joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Show us which country is the major source of rice consumed by Kenyans.You seem to lack content, how can you export what you don't have? In fact you import from Pakistan,ndio maana nikasema your export here in Ile tu normal business in the spirit of East Africa lakini haimaanishi you have surplus.View attachment 1503462
Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
Fake news hiyo kwanza hata sio media ya Tanzania,Bro this is 2018 report can you stop hallucinating, serikali hua Zina suspend importation of commodities Kama Kuna uhaba lakini kukiwa na need wanaimport ,juzi tu mumetoa sukari uganda haimaanishi mtakua mna import daily mtasimamisha mkiwa nayo na Kama hamna mtanunua, this screenshot is for 2018 angalau Soma uwelewe.View attachment 1503472
Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
Wacha ushamba wewe, Tanzania zaidi ya sukari na ngano hakuna Chakula kingine tunaagiza, unachanganyikiwa wewe, iweje Kenya Rwanda, Uganda, DRC, Zambia, Malawi, Mozambique wote wananunua mchele toka Tanzania kama hatuna mchele wa kutosha?, kwanini ninyi Kenya msinunue mcheke toka huko Pakistan badala yake mnanunua toka Tanzania?, data za 2016 unazileta Leo, huo mwaka tulikua na upungufu wa mcheke kutokana na upungufu wa mvua.
Which Tanzanian media do you want,do you even have a formidable media to give you trusted news or data?.Fake news hiyo kwanza hata sio media ya Tanzania,
Leta gazeti la Kiswahili sio hao wanao source mitandaoni bila official data kutoka kwa wizara
Bandarini mchele hauingii na wala mchele sio sukari.
Pakistan and India.Show us which country is the major source of rice consumed by Kenyans.
Which Tanzanian media do you want,do you even have a formidable media to give you trusted news or data?.
Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
Leta quoted data form officials bila hivyo huu ni udaku kama udaku mwingine2016 Tanzania haikukua Tanzania Leo ndio imekua Tanzania ,tumia akili sio kutetea visivyotetewa . look at the date and stop quoting me with your cheap argument.View attachment 1503478
Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
Kwanza mchele wenyewe mnakula basi, nyie ni mafundi wa ugali na githeri maskini wa kutupwa nyie [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]Na huo ndio unalimwa Sana huko kwenu sisi huku huo haupendwi Sana na watu.
Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
Wacha ujinga wewe, Michele, mahindi na mazao mengine ni mazao yanayochukua miezi minne tu, kwahiyo ndani ya mwaka mmoja kila kitu kinabadilika.2016 Tanzania haikukua Tanzania Leo ndio imekua Tanzania ,tumia akili sio kutetea visivyotetewa . look at the date and stop quoting me with your cheap argument.View attachment 1503478
Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
Onyesha ni nchi gani kati ya hizo ulizotaja ambayo inaiuzia Kenya japo mchele wenye thamani ya nusu ya hiyo $3.6M.
Sasa unabisha, huku ukiuza au upike mchele wa kushikana hotwli watu wanasepa...Wacha maneno mengi, 70% ya mchele unaotumika Kenya na Rwanda unatoka Tanzania.
Hahaha!!mchele gani huo first grade wa tanzania[emoji23][emoji23]90% ya mchele mnaokula Kenya unatoka Tanzania na unakuja kwa grades zote yaani huo wa first grade ni watanzania na huo wa least grade ni wa Tanzania vile vile
Hakuna mchele unaolimwa Kenya unaweza tosheleza mahitaji ya hata mtaa mmoja tu. You are too lazy to work for your stomachs
Ushahidi please[emoji23][emoji23],Lol too lazy to understand that these are just packages, Michele hii yote 90% imetolewa Tanzania
Sasa unafikiri Tanzania ndio hatupack hivi au?
Ndipo mnapo fail hapo wa kenya yaan hamuwezi kujiwekea standard zeny kama nchi lzm mjifananishe na developed country ... Ss ata kama Us wapo itakuwa kwa matumiz mengine sio kama mahitaj ya developing country like kenya nchi ambayo fooe security ni shida mnoo kama mtu anadiriki kupika mawe ss we unahisi akiona huo mchele wa plasticc kwann asifikiriee kuupika ? Anaupika kukidhi njaa lkn je ni sahihi huo mchele ni kwaajiki ya matumiz ya binadamu hasa raia mkenya ?
Mwanzoni nlikuwa nadhani ww komora ni mwanaume ila kwa komenti hii unayajua mapishi hivi dah.Sasa unabisha, huku ukiuza au upike mchele wa kushikana hotwli watu wanasepa...
Sijui hko kwenu
Mimi sipo hapa kutetea jubilee au mtu yeyote yule Kama nchi tunamapungufu yetu Wala sifanyi kazi ya usabasi maana sitegemei kulipwa buku Saba mwisho wa kwisha Kama wewe maana upo tayari kusema lolote maana utalipwa buku Saba.Leta quoted data form officials bila hivyo huu ni udaku kama udaku mwingine
Mention single media from Kenya which can match Azam media house?Which Tanzanian media do you want,do you even have a formidable media to give you trusted news or data?.
Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
Kwny hyo avatar tu unaonekana kabisa mzee wa githeri wali utauweza wp ww.mchele wa tz ni uchafu mtupu!! naomba serikali ipige ban kabisa!!
naomba nikupe uja uzito mama.Kwny hyo avatar tu unaonekana kabisa mzee wa githeri wali utauweza wp ww.
jina lingine cherekochereko au V.I,P