Fursa za biashara nchi ya Thailand

Fursa za biashara nchi ya Thailand

Yaani mkuu asante kwa kunisaidia maana kaniganda utafikiri ruba...

Mwanamke mwenye akili timamu wala hababaiki na kulipiwa ticket ya ndege
Ila nimemsahe huyu Lambornini cjuhi mi namuona
Ka chizi

he, huyu si mnaitana switi huyu, leo vipi unamkana?...lol!
Tulia mkuu, denti kapata bumu atakulipia first class.
 
he, huyu si mnaitana switi huyu, leo vipi unamkana?...lol!
Tulia mkuu, denti kapata bumu atakulipia first class.

Hahahahahah. ..mkuu huyu kashindwa kuninulia viatu vya elfu 65 itakuwa ticket ya first class???
 
Mkuu hala hala tu .....wengine wake zetu humu!!!!
Mkuu, kama kuna wake zenu si ndio vyema ili mnufaike wote na hii fursa au unataka singles tu ndio waende...Ondoa shaka ni jambo jema tu, hakuna baya nadhani hata makazini wanafanya kazi na wanaume pia.
 
Hahahahahah. ..mkuu huyu kashindwa kuninulia viatu vya elfu 65 itakuwa ticket ya first class???

Mi sijashindwa na siwezi kushindwa Ila unanikwepa sana
Are u serious nikukatie ticket ya first class?
Ila tu ukubali masharti yangu
 
Mkuu, kama kuna wake zenu si ndio vyema ili mnufaike wote na hii fursa au unataka singles tu ndio waende...Ondoa shaka ni jambo jema tu, hakuna baya nadhani hata makazini wanafanya kazi na wanaume pia.

Yaani singles ndio wazuri
Ila mi wife nitampeleka mwenyewe nimeshaghairi
 
asante kunifahamisha nashukuru ngoja na wenzangu waone hapa njooni akina charminglady, Kaunga muone charge za ticket hapa

Jamani mimi nimechoka maneno, nataka vitendo sasa. Aliyetayari twende tujilipue. Nina uhakika tutatoka tu.

Niko tayari hata akipatikana mmoja. Huku uraiani kuna mdada aliniahidi ila mpaka leo kimya.
 
Last edited by a moderator:
Mungu anisaidie ngoja nijitahidi kujikusanya ili nione nikoje halafu tupange best kwani natamani sana kwenda kuosha macho huko
Jamani mimi nimechoka maneno, nataka vitendo sasa. Aliyetayari twende tujilipue. Nina uhakika tutatoka tu.

Niko tayari hata akipatikana mmoja. Huku uraiani kuna mdada aliniahidi ila mpaka leo kimya.
 
Big up stunna kwa mada yako ya manufaa, namuunga mkono pia bwana sengeon tukutana kama watu watatu au wanne walio serious tupange mikakati ya kufanyia kazi swala hili
 
Big up stunna kwa mada yako ya manufaa, namuunga mkono pia bwana sengeon tukutana kama watu watatu au wanne walio serious tupange
mikakati ya kufanyia kazi swala hili[/
QUOTE]

Ni PM contacts zako tafadhali.
 
Mkuu asante sana kwa kutupa fursa hizo za Thai. Mbali na nguo, je kuna bidhaa gani huko ambazo bei ni poa?
Vipi kuhusu usafirishaji wa mizigo kutoka Bangkok kuja Dar?

Ingefaa kwa sasa kufikiria zaidi pia upatikanaji wa zana za kuanzishia viwanda badala ya hizi biashara za kununua na kuuza tu. Tujaribu zana za processing ndizo zilizofikisha wenzetu kuwa na viwanda vingienvyo tubaendelea kuwa dampo la ejected.
 
Ingefaa kwa sasa kufikiria zaidi pia upatikanaji wa zana za kuanzishia viwanda badala ya hizi biashara za kununua na kuuza tu. Tujaribu zana za processing ndizo zilizofikisha wenzetu kuwa na viwanda vingienvyo tubaendelea kuwa dampo la ejected.
Uko sahihi sana mkuu, ila tatizo serikali yetu haiamini kama tunaweza kumiliki viwanda kwani mfano mzuri uko kwenye ubinafsishaji. wanaona ni bora apewe muhindi kuliko mbongo. kwahiyo tutabaki kuwa dampo tu.
 
Jamani mimi nimechoka maneno, nataka vitendo sasa. Aliyetayari twende tujilipue. Nina uhakika tutatoka tu.

Niko tayari hata akipatikana mmoja. Huku uraiani kuna mdada aliniahidi ila mpaka leo kimya.

Da Kaunga bado nadunduliza kwenye kibubu.. I hope by november ntakuwa nimejaza!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mkijiunganisha mpange tarehe kuanzia 28/10-3/11 sababu nina ticket na visa tayari ya hizo tarehe

Mkuu naskia gemstones huko zinauzika vizuri,kuna wa thai huwa nawauzia nkiwabana wanipe soko la huko hawataki,wananunua mzigo mkubwa huku inamana kwao soko ni kubwa.
Ntawezaje kupata link za soko la tanzanite huko ili niwe napeleka mwenyewe
 
Electronics ni cheap sana kuna shopping mall maharufu sana kwa vitu vya electronic iko located na New Phetchabuti road mwendo mdogo toka Rathchathewi sky train station.Inaitwa Pantip Plaza

Hapo kuna vitu vingi vya electronics, computer software. Printer, camera. Simu, computer equipment, laptops etc.

Pantip plaza ni maharufu sana Bangkok kwa vitu vya electronic japo kwa mtaa pia utapata lakin hiyo ni shopping mall maarufu kwa electronics

Mkuu soko la gemstone kma tanzanite ni kubwa sana thai,nawezaje kupata link ili niwe napeleka huko mwenyewe zikiwa cutting au rough
 
Hawa jamaa uliotuwekea mawasiliano yao wanaweza kutupa maelekezo zaidi?
Mfano mm sipajui huko, siku nikienda wanaweza kuwa wenyeji wangu kule? Au inanibidi nitafute rafiki wakunihifadhi nifikapo kule. Je vipi kuhusu ubaguzi huko kwao, wanajali wateja kutoka nchi zetu?
Vp kuhusu suala la usalama?

Hilo ndo tatizo la watanzania wako ki negative... ohhhh usalama ooohhhh ubaguzi.... nitafikia wapi ,,, sina ndugu kule..... unataka uwe na ndugu thailand?? umeshaambiwa hoteli sh 21000 ndo ndugu yako huyo...... kuna wakati niliwahi post fursa za biashara DRC du maswali ya kitoto ndo niliyapata.... oohhhh tufanyie mpango kabisa wa soko na pale boarder tumwge mzigo.. yaani watz wanataka umpe deal umpokee na soko umtafutie ,,, na baadae aje akunage kwamba mlikula ugali kila siku.... wakeup guys

 
Back
Top Bottom