Baada ya kutangaza nafasi za uakala wa mauzo ya kuuza majiko ya gesi ya kampuni ya M Gas tumepokea simu nyingi kila mmoja akitaka kuijuinga.
Tumeona tuweke sawa hapa ili kama hauna kigezo au kuelewa utaratibu usihangaike kupiga simu.
SIFA ZA WATU TUNAOHITAJI
Kama huna mojawapo ya hizo sifa usiombe.
Kama huko tayari kulipwa kwa commission usiombe
MAOMBI
Tumeona tuweke sawa hapa ili kama hauna kigezo au kuelewa utaratibu usihangaike kupiga simu.
SIFA ZA WATU TUNAOHITAJI
- Mtanzania
- Umri kuanzia miaka 18
- Uwe mkazi wa Dsm (Kipaumbele kwa wakazi wa maeneo ya Kigogo, Mburahati, Manzese, Magomeni, Mabibo, Tandale na maneo ya karibu)
- Elimu kuanzia kidato cha pili
- Timamu wa mwili na akili
- Umiliki smart phone
- Malipo yanafanyika kwa mfumo wa commission, yani unalipwa kwa jinsi unavyofanya mauzo.
Kama huna mojawapo ya hizo sifa usiombe.
Kama huko tayari kulipwa kwa commission usiombe
MAOMBI
- Kwa sasa ili kupata nafasi hizi usipige simu bali tuma taarifa zako MAJINA KAMILI, NAMBA YA SIMU, UMRI NA MTAA UNAPOISHI NDANI YA DSM Kwenye namba 0683977897.
- Ni vyema ukatuma taarifa yako kati ya leo mpaka Ijumaa jioni (9/12/2022) kwa ajili ya kuchakatwa na kuitwa Jumamosi.