Fursa ya safari ya kibiashara China (kwa wajasiriamali wenye mitaji midogo)

Fursa ya safari ya kibiashara China (kwa wajasiriamali wenye mitaji midogo)

Jina lako tuu linaakisi mawazo yako mgando. Boresha wazo sio kuli crash kwa fikra zenu za kimasikini.
Mnafurahia sana mazoea yenu ya kutaka umasikini ili mnunulike.
Wapumbavu wengi huwa hamtaki kuambiwa ukweli na kuishia kupigwa hata hicho kidogo mlicho nacho. Kama una hicho kimilioni 5 mkabidhi Mshana ukapige picha Guangzhou na Yiwu kisha urudi hapa kulia huna kitu.
 
Kutakuwa na safari ya kibiashara kwa wajasiriamali wenye mitaji kidogo nchini China mji wa YI WU mwezi wa tatu mwaka huu wa 2024 tarehe kumi hivi
Safari itakuwa ya pamoja kwa watu wasiopungua 10 na wasiozidi 20.. Faida ya safari hii ya pamoja
pp
Ni jambo jema sana mradi tu isije ikawa nafuu ni aghari, tunauza viwanja Bagamoyo malipo ni kulingana na uwezo wako baada ya malipo ya awali.
 
Wapumbavu wengi huwa hamtaki kuambiwa ukweli na kuishia kupigwa hata hicho kidogo mlicho nacho. Kama una hicho kimilioni 5 mkabidhi Mshana ukapige picha Guangzhou na Yiwu kisha urudi hapa kulia huna kitu.
Hivi kwanini umekuwa so negative kwenye hii mada? Una agenda yoyote ya siri? Hakuna niliposema watu wanikabidhi pesa zao mbona?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Punguza ujuaji. Usidhani unachojua wewe wengine hawajui. Mimi naongelea uhalisia on the ground ulivyo na sio hizo stori za utafiti. Kijana kajibana 5m yake halafu aende kuzipoteza kwenye nauli na malazi ili tu kuiona China? Halafu akitoka China anaanza upya kutafuta mtaji. Mimi ninawasihi vijana wenye chini ya 5m waendelee kupambana mitaji ikue na huko China wataenda tu kilaini bila kujilazimisha.
Mbona mimi nakuelewa sana mkuu
Una point kubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Imekaa vizuri sana
Maelezo yameshiba
Kwa walio serious hii ni Fursa ya uhakika


Mimi nimebugi juzi kati tu hapa nilikopa M 6 nikaishia kwenye pagara na nyingine nikaipiga chini ya pua kumbe ningejua ningesubiri niende China nirud na Viatu vya kike,flash,memory card,vifaa vidogovidogo vya kimachinga





Kwa wale mtakaofanikiwa kwenda muwe chachu mrudi na full info za kutuwezesha kipindi tunajitafuta za kuwekeza

Inshallah
Hivi mkuu kati ya biashara ya vipodozi na viatu ipi ina mzinguko mkubwa ukiachana na mambo ya location
 
Back
Top Bottom