IBRAHIM NYEMBA
New Member
- Sep 12, 2024
- 1
- 0
Wakuu habari,
Naomba mwenye kujua maeneo ya nchi yetu ya Tanzania yenye watu wengi ambayo unaweza kufanya kazi ya UWAKALA wa benki na MITANDAO ya simu kwa mchana na biashara kama chips bila kufunga kwa maana ya masaa 24 nahitaji npate eneo husika mfano mtu akinambia Dodoma mtaa flani itakuwa zuri zaidi tuweze kushea fursa mbalimbali KARIBUNI sana wadau👏👏👏👏
Naomba mwenye kujua maeneo ya nchi yetu ya Tanzania yenye watu wengi ambayo unaweza kufanya kazi ya UWAKALA wa benki na MITANDAO ya simu kwa mchana na biashara kama chips bila kufunga kwa maana ya masaa 24 nahitaji npate eneo husika mfano mtu akinambia Dodoma mtaa flani itakuwa zuri zaidi tuweze kushea fursa mbalimbali KARIBUNI sana wadau👏👏👏👏