Fursa ya safari ya kibiashara China (kwa wajasiriamali wenye mitaji midogo)

Fursa ya safari ya kibiashara China (kwa wajasiriamali wenye mitaji midogo)

Mshana Jr
hiyo paragraph ya mwisho.Unaweza nipa taarifa zaidi?

Nyongeza:
Kwa vijana wasio na mishe naweza kuwapa mizigo ya mali kauli kama wakitimiza vigezo na masharti
 
Nchi hii ina wazalendo wa kweli wachache sana.

Mtu kama Mshana Jr ni tunu na hazina kwa Taifa.

Hongera sana, awamu ya pili naomba utujuze ili nishiriki hiyo ziara.

Pia ndg Mshana Jr kama hautojali naomba unitumie PM link ya telegram na whatsapp ya makundi yako ili nami nipate wasaa wa kujifunza mengi.


Natanguliza shukrani.
 
Wewe demu una wivu sana sasa akiwapiga wewe kinakuhusu nini? Uwekee wivu uboo wa mumeo vingine achana navyo
Jomba mbona unashindwa kuwa mbunifu hata kwenye matusi? Halafu unavyosema "sasa akiwapiga kinakuhusu nini" ungeweza kunitamkia hivyohivyo kama tungekutana uso kwa uso? Mimi siwezi vumilia vijana kuvurugwa kwenye maisha yao kisa Mshana anataka hela za shortcut. Bahati nzuri kafanikiwa kupata vichwa viwili tu toka JF.
 
Jomba mbona unashindwa kuwa mbunifu hata kwenye matusi? Halafu unavyosema "sasa akiwapiga kinakuhusu nini" ungeweza kunitamkia hivyohivyo kama tungekutana uso kwa uso? Mimi siwezi vumilia vijana kuvurugwa kwenye maisha yao kisa Mshana anataka hela za shortcut. Bahati nzuri kafanikiwa kupata vichwa viwili tu toka JF.
Asee
 
Jomba mbona unashindwa kuwa mbunifu hata kwenye matusi? Halafu unavyosema "sasa akiwapiga kinakuhusu nini" ungeweza kunitamkia hivyohivyo kama tungekutana uso kwa uso? Mimi siwezi vumilia vijana kuvurugwa kwenye maisha yao kisa Mshana anataka hela za shortcut. Bahati nzuri kafanikiwa kupata vichwa viwili tu toka JF.
Wapi nimekutukana shida yako wewe unajifanya ni mjuaji mno kiasi kwamba eti mpaka unawaambia watu eti hiyo tour kama una mtaji wa milion 5 asiende wakati kila mmoja hapa ana namna yake ya kuishi na kutafuta pesa....unadhani mimi ni muoga kwamba tukikutana naweza kukuogopa? Njoo hapa mtwara mjini ulizia mnachihangu utaonyeshwa kwangu
 
Wapi nimekutukana shida yako wewe unajifanya ni mjuaji mno kiasi kwamba eti mpaka unawaambia watu eti hiyo tour kama una mtaji wa milion 5 asiende wakati kila mmoja hapa ana namna yake ya kuishi na kutafuta pesa....unadhani mimi ni muoga kwamba tukikutana naweza kukuogopa? Njoo hapa mtwara mjini ulizia mnachihangu utaonyeshwa kwangu
Sio kwamba najifanya mjuaji ni KWELI NINAJUA. China na Dubai nimeenda sana. Hakuna utakachonidanganya kuhusu hizo sehemu 2. Tafuteni njia sahihi za kutafuta hela na sio kuremba maneno hapa. Halafu wewe fala elewa 5m ni hela kdg sana kwenda nayo hata hapo Kampala. Kama sio mimi kuwasanua mapema watu kibao wangeingia mkenge kwenye hii ishu.
 
Sio kwamba najifanya mjuaji ni KWELI NINAJUA. China na Dubai nimeenda sana. Hakuna utakachonidanganya kuhusu hizo sehemu 2. Tafuteni njia sahihi za kutafuta hela na sio kuremba maneno hapa. Halafu wewe fala elewa 5m ni hela kdg sana kwenda nayo hata hapo Kampala. Kama sio mimi kuwasanua mapema watu kibao wangeingia mkenge kwenye hii ishu.
Binti ndio maana nikakuambia kuwa upunguze ujuaji hivi unadhani hawa member waliopo humu unadhani wapo serious wa kutoa milion 5?waulize wanauoza biashara humu uone kama ni wangapi wamenunua kutoka humu
 
Sio kwamba najifanya mjuaji ni KWELI NINAJUA. China na Dubai nimeenda sana. Hakuna utakachonidanganya kuhusu hizo sehemu 2. Tafuteni njia sahihi za kutafuta hela na sio kuremba maneno hapa. Halafu wewe fala elewa 5m ni hela kdg sana kwenda nayo hata hapo Kampala. Kama sio mimi kuwasanua mapema watu kibao wangeingia mkenge kwenye hii ishu.
Unaweza kujua Dubai na china kwa kugoogle tu halafu ukaja hapa kudanganya kuwa umefika, ikiwa tu wewe ni mwanaume halafu humu unajifanya wewe ni mwanamke kwa kujiita mama samia ndio tuje tuamini maneno yako?
 
Unaweza kujua Dubai na china kwa kugoogle tu halafu ukaja hapa kudanganya kuwa umefika, ikiwa tu wewe ni mwanaume halafu humu unajifanya wewe ni mwanamke kwa kujiita mama samia ndio tuje tuamini maneno yako?
Sio lazima uamini kuwa nimefika huku na sio jukumu langu kukuthibitishia. Cha muhimu hapa ninapinga huu upuuzi wa kuwadanganya watu na kuwaingiza kwenye matatizo yasiyo ya lazima.. kuhusu ID yangu hutaweza kuielewa kama akili zako ni ndogo.
 
Binti ndio maana nikakuambia kuwa upunguze ujuaji hivi unadhani hawa member waliopo humu unadhani wapo serious wa kutoa milion 5?waulize wanauoza biashara humu uone kama ni wangapi wamenunua kutoka humu
Wewe malaya wa karne bora ungekaa tu kimya.
 
My Bro Mshana endelea unajua tena kina sisi kila kitu kukosoa tu na kujifanya tunajua kila kitu. Mwenye nia ya dhati atafanya na hawa wababaishaji achana nao. Hongera kaka wajasiliamali tumekuelewa.
 
Hapa nilipo ndio asubuh nipo mji mmoja hiv uko kaskazin mashariki ya china karibu na Russia ni barafu tupu. Miaka minne nyuma nilijilipua kufanya utafiti kuna tyre flan za Magar nilikuwa naifuatilia utokaji wake bongo ni mkubwa sana. Nimetoka kuweka order kama wiki mbili zilizopita kabla viwanda kufungwa. Ishu hapa ni mpunga. Ili mchina akupe tenda inakulazimu uweke mpunga wa maana Chin kama Bond. Ili wasimpe mwingine uagent in East Africa. Sasa kwasababu hela ni ndefu by then nikawatafuta wabongo tushee hiyo fursa wakatema. Nikaenda lusaka na Lubumbashi kuna washkaji tuliwah kukutana kwenye huu upambanaji mmoja msomali ana duka lusaka na mmoja mkasai nae ana duka Lubumbashi. Tulichokifanya tumefungua kampuni itakayokuwa na makao yake Dar. Ambayo Mimi ndio naisimamia na Agent mkuu zambia ni msomali na Congo ni mkasai na Mimi nawasuplaia. Imekuwa very simpo na tyre kwa mtindo huo inafaida ya kutosha. Sasa haya yote nawaeleza ili mpate kujua faida ya kutembea. We ukipata fursa ya kutoka usiangalie gharama kuna faida lukuki mbelen. Cku ukiotea viela flan unajua pa kuanzia. Ukiwa unafanya kaz na mtu usiangalie yeye anakupiga kias gan we angalia uwepo wake pale unakusogeza kias gan. Mi kwangu ukiwa mfanyakz wangu kama huna emotional za kaz nakufukuza nahtaji mtu ambae sio mwaminifu sana ila mpambanaji Sana. Kila akikaa ili aibe lazima aivushe kampuni.
nimependa philosophy yako ya kutaka mpambanajh na sio kigezo mama kuwa ni auaminifu,ntakusaka ndugu tuyajenge
 
Hapa nilipo ndio asubuh nipo mji mmoja hiv uko kaskazin mashariki ya china karibu na Russia ni barafu tupu. Miaka minne nyuma nilijilipua kufanya utafiti kuna tyre flan za Magar nilikuwa naifuatilia utokaji wake bongo ni mkubwa sana. Nimetoka kuweka order kama wiki mbili zilizopita kabla viwanda kufungwa. Ishu hapa ni mpunga. Ili mchina akupe tenda inakulazimu uweke mpunga wa maana Chin kama Bond. Ili wasimpe mwingine uagent in East Africa. Sasa kwasababu hela ni ndefu by then nikawatafuta wabongo tushee hiyo fursa wakatema. Nikaenda lusaka na Lubumbashi kuna washkaji tuliwah kukutana kwenye huu upambanaji mmoja msomali ana duka lusaka na mmoja mkasai nae ana duka Lubumbashi. Tulichokifanya tumefungua kampuni itakayokuwa na makao yake Dar. Ambayo Mimi ndio naisimamia na Agent mkuu zambia ni msomali na Congo ni mkasai na Mimi nawasuplaia. Imekuwa very simpo na tyre kwa mtindo huo inafaida ya kutosha. Sasa haya yote nawaeleza ili mpate kujua faida ya kutembea. We ukipata fursa ya kutoka usiangalie gharama kuna faida lukuki mbelen. Cku ukiotea viela flan unajua pa kuanzia. Ukiwa unafanya kaz na mtu usiangalie yeye anakupiga kias gan we angalia uwepo wake pale unakusogeza kias gan. Mi kwangu ukiwa mfanyakz wangu kama huna emotional za kaz nakufukuza nahtaji mtu ambae sio mwaminifu sana ila mpambanaji Sana. Kila akikaa ili aibe lazima aivushe kampuni.
tyre za kampuni gani?
 
Kutakuwa na safari ya kibiashara kwa wajasiriamali wenye mitaji kidogo nchini China mji wa YI WU mwezi wa tatu mwaka huu wa 2024 tarehe kumi hivi
Safari itakuwa ya pamoja kwa watu wasiopungua 10 na wasiozidi 20.. Faida ya safari hii ya pamoja
.Kupata barua ya mwaliko kwa bei nafuu
. Kupata tickets kwa bei nafuu
. Malazi ya pamoja ya bei nafuu uwapo huko
. Usafiri wa bei nafuu
. Ukalimani
. Mtandao wa maduka ya jumla makubwa na madogo
.Kupata connection mbalimbali za wafanyabiashara na wazalishaji wa China
. Gharama nafuu za chakula, vinywaji matembezi nknk
. Gharama nafuu na za uhakika za kusafirisha mizigo kurudi nchini..

Hii ni fursa mpya na wale watakaoweza kwenda ndio watafungua pazia kwa wengine huko mbeleni
Yale mambo ya kuagiza online ama kumuagiza mtu na kuishia kutapeliwa sasa yanafika mwisho.. Lakini vilevile kununua kitu kwa picha nayo yamafikia ukomo wake

Nitaweka mawasiliano rasmi kwa wale wote walio tayari.. Dirisha la waendaji litafungwa wiki ya pili ya mwezi February siku ya wapendanao

Nyongeza:
Kwa vijana wasio na mishe naweza kuwapa mizigo ya mali kauli kama wakitimiza vigezo na masharti

Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana mkuu, vipi mwaka huu kuna fursa kama hii tena?
 
Back
Top Bottom