Fursa za nishati mbadala zitumike, umeme wa shirika kila siku unakatika

Fursa za nishati mbadala zitumike, umeme wa shirika kila siku unakatika

The Eric

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2019
Posts
6,446
Reaction score
10,976
Wenye side B kwenye sola na nishati nyingine hivi sasa ni muda wa kutumia hizo energy.

Kama nilipo sasa ivi hakuna umeme washakata kurudi ni jioni au usiku kabisa.
 
Ukitumia solar maana yake umeingia kwenye anga zao.
 
Ukitumia solar maana yake umeingia kwenye anga zao.
Watufanyie wepesi maana tunaishi kama ile miaka ya tisini umeme unakata kata, kwa alipo tufikisha mjomba tulikuwa pazuri....

hii cutoff ya hivi ni tunarudia analogia kwenye mifumo, sababu world is now digital in the system.
 
Watufanyie wepesi maana tunaishi kama ile miaka ya tisini umeme unakata kata, kwa alipo tufikisha mjomba tulikuwa pazuri....

hii cutoff ya hivi ni tunarudia analogia kwenye mifumo, sababu world is now digital in the system.
Hii nchi kwa sasa Mungu mwenyewe aingilie kati.Imeshindikana.
 
Hawa wajinga wanaokula kodi za watu huwa wanafanya makusudi na kuhujumu shirika la umeme
Kama ni hukumu ya kifo ningenyonga wote hao

Hawajali una kampuni au binafsi
Mitambo na freezer na vifaa vinakufa kila leo wala hawajali

Hii ni kadhia kubwa kungekuwa na haki ilibidi walipe kwa matatizo yao haya

Pambaneni mnunue solar hata kama utadunduliza miaka 5
Na wenye nyumba za kupanga wangeweka solar za kuendesha kila kitu na hata wakipandisha kodi sawa tu
 
Hawa wajinga wanaokula kodi za watu huwa wanafanya makusudi na kuhujumu shirika la umeme
Kama ni hukumu ya kifo ningenyonga wote hao

Hawajali una kampuni au binafsi
Mitambo na freezer na vifaa vinakufa kila leo wala hawajali

Hii ni kadhia kubwa kungekuwa na haki ilibidi walipe kwa matatizo yao haya

Pambaneni mnunue solar hata kama utadunduliza miaka 5
Na wenye nyumba za kupanga wangeweka solar za kuendesha kila kitu na hata wakipandisha kodi sawa tu
Hili la sola naliunga mkono.
 
Hili la sola naliunga mkono.
Tumelala sana waafrika sijui tumebeba nini vichwani

Germany ndio walikuwa watengenezaji wakubwa wa Solar panels duniani ila mchina akaiona fursa na kutengeneza ila bei pia ikawa rahisi kiasi hata wazungu wakahamia kwa mchina na ugomvi ulikuwa mkubwa sana na wakatishia
Hili la sola naliunga mkono.
Yaani kama tuna akili hizi solar ilibidi tutengeneze na sisi kwani hatuwezi jamani?

Viungo vyote tunavyo
Yaani imagine street lights zote ziwe za solar na nyumba ziwe nazo pia huu umeme ungefanya mengine ila kila siku tunaambiwa ooh umezidiwa nguvu mara mgao usiojulikana
 
Back
Top Bottom