Fursa ya safari ya kibiashara China (kwa wajasiriamali wenye mitaji midogo)

Fursa ya safari ya kibiashara China (kwa wajasiriamali wenye mitaji midogo)

Hapa nilipo ndio asubuh nipo mji mmoja hiv uko kaskazin mashariki ya china karibu na Russia ni barafu tupu. Miaka minne nyuma nilijilipua kufanya utafiti kuna tyre flan za Magar nilikuwa naifuatilia utokaji wake bongo ni mkubwa sana. Nimetoka kuweka order kama wiki mbili zilizopita kabla viwanda kufungwa. Ishu hapa ni mpunga. Ili mchina akupe tenda inakulazimu uweke mpunga wa maana Chin kama Bond. Ili wasimpe mwingine uagent in East Africa. Sasa kwasababu hela ni ndefu by then nikawatafuta wabongo tushee hiyo fursa wakatema. Nikaenda lusaka na Lubumbashi kuna washkaji tuliwah kukutana kwenye huu upambanaji mmoja msomali ana duka lusaka na mmoja mkasai nae ana duka Lubumbashi. Tulichokifanya tumefungua kampuni itakayokuwa na makao yake Dar. Ambayo Mimi ndio naisimamia na Agent mkuu zambia ni msomali na Congo ni mkasai na Mimi nawasuplaia. Imekuwa very simpo na tyre kwa mtindo huo inafaida ya kutosha. Sasa haya yote nawaeleza ili mpate kujua faida ya kutembea. We ukipata fursa ya kutoka usiangalie gharama kuna faida lukuki mbelen. Cku ukiotea viela flan unajua pa kuanzia. Ukiwa unafanya kaz na mtu usiangalie yeye anakupiga kias gan we angalia uwepo wake pale unakusogeza kias gan. Mi kwangu ukiwa mfanyakz wangu kama huna emotional za kaz nakufukuza nahtaji mtu ambae sio mwaminifu sana ila mpambanaji Sana. Kila akikaa ili aibe lazima aivushe kampuni.
Wabongo washamba sqna ukitembea nje ya nchi utajua maana ya utafiti wa biashara
 
Punguza ujuaji. Usidhani unachojua wewe wengine hawajui. Mimi naongelea uhalisia on the ground ulivyo na sio hizo stori za utafiti. Kijana kajibana 5m yake halafu aende kuzipoteza kwenye nauli na malazi ili tu kuiona China? Halafu akitoka China anaanza upya kutafuta mtaji. Mimi ninawasihi vijana wenye chini ya 5m waendelee kupambana mitaji ikue na huko China wataenda tu kilaini bila kujilazimisha.
Elimu .ni hela pia

Sent from my SM-A725F using JamiiForums mobile app
 
Sio ujuaji kaka. Hata Bible inasema usimfunge punda ukiwa unavuna.mi najua shida yako unaona labda mshana kuna hela flan anapata. Umesahau kuwa binadamu anajifunza zaid kwa kuona. Lakin pia kama nimemuelewa sio lazima wewe ambae hiyo million 5 ni hiyo tu unayo kuna wafanyakaz sometimes anataka kufanya biashara sasa haelewi how things work ila akikutana na wenzie wanapeana uzoefu nk. Tujifunze kujaribu vitu tofauti na biashara ni Risk. Kama hutak kurisk huwez kwenda popote.
Mimi naongelea vijana ambao bado wanajitafuta. Mkuu kijana ambaye ndo 5m yake ya kwanza sio sahihi kumshawishi aitumie kwenda kujifunza/kutalii China halafu akirudi aanze upya kutafuta mtaji. Hili mimi ninalipinga. Ni sawa na kuruka steji za ukuaji.
 
Hapa nilipo ndio asubuh nipo mji mmoja hiv uko kaskazin mashariki ya china karibu na Russia ni barafu tupu. Miaka minne nyuma nilijilipua kufanya utafiti kuna tyre flan za Magar nilikuwa naifuatilia utokaji wake bongo ni mkubwa sana. Nimetoka kuweka order kama wiki mbili zilizopita kabla viwanda kufungwa. Ishu hapa ni mpunga. Ili mchina akupe tenda inakulazimu uweke mpunga wa maana Chin kama Bond. Ili wasimpe mwingine uagent in East Africa. Sasa kwasababu hela ni ndefu by then nikawatafuta wabongo tushee hiyo fursa wakatema. Nikaenda lusaka na Lubumbashi kuna washkaji tuliwah kukutana kwenye huu upambanaji mmoja msomali ana duka lusaka na mmoja mkasai nae ana duka Lubumbashi. Tulichokifanya tumefungua kampuni itakayokuwa na makao yake Dar. Ambayo Mimi ndio naisimamia na Agent mkuu zambia ni msomali na Congo ni mkasai na Mimi nawasuplaia. Imekuwa very simpo na tyre kwa mtindo huo inafaida ya kutosha. Sasa haya yote nawaeleza ili mpate kujua faida ya kutembea. We ukipata fursa ya kutoka usiangalie gharama kuna faida lukuki mbelen. Cku ukiotea viela flan unajua pa kuanzia. Ukiwa unafanya kaz na mtu usiangalie yeye anakupiga kias gan we angalia uwepo wake pale unakusogeza kias gan. Mi kwangu ukiwa mfanyakz wangu kama huna emotional za kaz nakufukuza nahtaji mtu ambae sio mwaminifu sana ila mpambanaji Sana. Kila akikaa ili aibe lazima aivushe kampuni.
Nakupongeza sana. Nimefurahi kupata mtu tunayeshea mtazamo. Hata mimi kiukweli sitaki mtu ambaye sio mpambanaji na hana wazo lolote na kuchangamsha biashara. Kuna kijana dukani niliachana nae December hakuwa akiiba ila yeye kila kitu hajui. Yaani hana lolote la kuchangia mkiongelea biashara. Ni mtu wa kuelekezwa tu. Huyu mpya wa sasa mjanja mjanja ila ndo biashara inasonga.
 
Kutakuwa na safari ya kibiashara kwa wajasiriamali wenye mitaji kidogo nchini China mji wa YI WU mwezi wa tatu mwaka huu wa 2024 tarehe kumi hivi
Safari itakuwa ya pamoja kwa watu wasiopungua 10 na wasiozidi 20.. Faida ya safari hii ya pamoja
.Kupata barua ya mwaliko kwa bei nafuu
. Kupata tickets kwa bei nafuu
. Malazi ya pamoja ya bei nafuu uwapo huko
. Usafiri wa bei nafuu
. Ukalimani
. Mtandao wa maduka ya jumla makubwa na madogo
.Kupata connection mbalimbali za wafanyabiashara na wazalishaji wa China
. Gharama nafuu za chakula, vinywaji matembezi nknk
. Gharama nafuu na za uhakika za kusafirisha mizigo kurudi nchini..

Hii ni fursa mpya na wale watakaoweza kwenda ndio watafungua pazia kwa wengine huko mbeleni
Yale mambo ya kuagiza online ama kumuagiza mtu na kuishia kutapeliwa sasa yanafika mwisho.. Lakini vilevile kununua kitu kwa picha nayo yamafikia ukomo wake
Nitaweka mawasiliano rasmi kwa wale wote walio tayari.. Dirisha la waendaji litafungwa wiki ya pili ya mwezi February siku ya wapendanao

Nyongeza:
Kwa vijana wasio na mishe naweza kuwapa mizigo ya mali kauli kama wakitimiza vigezo na masharti

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakaa Mguu Sawa. Bht ikiwa upande wng 2024 utakuwa mwk wng
 
Imekaa vizuri sana
Maelezo yameshiba
Kwa walio serious hii ni Fursa ya uhakika


Mimi nimebugi juzi kati tu hapa nilikopa M 6 nikaishia kwenye pagara na nyingine nikaipiga chini ya pua kumbe ningejua ningesubiri niende China nirud na Viatu vya kike,flash,memory card,vifaa vidogovidogo vya kimachinga





Kwa wale mtakaofanikiwa kwenda muwe chachu mrudi na full info za kutuwezesha kipindi tunajitafuta za kuwekeza

Inshallah
Chini ya Pua ndio wapi?
 
Back
Top Bottom