Engineer levi Devin
JF-Expert Member
- May 17, 2016
- 2,501
- 1,047
Those are some of the brands.Mnachofanya, millers wa Kenya wananunua mpunga toka Tanzania wakifika katika viwanda vyao wanaukoboa na kweka katika mifuko yenye majina yao, taja hizo brand za Kenya mnazonunua na useme huo Mchele wanakoutoa kama sio Tanzania
https://www.theeastafrican.co.ke/bu...a-to-increase/2560-4293312-a11g7gz/index.html
Acha kua mjinga , Pakistan exports a lot of rice here and it's very popular than any brand hadi umepewa jina Pakistan.90% ya mchele mnaokula Kenya unatoka Tanzania na unakuja kwa grades zote yaani huo wa first grade ni watanzania na huo wa least grade ni wa Tanzania vile vile
Hakuna mchele unaolimwa Kenya unaweza tosheleza mahitaji ya hata mtaa mmoja tu. You are too lazy to work for your stomachs
Pia Ruvuma, Katavi na Kigoma wanalima sana mchele kule ila wao mwingi unaenda DRC na BurundiTanzania kuna zaidi ya aina 5 tofauti za Michele na bei ni tofauti. Mchele wa Kyela ndio mzuri kuliko wote na bei yake ni kubwa, kupatikana kwake ni ngumu, huko Kenya haufiki kwasababu unalimwa mpakani na Malawi, Mchele wa Mwanza na Shinyanga ndio unaonunuliwa na nchi za Rwanda na Uganda, Mchele wa Morogoro na Moshi, ndio unaokuja Kenya, mchele wa Mbeya na Pwani, ndio unaotimika Dar es salaam. Yote ni tofauti kabisa na bei pia ni tofauti
Sijasema hamzalishi na Wala haimaanishi mkizalisha wote mnauleta hapa, kenya imports 70% of the deficit from Pakistan and it's very cheaper than any other rice.Wacha maneno yako ya kijinga, Tanzania ndio mzalishaji mkubwa wa Mchele katika ukanda wote huu, Tanzania inauza mchele hadi South Afrika, hakuna nchi yoyote katika Eastern, Central &Southern African inayoshinda Tanzania katika KILIMO cha Mchele. Katika Afrika nzima Tanzania inazidiwa na Egypt na Nigeria tu.
Lol too lazy to understand that these are just packages, Michele hii yote 90% imetolewa TanzaniaThose are some of the brands ambazo utapata kwa maduka.Those are some of the brands.View attachment 1503392View attachment 1503393View attachment 1503394View attachment 1503395View attachment 1503396View attachment 1503397View attachment 1503398View attachment 1503399View attachment 1503400View attachment 1503401View attachment 1503402View attachment 1503406View attachment 1503407View attachment 1503408View attachment 1503411
Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
Tanzania mchele wetu unaliwa karibu nchi zote east africa na Southern Africa na unasifika kote kutokana na ubora wakeAcha kua mjinga , Pakistan exports a lot of rice here and it's very popular than any brand hadi umepewa jina Pakistan.
Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
Huu mchele wote unatoka Toka Tanzania, onyesha wapi huu mchele unatoka zaidi ya Tanzania. Tafadhali weka link kyonyesha zaidi ya Tanzania, ni nchi gani tena "is the major source of rice consumed in Kenya".Those are some of the brands ambazo utapata kwa maduka.Those are some of the brands.View attachment 1503392View attachment 1503393View attachment 1503394View attachment 1503395View attachment 1503396View attachment 1503397View attachment 1503398View attachment 1503399View attachment 1503400View attachment 1503401View attachment 1503402View attachment 1503406View attachment 1503407View attachment 1503408View attachment 1503411
Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
Pia Ruvuma, Katavi na Kigoma wanalima sana mchele kule ila wao mwingi unaenda DRC na Burundi
Wana cheza vip na upepo ? Kiukweli mlaji hunufaika zaidi pindi anapo fika sokoni na kukuta bidhaa moja anaipata kwa gharama tofauti kulingana na ubora ila ss mkulima ndio ana umia zaidi kiukwel Tz tuna jivunia sifa tu za kuzalisha mazao ila hali ya wazalishaj wenyewe ss ni. Worse. (Hili halina ubishi)Watu huku sana wanacheza na upepo
hahaha Tanzania ilishapiga marufuku mchele kutoka nje ya nchi sababu tunajitosheleza mpaka kulisha nchi zaidi ya 15Tanzania doesn't produce much rice as you are told,wakiuza mchele hapa kenya haimaanishi Wana surplusView attachment 1503460
Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
Ilo ni swala la mpishi Tu ! Kuna staili ya upishi wa wali na ubwabwa (bokoboko) hata upewe mchele wa toka taiwan au thailand kama hujui ufundi wa upishi la wali utatoa tu Bokoko. (Argument yangu ni wazi wakenya mnafaida saana mnapata pindi mnapata uhakika wa upatikanaj wa mazao mbali mbalitena kulingana na kipato cha mwananchi )Not everyone,kila mtu ananunua kinachompendeza wapo wanaonunua rice because of aroma, Wakenya wengi wanapenda ule mchele ukipikwa haushikani. Kuna kipindi nilikua Tanzania nikaenda kwenye hotel nilipewa wali ambao umeshikana Kama ugali, hata nilishindwa kuula maana our rice unaweza hata ukauhesabu baada ya kupika.
Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
You seem to lack content, how can you export what you don't have? In fact you import from Pakistan,ndio maana nikasema your export here in Ile tu normal business in the spirit of East Africa lakini haimaanishi you have surplus.Huu mchele wote unatoka Toka Tanzania, onyesha wapi huu mchele unatoka zaidi ya Tanzania. Tafadhali weka link kyonyesha zaidi ya Tanzania, ni nchi gani tena "is the major source of rice consumed in Kenya".
Huko siko ktk argument yangu ! Swala la kuuziwa plastic rice ni uzembe wa serikali na KRA yenu na food & drug authority yenuWakenya wengi wananunua brand ambazo ziko well established, sio rahisi upate mtu ananunua tu mchele ambao haujui maana unaweza ukanunua plastic rice.
Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
Tunawauzia mchele mwingi tu na wala sio ninyi peke yenuTanzania doesn't produce much rice as you are told,wakiuza mchele hapa kenya haimaanishi Wana surplusView attachment 1503460
Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
Plastic fish wanauzwa Hadi US iwe tu rice?Huko siko ktk argument yangu ! Swala la kuuziwa plastic rice ni uzembe wa serikali na KRA yenu na food & drug authority yenu
Tanzania kuingiza mchele kutoka nje ni jinaiYou seem to lack content, how can you export what you don't have? In fact you import from Pakistan,ndio maana nikasema your export here in Ile tu normal business in the spirit of East Africa lakini haimaanishi you have surplus.View attachment 1503462
Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
Sasa Kama mnaexport 84000 tons hio Ina translate into 90 % of the rice consumed here? For your information kenya consumes 600000 tons of rice annually na ndio nimekuambia most of imported rice comes from Pakistan, kenya imports 200000 tons of rice from Pakistan.Tunawauzia mchele mwingi tu na wala sio ninyi peke yenu
Wakenya huwa mnafikiri kwamba ninyi tu ndio soko la mazao ya Tanzania kitu ambacho ni kujiaminisha kwenye hamna, Tanzania tuna majirani 8 na wote tunaewalisha ni sisi.
Tena SADC nchi karibu zote tunazihudumia.
Bro this is 2018 report can you stop hallucinating, serikali hua Zina suspend importation of commodities Kama Kuna uhaba lakini kukiwa na need wanaimport ,juzi tu mumetoa sukari uganda haimaanishi mtakua mna import daily mtasimamisha mkiwa nayo na Kama hamna mtanunua, this screenshot is for 2018 angalau Soma uwelewe.
Wacha ushamba wewe, Tanzania zaidi ya sukari na ngano hakuna Chakula kingine tunaagiza, unachanganyikiwa wewe, iweje Kenya Rwanda, Uganda, DRC, Zambia, Malawi, Mozambique wote wananunua mchele toka Tanzania kama hatuna mchele wa kutosha?, kwanini ninyi Kenya msinunue mcheke toka huko Pakistan badala yake mnanunua toka Tanzania?, data za 2016 unazileta Leo, huo mwaka tulikua na upungufu wa mcheke kutokana na upungufu wa mvua.Tanzania doesn't produce much rice as you are told,wakiuza mchele hapa kenya haimaanishi Wana surplusView attachment 1503460
Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
Mchele mwingi zaidi unaingia Kenya kwa njia za chocho, usifikiri kuna exact statistics zinazoonesha kiasi halisi cha mazao yanayoingia kwenu kutokea nchi jirani na ndio maana kuna panya roads nyingi na smuggling mipakani ni orderSasa Kama mnaexport 84000 tons hio Ina translate into 90 % of the rice consumed here? For your information kenya consumes 600000 tons of rice annually na ndio nimekuambia most of imported rice comes from Pakistan, kenya imports 200000 tons of rice from Pakistan.
Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app