Fursa za biashara nchi ya Thailand

Fursa za biashara nchi ya Thailand

heee cousin ngoja nami nianze kuwekeza hela ili japo nikaone fahari ya macho huko

nitakushtua binamu ili nami niweze kuwa pamoja nanyi katika msafara huo Mungu akipenda
Cousin.. Mir tangu nilipouona huu uzi nimeanza kuweka akiba kwenye kibubu na Mungu akipenda November naweza tia maguu hukoo!!

Hebu tuwasiliane kwa maelezo zaidi kama utapenda kwenda!!
 
Asante sana money stun...inshallah Mungu akipenda ntaenda august...nikirudi ntatoa majibu
 
Nitakua mchoyo wa fadhila nisiposema kitu kwenye uzi huu. Hakika nimefunguka sana na nimeanza kufikiri kwa mapana zaidi. Nina kila kitu onhand; pesa, passport, vaccination card, fremu na wateja juu. Nilichokua nakosa ni taarifa sahihi tu: wenye roho zao za korosho walituaminisha unahitaji si chini ya 30m kwenda huko kumbe sio. Sasa najipanga wadau, nitawatafuta wale mnaojipanga kama mimi.
Juu ya yote shukrani sana Money Stuna, Dikembe na wengineo. Tunahitaji Watanzania wa aina hii.
 
OKY NGOJA NIWASILIANE NA charminglady NA WENGINEO TUONE INAKUWAJE

TUAMBIE KUHUSU VISA INAKUWAJE NA JE NAULI YA KWENDA HUKO NI BEI GANI?
Visa haina complication, ila Tanzania hakuna balozi ipo Nairobi. Mnaweza mkajipanga mkamtuma mmoja akaenda nairobi kuwagongea. Visa ni kama dola mia kwa single entry. Ticket sina hakika tokea dsm sababu mimi sitokei Tanzania(sianzii safari Tanzania) ila kama ukibook mapema means miezi hii itakugharimu USD 1,200 return ticket. (kwa ndege kama Kenya air ways, Ethiopia naTurkish air). Jipangeni wakuu
 
Nitakua mchoyo wa fadhila nisiposema kitu kwenye uzi huu. Hakika nimefunguka sana na nimeanza kufikiri kwa mapana zaidi. Nina kila kitu onhand; pesa, passport, vaccination card, fremu na wateja juu. Nilichokua nakosa ni taarifa sahihi tu: wenye roho zao za korosho walituaminisha unahitaji si chini ya 30m kwenda huko kumbe sio. Sasa najipanga wadau, nitawatafuta wale mnaojipanga kama mimi.
Juu ya yote shukrani sana Money Stuna, Dikembe na wengineo. Tunahitaji Watanzania wa aina hii.
Mkuu karibu..share hizo information hapo juu na ladyfurahia
 
asante kunifahamisha nashukuru ngoja na wenzangu waone hapa njooni akina charminglady, Kaunga muone charge za ticket hapa
Visa haina complication, ila Tanzania hakuna balozi ipo Nairobi. Mnaweza mkajipanga mkamtuma mmoja akaenda nairobi kuwagongea. Visa ni kama dola mia kwa single entry. Ticket sina hakika tokea dsm sababu mimi sitokei Tanzania(sianzii safari Tanzania) ila kama ukibook mapema means miezi hii itakugharimu USD 1,200 return ticket. (kwa ndege kama Kenya air ways, Ethiopia naTurkish air). Jipangeni wakuu
 
Last edited by a moderator:
Kha!!!!..ebu nituame
Watu wanazungumzia Thailand we unaleta habari za hongkong!!!
Si bure umevurugwa.

Msamehe bure! Sijui wake zetu watafanya biashara gani jamani? Wakitaka kwenda Thailand Lomborghin anawatafuta ngono! Wakuu hebu mwaache akinamama wafanye biashara jamani! Kama huna mke hebu oa uone gharama ya kutunza mke!!!
 
Msamehe bure! Sijui wake zetu watafanya biashara gani jamani? Wakitaka kwenda Thailand Lomborghin anawatafuta ngono! Wakuu hebu mwaache akinamama wafanye biashara jamani! Kama huna mke hebu oa uone gharama ya kutunza mke!!!

Yaani mkuu asante kwa kunisaidia maana kaniganda utafikiri ruba...

Mwanamke mwenye akili timamu wala hababaiki na kulipiwa ticket ya ndege
Ila nimemsahe huyu Lambornini cjuhi mi namuona
Ka chizi
 
Back
Top Bottom