Cephas Saphiel
Member
- May 25, 2009
- 32
- 16
Nashukuru sana mkuu. Naomba kukuuliza kuhusu muda au timing ya masoko. Je huwa kuna muda maalumu wa kupata bei nafuu ya bidhaa fulani? na kama upo muda maalumu ni lini na kwa bidhaa gani? Je visa ni bei gani? Nashukuru mkuu