Fursa za biashara nchi ya Thailand

Fursa za biashara nchi ya Thailand

Money Stunna

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2011
Posts
13,053
Reaction score
6,304
Nchi ya Thailand ni kama unavyoona china imepiga hatua kubwa kwa viwanda na leo nitawaonyesha fursa ili kusaidiana hasa kwa wale wajasiriamali.

Kwanza kabisa wana hotel nyingi na nzuri na kwa bei rahis sana .mfano wa hotel hizo ni Airy resort bei yake ni tzsh 21,000 kuna silva gold garden bei tzsh 23,000 etc hizo zipo karibu na airport na hizo room kuna wifi, simu, maji, vitanda safi, room kubwa etc.

Mji wao mkuu ni Bangkok. Kwa wale wenye maduka ya nguo ya kuuza shirts,blouses,skirts, jackets, ties, bags etc ni fursa nzuri kwenu sababu kule vitu bei ni sawa na bure ata nguo nyingi na viatu zinazouzwa Marekani zimetoka Bangkok Thailand, China na Korea.

Sababu kuu ya bei yao kuwa ndogo ni kuwa wanatumia cheap labor na wana viwanda vingi sana.

Unaweza kununua bidhaa zako kwenye shopping mall au kwenye masoko ya bei rahisi mfano kuna soko la weekend linaitwa "chatuchak weekend market " hapo wakuu vitu bei ni sawa na bure na nguo mpya quality nzuri.

Mfano bei za tshirt, jeanz unaweza pata kuanzia 50baht sawa na dolla 1.60 adi 100 baht hizi bei ninazokutajia ni kama ukinunua kwa bidhaa moja moja kwa maana hiyo ukinunua kwa jumla bei inakuwa chini ya hapo.

Kwa bei ya kitu kimoja moja kiatu kizuri cha 60,000 bangkok utanunua kwa dolla 3 au 4.Pia unaweza kubageini kwa maana hiyo ukinunua kwa uwingi unapunguziwa. Pia kuna market nyingine kama Prutunam market.

Kwa wale wenzangu mnaopenda kufanya shopping kwenye mall Kuna shopping mall kama Terminal 21 shopping mall mbk etc. Kwa hiyo ni jukumu lako kuamua kama unafanya shopping kwa market za kawaida ambazo bei uwa cheap zaidi kutokana ufanyika sehemu ya wazi. Na ukipenda shopping mall sawa pia. kule bidhaa za heleni za kina dada na cheni zipo kule bei ya cheni ya silver ni rahis zaidi kuliko tz.

Tiket za ndege bei utegemea umekata ndege gani na umekata mapema au ...
Hivo unaweza kufatilia hilo.

Kuna wafanyabiashara wa maduka wengi kariakoo nawajua kama 3 waliotajirika kupitia kufata mzigo uko.Mwenye kuongezea ujuzi ruksa pengine kuna vitu nimesahau pia kama nimeandika kiswahili kibovu samahan.

Kazi kwenu sasa
 
Asante kwa ukarimu wako, nami kama mdau hapo juu ningependa kujua jinsi ya kusafirisha mzigo kuja nchini.
Na kingine, ni contact kama hautajali hata kwa pm ya mtu/watu ambao wanaofunga mzigo huko. Kweli bei zinavutia sana, na nguo za Thailand nyingi ni nzuri sana tu.
 
Mkuu asante sana kwa kutupa fursa hizo za Thai. Mbali na nguo, je kuna bidhaa gani huko ambazo bei ni poa?
Vipi kuhusu usafirishaji wa mizigo kutoka Bangkok kuja Dar?

Bidhaa zipo nyingi mfano zaidi ata vitu electronic.simu. Laptops, computer etc bei zao ni rahisi

Kama unataka kusafirisha kwa kontena wasiliana na

Care freight co ltd
44 petchburi road ,soi 15
Payathai, bangkok 10
Tel +66-2-6319401/4

Au contact Fazal simu +66819057743
Email afazal@care-freight.com

Kuna na ofis pia apa Tanzania. Dar

Mechanised cargo system ltd
Samora avenue /mkwepu st junction
Plot 582.apt 201
Dar
Tel 255 22 2128401/203
Au 0784 243888 / 0656 246815

Contact Harshid / isaac chirwa

harshid@mechanisedtz.com

Hao makao makuu ya kampuni yanaitwa rapid freight international iko rashidiya Dubai. United Arabs Emirates.

Namba 97142860672
 
Asante kwa ukarimu wako, nami kama mdau hapo juu ningependa kujua jinsi ya kusafirisha mzigo kuja nchini.
Na kingine, ni contact kama hautajali hata kwa pm ya mtu/watu ambao wanaofunga mzigo huko. Kweli bei zinavutia sana, na nguo za Thailand nyingi ni nzuri sana tu.

Nishaweka mkuu. Wasiliana nao
 
Mkuu vipi kuhusu electronics kama Camera, LED tv , printers na vifaa vya studio vina unafuu?

Electronics ni cheap sana kuna shopping mall maharufu sana kwa vitu vya electronic iko located na New Phetchabuti road mwendo mdogo toka Rathchathewi sky train station.Inaitwa Pantip Plaza

Hapo kuna vitu vingi vya electronics, computer software. Printer, camera. Simu, computer equipment, laptops etc.

Pantip plaza ni maharufu sana Bangkok kwa vitu vya electronic japo kwa mtaa pia utapata lakin hiyo ni shopping mall maarufu kwa electronics
 
Nchi ya Thailand ni kama unavyoona china imepiga hatua kubwa kwa viwanda na leo nitawaonyesha fursa ili kusaidiana hasa kwa wale wajasiriamali.

Kwanza kabisa wana hotel nyingi na nzuri na kwa bei rahis sana .mfano wa hotel hizo ni Airy resort bei yake ni tzsh 21,000 kuna silva gold garden bei tzsh 23,000 etc hizo zipo karibu na airport na hizo room kuna wifi, simu, maji, vitanda safi, room kubwa etc.

Mji wao mkuu ni Bangkok. Kwa wale wenye maduka ya nguo ya kuuza shirts,blouses,skirts, jackets, ties, bags etc ni fursa nzuri kwenu sababu kule vitu bei ni sawa na bure ata nguo nyingi na viatu zinazouzwa Marekani zimetoka Bangkok Thailand, China na Korea.

Sababu kuu ya bei yao kuwa ndogo ni kuwa wanatumia cheap labor na wana viwanda vingi sana.

Unaweza kununua bidhaa zako kwenye shopping mall au kwenye masoko ya bei rahis mfano kuna soko la weekend linaitwa "chatuchak weekend market " hapo wakuu vitu bei ni sawa na bure na nguo mpya quality nzuri.

Mfano bei za tshirt, jeanz unaweza pata kuanzia 50baht sawa na dolla 1.60 adi 100 baht hizi bei ninazokutajia ni kama ukinunua kwa bidhaa moja moja kwa maana hiyo ukinunua kwa jumla bei inakuwa chini ya hapo.

Kwa bei ya kitu kimoja moja kiatu kizuri cha 60,000 bangkok utanunua kwa dolla 3 au 4.

Pia unaweza kubageini kwa maana hiyo ukinunua kwa uwingi unapunguziwa.

Pia kuna market nyingine kama Prutunam market.

Kwa wale wenzangu mnaopenda kufanya shopping kwenye mall

Kuna shopping mall kama Terminal 21 ,shopping mall mbk etc.

Kwa hiyo ni jukumu lako kuamua kama unafanya shopping kwa market za kawaida ambazo bei uwa cheap zaidi kutokana ufanyika sehemu ya wazi. Na ukipenda shopping mall sawa pia.

Pia kule bidhaa za heleni za kina dada na cheni zipo kule bei ya cheni ya silver ni rahis zaidi kuliko tz.

Tiket za ndege bei utegemea umekata ndege gani na umekata mapema au ...
Hivo unaweza kufatilia ilo.

Kuna wafanyabiashara wa maduka wengi kariakoo nawajua kama 3 waliotajirika kupitia kufata mzigo uko.

Mwenye kuongezea ujuzi ruksa pengine kuna vitu nimesahau pia kama nimeandika kiswahili kibovu samahan.

Kazi kwenu sasa
You are a generous type of a person..God bless you
 
Nyama pia nishawanywesha. Vinywaji utajinywesha mwenyewe

Hawa jamaa uliotuwekea mawasiliano yao wanaweza kutupa maelekezo zaidi?
Mfano mm sipajui huko, siku nikienda wanaweza kuwa wenyeji wangu kule? Au inanibidi nitafute rafiki wakunihifadhi nifikapo kule. Je vipi kuhusu ubaguzi huko kwao, wanajali wateja kutoka nchi zetu?
Vp kuhusu suala la usalama?
 
Hawa jamaa uliotuwekea mawasiliano yao wanaweza kutupa maelekezo zaidi?
Mfano mm sipajui huko, siku nikienda wanaweza kuwa wenyeji wangu kule? Au inanibidi nitafute rafiki wakunihifadhi nifikapo kule. Je vipi kuhusu ubaguzi huko kwao, wanajali wateja kutoka nchi zetu?
Vp kuhusu suala la usalama?

Hizo namba zinaweza kukusaidia pia Bangkok kuna watu wa kila aina sijaona ubaguzi.

Usalama upo
 
Back
Top Bottom