nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 5,960
- 9,978
Nenda wilaya ya Kaliua, kodisha heka 50...
Nenda Kigoma, chukua wafanyakazi 10...
Lima heka 30 tumbaku...
Lima heka 20 mahindi na karanga(changanya)
Mwombe Mungu ashushe mvua ya kutosha...
Baada ya mwaka huo, njoo ututukane jobless hapa Jf...
Kila lakheri.
Nenda Kigoma, chukua wafanyakazi 10...
Lima heka 30 tumbaku...
Lima heka 20 mahindi na karanga(changanya)
Mwombe Mungu ashushe mvua ya kutosha...
Baada ya mwaka huo, njoo ututukane jobless hapa Jf...
Kila lakheri.