Fursa za biashara zipo, vijana wa Dar es Salaam ni wazembe tu

Mkuu umeaongea ujinga saana yaani mtu achukue mkaa toka dar aurudishe Tanga wanakochoma mkaa..? 😁😁😁
 
Mawazo mazuri, ila I got this gut feeling ya "easier said than done"

Kwenye biashara kuna kitu kinaitwa "network" na inachukuaga muda mrefu kujenga. Watu wote unaoona wanatoka ndani na nje ya Dar walianza kujenga network miaka 3 plus kwenda nyuma.

Kuna mtu alisema humu "no sales, no business". Kama kuna kitu vijana wafunzwe basi ni process ya sales and marketing.

Na pia kufahamu dynamics za demand and supply.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Huyu jamaa katoroka mirembe nini!
Yani tununue ndizi Dar tukauze Kilimanjaro kweli?
 
Unajua Faida ya simu bei gani? Kilimo Kina pesa na lazima uweke pesa na nguvu.. Kibali cha kusafirishia mkaa unajua ni bei gani? Nakwanini upeleke mkaa moro nasio Dar.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…