengeneza koneksheni.
Hata usipokwenda na mtaji bado italipa kwani unaenda kufanya utafiti.

Tujifunze kufanya utafiti kabla ya uwejezaji.

Una akili za ki ccm huwezi ekewa.

Go Mshana Jr goo
Ndugu ukileta uzi humu jua umeanzisha mjadala. Sio lazima wote tutoe maoni unayotaka wewe. Halafu siku ukiacha upumbavu wa kusema biashara mwanzoni hailipi utafanikiwa sana. Achana na hiyo misemo ya kimaskini... sijui mwanzo mgumu, au ule wa "tunajifunza kupitia makosa"...
 
Ndugu ukileta uzi humu jua umeanzisha mjadala. Sio lazima wote tutoe maoni unayotaka wewe. Halafu siku ukiacha upumbavu wa kusema biashara mwanzoni hailipi utafanikiwa sana. Achana na hiyo misemo ya kimaskini... sijui mwanzo mgumu, au ule wa "tunajifunza kupitia makosa"...
Wewe ndio maskini.
Hakuna biashara ya kudumu ambayo mwanzoni ina uhakika wa faida ya moja kwa moja.
Mfano: duka lolote la nguo au vipodizi au vyakula....pango na kuseti chumba, je mzigo wa kwanza utakulipa ewe chawa?

Labda udalali na uchuuzi unaweza kukulipa nayo sio kila mara.

Watu tumepiga biashara za kila namna, bidhaa na huduma...
Utafiti ni muhimu kwa ajili ya kupata faida kwa muda mrefu.

Pili....katika safari ya mafunzo kutakuwa na watu wa aina 3
1. Wenye nauli na mtaji mdogo, hawa wasitegemee faida kwa mara ya kwanza zaidi ya ku set koneksheni

2. Mtaji wa kati, hawa wanaweza kupata kafaida kadogo.

3. Mtaji mkubwa huyu ana uhakika wa faida kuanzia mzigo wa kwanza.
 
Wewe ndio maskini.
Hakuna biashara ya kudumu ambayo mwanzoni ina uhakika wa faida ya moja kwa moja.
Mfano: duka lolote la nguo au vipodizi au vyakula....pango na kuseti chumba, je mzigo wa kwanza utakulipa ewe chawa?

Labda udalali na uchuuzi unaweza kukulipa nayo sio kila mara.

Watu tumepiga biashara za kila namna, bidhaa na huduma...
Utafiti ni muhimu kwa ajili ya kupata faida kwa muda mrefu.

Pili....katika safari ya mafunzo kutakuwa na watu wa aina 3
1. Wenye nauli na mtaji mdogo, hawa wasitegemee faida kwa mara ya kwanza zaidi ya ku set koneksheni

2. Mtaji wa kati, hawa wanaweza kupata kafaida kadogo.

3. Mtaji mkubwa huyu ana uhakika wa faida kuanzia mzigo wa kwanza.
Najua nimegusa pabaya na unaniona mchawi kwenye huu uzi wa kada mwenzio. Kwa mfano jamaa kusema Yuan 10 ni sawa na Tsh 3000 badala ya rate ya leo Tsh 3800 alikuwa na lengo gani kama sio kuwaingiza mkenge? Nakusisitizia tena achana na misemo ya MWANZO MGUMU... badala ya mtu kulipa zaidi ya milioni 3 kugharamia safari ya mafunzo kwanini asizungushe hiyo hela kwanza? Nauli peke yake ya kwenda na kurudi ni zaidi ya 2m. Kula, Kulala na nauli za kuzunguka masokoni haitapungua 1m. Mnachofanya ni biashara kama biashara na hakuna nia ya dhati kusaidia watu hapa zaidi ya kuwasababishia matatizo yasiyo ya lazima.
 
Back
Top Bottom