kitali
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 5,204
- 8,315
Hapana mfuate bin slum chief. Na mtu mmoja anaitwa acha nikae kimyaKoo tairi hauuzi, me nataka tairi hizo why uninyime na ni muuzaji wa tairi? [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana mfuate bin slum chief. Na mtu mmoja anaitwa acha nikae kimyaKoo tairi hauuzi, me nataka tairi hizo why uninyime na ni muuzaji wa tairi? [emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaa hapa anawajaza tu ili awapige hela atambaeUna hoja nzito sana. Sijui kama wanakuelewa lakini. Kuna watu huwa wanakopa kusafiri wakirudi wana madeni ya kulipa na hawana mitaji, me nakuelewa sana.
Wewe demu una wivu sana sasa akiwapiga wewe kinakuhusu nini? Uwekee wivu uboo wa mumeo vingine achana navyoJamaa hapa anawajaza tu ili awapige hela atambae
Jomba mbona unashindwa kuwa mbunifu hata kwenye matusi? Halafu unavyosema "sasa akiwapiga kinakuhusu nini" ungeweza kunitamkia hivyohivyo kama tungekutana uso kwa uso? Mimi siwezi vumilia vijana kuvurugwa kwenye maisha yao kisa Mshana anataka hela za shortcut. Bahati nzuri kafanikiwa kupata vichwa viwili tu toka JF.Wewe demu una wivu sana sasa akiwapiga wewe kinakuhusu nini? Uwekee wivu uboo wa mumeo vingine achana navyo
AseeJomba mbona unashindwa kuwa mbunifu hata kwenye matusi? Halafu unavyosema "sasa akiwapiga kinakuhusu nini" ungeweza kunitamkia hivyohivyo kama tungekutana uso kwa uso? Mimi siwezi vumilia vijana kuvurugwa kwenye maisha yao kisa Mshana anataka hela za shortcut. Bahati nzuri kafanikiwa kupata vichwa viwili tu toka JF.
Wapi nimekutukana shida yako wewe unajifanya ni mjuaji mno kiasi kwamba eti mpaka unawaambia watu eti hiyo tour kama una mtaji wa milion 5 asiende wakati kila mmoja hapa ana namna yake ya kuishi na kutafuta pesa....unadhani mimi ni muoga kwamba tukikutana naweza kukuogopa? Njoo hapa mtwara mjini ulizia mnachihangu utaonyeshwa kwanguJomba mbona unashindwa kuwa mbunifu hata kwenye matusi? Halafu unavyosema "sasa akiwapiga kinakuhusu nini" ungeweza kunitamkia hivyohivyo kama tungekutana uso kwa uso? Mimi siwezi vumilia vijana kuvurugwa kwenye maisha yao kisa Mshana anataka hela za shortcut. Bahati nzuri kafanikiwa kupata vichwa viwili tu toka JF.
Sio kwamba najifanya mjuaji ni KWELI NINAJUA. China na Dubai nimeenda sana. Hakuna utakachonidanganya kuhusu hizo sehemu 2. Tafuteni njia sahihi za kutafuta hela na sio kuremba maneno hapa. Halafu wewe fala elewa 5m ni hela kdg sana kwenda nayo hata hapo Kampala. Kama sio mimi kuwasanua mapema watu kibao wangeingia mkenge kwenye hii ishu.Wapi nimekutukana shida yako wewe unajifanya ni mjuaji mno kiasi kwamba eti mpaka unawaambia watu eti hiyo tour kama una mtaji wa milion 5 asiende wakati kila mmoja hapa ana namna yake ya kuishi na kutafuta pesa....unadhani mimi ni muoga kwamba tukikutana naweza kukuogopa? Njoo hapa mtwara mjini ulizia mnachihangu utaonyeshwa kwangu
Binti ndio maana nikakuambia kuwa upunguze ujuaji hivi unadhani hawa member waliopo humu unadhani wapo serious wa kutoa milion 5?waulize wanauoza biashara humu uone kama ni wangapi wamenunua kutoka humuSio kwamba najifanya mjuaji ni KWELI NINAJUA. China na Dubai nimeenda sana. Hakuna utakachonidanganya kuhusu hizo sehemu 2. Tafuteni njia sahihi za kutafuta hela na sio kuremba maneno hapa. Halafu wewe fala elewa 5m ni hela kdg sana kwenda nayo hata hapo Kampala. Kama sio mimi kuwasanua mapema watu kibao wangeingia mkenge kwenye hii ishu.
Unaweza kujua Dubai na china kwa kugoogle tu halafu ukaja hapa kudanganya kuwa umefika, ikiwa tu wewe ni mwanaume halafu humu unajifanya wewe ni mwanamke kwa kujiita mama samia ndio tuje tuamini maneno yako?Sio kwamba najifanya mjuaji ni KWELI NINAJUA. China na Dubai nimeenda sana. Hakuna utakachonidanganya kuhusu hizo sehemu 2. Tafuteni njia sahihi za kutafuta hela na sio kuremba maneno hapa. Halafu wewe fala elewa 5m ni hela kdg sana kwenda nayo hata hapo Kampala. Kama sio mimi kuwasanua mapema watu kibao wangeingia mkenge kwenye hii ishu.
Sio lazima uamini kuwa nimefika huku na sio jukumu langu kukuthibitishia. Cha muhimu hapa ninapinga huu upuuzi wa kuwadanganya watu na kuwaingiza kwenye matatizo yasiyo ya lazima.. kuhusu ID yangu hutaweza kuielewa kama akili zako ni ndogo.Unaweza kujua Dubai na china kwa kugoogle tu halafu ukaja hapa kudanganya kuwa umefika, ikiwa tu wewe ni mwanaume halafu humu unajifanya wewe ni mwanamke kwa kujiita mama samia ndio tuje tuamini maneno yako?
Wewe malaya wa karne bora ungekaa tu kimya.Binti ndio maana nikakuambia kuwa upunguze ujuaji hivi unadhani hawa member waliopo humu unadhani wapo serious wa kutoa milion 5?waulize wanauoza biashara humu uone kama ni wangapi wamenunua kutoka humu
nimependa philosophy yako ya kutaka mpambanajh na sio kigezo mama kuwa ni auaminifu,ntakusaka ndugu tuyajengeHapa nilipo ndio asubuh nipo mji mmoja hiv uko kaskazin mashariki ya china karibu na Russia ni barafu tupu. Miaka minne nyuma nilijilipua kufanya utafiti kuna tyre flan za Magar nilikuwa naifuatilia utokaji wake bongo ni mkubwa sana. Nimetoka kuweka order kama wiki mbili zilizopita kabla viwanda kufungwa. Ishu hapa ni mpunga. Ili mchina akupe tenda inakulazimu uweke mpunga wa maana Chin kama Bond. Ili wasimpe mwingine uagent in East Africa. Sasa kwasababu hela ni ndefu by then nikawatafuta wabongo tushee hiyo fursa wakatema. Nikaenda lusaka na Lubumbashi kuna washkaji tuliwah kukutana kwenye huu upambanaji mmoja msomali ana duka lusaka na mmoja mkasai nae ana duka Lubumbashi. Tulichokifanya tumefungua kampuni itakayokuwa na makao yake Dar. Ambayo Mimi ndio naisimamia na Agent mkuu zambia ni msomali na Congo ni mkasai na Mimi nawasuplaia. Imekuwa very simpo na tyre kwa mtindo huo inafaida ya kutosha. Sasa haya yote nawaeleza ili mpate kujua faida ya kutembea. We ukipata fursa ya kutoka usiangalie gharama kuna faida lukuki mbelen. Cku ukiotea viela flan unajua pa kuanzia. Ukiwa unafanya kaz na mtu usiangalie yeye anakupiga kias gan we angalia uwepo wake pale unakusogeza kias gan. Mi kwangu ukiwa mfanyakz wangu kama huna emotional za kaz nakufukuza nahtaji mtu ambae sio mwaminifu sana ila mpambanaji Sana. Kila akikaa ili aibe lazima aivushe kampuni.
JF ni kijiwe cha kahawa na kashata, wachache sana ndio wapo genuine.Hii safari ilikuwa miyeyusho ndo maana hakuna mrejesho.
tyre za kampuni gani?Hapa nilipo ndio asubuh nipo mji mmoja hiv uko kaskazin mashariki ya china karibu na Russia ni barafu tupu. Miaka minne nyuma nilijilipua kufanya utafiti kuna tyre flan za Magar nilikuwa naifuatilia utokaji wake bongo ni mkubwa sana. Nimetoka kuweka order kama wiki mbili zilizopita kabla viwanda kufungwa. Ishu hapa ni mpunga. Ili mchina akupe tenda inakulazimu uweke mpunga wa maana Chin kama Bond. Ili wasimpe mwingine uagent in East Africa. Sasa kwasababu hela ni ndefu by then nikawatafuta wabongo tushee hiyo fursa wakatema. Nikaenda lusaka na Lubumbashi kuna washkaji tuliwah kukutana kwenye huu upambanaji mmoja msomali ana duka lusaka na mmoja mkasai nae ana duka Lubumbashi. Tulichokifanya tumefungua kampuni itakayokuwa na makao yake Dar. Ambayo Mimi ndio naisimamia na Agent mkuu zambia ni msomali na Congo ni mkasai na Mimi nawasuplaia. Imekuwa very simpo na tyre kwa mtindo huo inafaida ya kutosha. Sasa haya yote nawaeleza ili mpate kujua faida ya kutembea. We ukipata fursa ya kutoka usiangalie gharama kuna faida lukuki mbelen. Cku ukiotea viela flan unajua pa kuanzia. Ukiwa unafanya kaz na mtu usiangalie yeye anakupiga kias gan we angalia uwepo wake pale unakusogeza kias gan. Mi kwangu ukiwa mfanyakz wangu kama huna emotional za kaz nakufukuza nahtaji mtu ambae sio mwaminifu sana ila mpambanaji Sana. Kila akikaa ili aibe lazima aivushe kampuni.
Safi sana mkuu, vipi mwaka huu kuna fursa kama hii tena?Kutakuwa na safari ya kibiashara kwa wajasiriamali wenye mitaji kidogo nchini China mji wa YI WU mwezi wa tatu mwaka huu wa 2024 tarehe kumi hivi
Safari itakuwa ya pamoja kwa watu wasiopungua 10 na wasiozidi 20.. Faida ya safari hii ya pamoja
.Kupata barua ya mwaliko kwa bei nafuu
. Kupata tickets kwa bei nafuu
. Malazi ya pamoja ya bei nafuu uwapo huko
. Usafiri wa bei nafuu
. Ukalimani
. Mtandao wa maduka ya jumla makubwa na madogo
.Kupata connection mbalimbali za wafanyabiashara na wazalishaji wa China
. Gharama nafuu za chakula, vinywaji matembezi nknk
. Gharama nafuu na za uhakika za kusafirisha mizigo kurudi nchini..
Hii ni fursa mpya na wale watakaoweza kwenda ndio watafungua pazia kwa wengine huko mbeleni
Yale mambo ya kuagiza online ama kumuagiza mtu na kuishia kutapeliwa sasa yanafika mwisho.. Lakini vilevile kununua kitu kwa picha nayo yamafikia ukomo wake
Nitaweka mawasiliano rasmi kwa wale wote walio tayari.. Dirisha la waendaji litafungwa wiki ya pili ya mwezi February siku ya wapendanao
Nyongeza:
Kwa vijana wasio na mishe naweza kuwapa mizigo ya mali kauli kama wakitimiza vigezo na masharti
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi hawakurudiHii safari ilikuwa miyeyusho ndo maana hakuna mrejesho.