FURSA YA WELDING

FURSA YA WELDING

Senior masai

Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
88
Reaction score
89
Hello,
Katika mizunguko yangu mikoani nimefika eneo nikakuta changamoto ya kutengeneza mageti na vifaa vingine vyote vinavohusiana na kuchomelea vyuma,
Shida ni kwamba sijawahi kuwa engaged na kuwa na ofisi kama hiyo ila kwa sasa natamani sana niwe nayo na sitaki nisite wala kungoja,

Kwa wazoefu na wataalamu wa kazi hizi za welding natamani nipate elimu na mwongozo kuhusu ofisi ya welding katika mifumo ifuatayo,!!
1, nawalipa vipi wale vijana watakaokua wanafanya kazi katika ofisi yangu,
2, ni muda na wakati gani au katika mazingira gani napata faida,
3, ntatumia mbinu gani kupata wateja wapya?,
4, vipi utumiaji wa umeme na vifaa!
NATANGULIZA SHUKRANI
 
Mbn hujauliza na kwa muda gan utaanza kupata hasara🤣🤣
 
Hello,
Katika mizunguko yangu mikoani nimefika eneo nikakuta changamoto ya kutengeneza mageti na vifaa vingine vyote vinavohusiana na kuchomelea vyuma,
Shida ni kwamba sijawahi kuwa engaged na kuwa na ofisi kama hiyo ila kwa sasa natamani sana niwe nayo na sitaki nisite wala kungoja,

Kwa wazoefu na wataalamu wa kazi hizi za welding natamani nipate elimu na mwongozo kuhusu ofisi ya welding katika mifumo ifuatayo,!!
1, nawalipa vipi wale vijana watakaokua wanafanya kazi katika ofisi yangu,
2, ni muda na wakati gani au katika mazingira gani napata faida,
3, ntatumia mbinu gani kupata wateja wapya?,
4, vipi utumiaji wa umeme na vifaa!
NATANGULIZA SHUKRANI

Tafuta mafundi wazuri kwanza
Tafuta location (eneo) zuri

Kuhusu malipo

Ni vizuri mkawa mnalipana kutokana na jinsi Kazi zinavyofanyika mfano mkiuza Sana mnalipana Sana na mkiuza kidogo mnalipana the same .


Kuhusu Wateja - tumia zaidi mitandao huko na kuna wateja wa uhakika .


Kwa sasa kutangaza mitandaoni unaingiza Sana Wateja kuliko hata katika radio .


Kuwa na mtu mzuri wa masoko mwenye uwezo wa kufanya robbing.

Ushawishi (Persuasion) .


All the best

Be legend early
 
Tafuta mafundi wazuri kwanza
Tafuta location (eneo) zuri

Kuhusu malipo

Ni vizuri mkawa mnalipana kutokana na jinsi Kazi zinavyofanyika mfano mkiuza Sana mnalipana Sana na mkiuza kidogo mnalipana the same .


Kuhusu Wateja - tumia zaidi mitandao huko na kuna wateja wa uhakika .


Kwa sasa kutangaza mitandaoni unaingiza Sana Wateja kuliko hata katika radio .


Kuwa na mtu mzuri wa masoko mwenye uwezo wa kufanya robbing.

Ushawishi (Persuasion) .


All the best

Be legend early
Noted
 
Hello,
Katika mizunguko yangu mikoani nimefika eneo nikakuta changamoto ya kutengeneza mageti na vifaa vingine vyote vinavohusiana na kuchomelea vyuma,
Shida ni kwamba sijawahi kuwa engaged na kuwa na ofisi kama hiyo ila kwa sasa natamani sana niwe nayo na sitaki nisite wala kungoja,

Kwa wazoefu na wataalamu wa kazi hizi za welding natamani nipate elimu na mwongozo kuhusu ofisi ya welding katika mifumo ifuatayo,!!
1, nawalipa vipi wale vijana watakaokua wanafanya kazi katika ofisi yangu,
2, ni muda na wakati gani au katika mazingira gani napata faida,
3, ntatumia mbinu gani kupata wateja wapya?,
4, vipi utumiaji wa umeme na vifaa!
NATANGULIZA SHUKRANI
Ukihitaji fundi me nipo nina uzoef wa hii kazi wa miaka 10+ nichek pm
 
Back
Top Bottom