rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,952
- 43,265
Falaa sana huyuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] boya kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Falaa sana huyuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] boya kweli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nini kibuyu????Ni sawa na kununua Korosho Iringa halafu ukauze Mtwara [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hawa ndo Motivation Speaker wa Bongo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Qumer Kibuyu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Yani kwamba uchukue mkaa dar upeleke morogoro na Tanga au sijaelewa vizuri?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanao honga ma don utawakuta kwenye macasino hao wengine wanachezea pesa tuPesa tuzazohonga mkuu tungekuwa tushanunua ndege yetu pendwa [emoji851]
Sent using IPhone X
[emoji23]Wee jamaa itakuwa una matatizo ya akili...! Yani utoe mkaa dar upeleke mikoani??????[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
hapo kwenye alizeti na asali nimekusoma asali kupata kibali sio inshu sana ila mkaa ni kusumbuana na maliasili kupata kibali ni inshu na kama huna kibali kusafirisha mkaa ni kwa kuficha sana pia bado wale jamaa wakikuta na hata gunia 3 na kibali hauna watakuzingua utadhani wamekukuta na meno ya tembo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hoja ya kitoto kutoka kwa mtu mzimaUnajua lita 100 za asali bei gani? Unajua magunia 10 ya mkaa bei gani? Udhani kila kijana anauwezo wa kuwa na huo mtaji? Au unaongea tu naona akili yako imejaa matope tu
Sent using Jamii Forums mobile app
👏👏👏Waweza pia kung'oa meno watu wenye meno mengi ukayatunza vizuri na baadae ukawauzia vibogoyo. Sijui watu wanakwama wapi.
Sitaki kuamini nawewe una akili za utopoloo Eti una toa mkaa Dar unapeleka moro really? Wewe na mtoa mada ina bidi mchunguzwe upstairsHoja ya kitoto kutoka kwa mtu mzima
hata mi nimeshangaa kwa kweli,ni sawa na uchuku kuku dar ukauze singidaYani kwamba uchukue mkaa dar upeleke morogoro na Tanga au sijaelewa vizuri?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutoa mkaa dar kupeleka moro au tanga ni wazo zuri? Ndio nyie motivational speakers wanaweza kuwahamisisha mchukue karafuu kkoo mkauze zanzibarUsiwe unaleta utoto kwenye mambo serious, Mtoa mada ametoa mawazo yake vizuri wewe unaleta utoto
Sent using Jamii Forums mobile app