Fursa ya Uwekezaji kwa wadau wa maendeleo

Fursa ya Uwekezaji kwa wadau wa maendeleo

Rockefeller

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2016
Posts
1,209
Reaction score
2,243
Habari za asubuhi waku, Niende moja kwa moja kwenye hoja.
Tuna mradi wa ubunifu wa kufuga wadudu kwa lengo la kubadilisha taka hai kuwa bidhaa zenye thamani kama mbolea na chakula cha mifugo. Mpango wetu ni kupanua shughuli hizi kwenye moja ya dampo kubwa na la kisasa nchini, ambapo tunalenga kuchakata tani za kutosha za taka kila siku na baadaye kuongeza uwezo zaidi.

Hadi sasa, tumepata vibali vyote muhimu. Sasa tunatafuta wawekezaji au washirika wa kifedha kusaidia kufanikisha hatua hii. Kama una nia ya kuwekeza au kushirikiana nasi katika mradi huu wa kipekee wenye manufaa ya kiuchumi, kimazingira na kijamii, tafadhali tuwasiliane PM kwa undani zaidi. Natanguliza shukrani
 
Habari za asubuhi waku, Niende moja kwa moja kwenye hoja.
Tuna mradi wa ubunifu wa kufuga wadudu kwa lengo la kubadilisha taka hai kuwa bidhaa zenye thamani kama mbolea na chakula cha mifugo. Mpango wetu ni kupanua shughuli hizi kwenye moja ya dampo kubwa na la kisasa nchini, ambapo tunalenga kuchakata tani za kutosha za taka kila siku na baadaye kuongeza uwezo zaidi.

Hadi sasa, tumepata vibali vyote muhimu. Sasa tunatafuta wawekezaji au washirika wa kifedha kusaidia kufanikisha hatua hii. Kama una nia ya kuwekeza au kushirikiana nasi katika mradi huu wa kipekee wenye manufaa ya kiuchumi, kimazingira na kijamii, tafadhali tuwasiliane PM kwa undani zaidi. Natanguliza shukrani
Elezea kitaalam ...pesa aziwekwi Kwa mihemko boss..
 
Habari za asubuhi waku, Niende moja kwa moja kwenye hoja.
Tuna mradi wa ubunifu wa kufuga wadudu kwa lengo la kubadilisha taka hai kuwa bidhaa zenye thamani kama mbolea na chakula cha mifugo. Mpango wetu ni kupanua shughuli hizi kwenye moja ya dampo kubwa na la kisasa nchini, ambapo tunalenga kuchakata tani za kutosha za taka kila siku na baadaye kuongeza uwezo zaidi.

Hadi sasa, tumepata vibali vyote muhimu. Sasa tunatafuta wawekezaji au washirika wa kifedha kusaidia kufanikisha hatua hii. Kama una nia ya kuwekeza au kushirikiana nasi katika mradi huu wa kipekee wenye manufaa ya kiuchumi, kimazingira na kijamii, tafadhali tuwasiliane PM kwa undani zaidi. Natanguliza shukrani
Black Soldier Fly Larvae bila shaka? tafuta wazo jingine mfanye.
 
Habari za asubuhi waku, Niende moja kwa moja kwenye hoja.
Tuna mradi wa ubunifu wa kufuga wadudu kwa lengo la kubadilisha taka hai kuwa bidhaa zenye thamani kama mbolea na chakula cha mifugo. Mpango wetu ni kupanua shughuli hizi kwenye moja ya dampo kubwa na la kisasa nchini, ambapo tunalenga kuchakata tani za kutosha za taka kila siku na baadaye kuongeza uwezo zaidi.

Hadi sasa, tumepata vibali vyote muhimu. Sasa tunatafuta wawekezaji au washirika wa kifedha kusaidia kufanikisha hatua hii. Kama una nia ya kuwekeza au kushirikiana nasi katika mradi huu wa kipekee wenye manufaa ya kiuchumi, kimazingira na kijamii, tafadhali tuwasiliane PM kwa undani zaidi. Natanguliza shukrani
Hakuna cha ubunifu, hio inafanywa sana mtaani na watu wa kawaida tu ambao hata shule hawajawahi enda, Hakuna kitu cha ajabu pale, na sio rahisi na sio pesa kama unavyo fikiria.
 
Back
Top Bottom