Fursa zipo shida ni sisi

Fursa zipo shida ni sisi

fursa hazifichwi weka link hapa tuserebuke nayo
Ni kweli lakini pamoja na kukuwekea link kuna sehemu ufika utaomba nikusaidie tena, ndo maana ukija inbox nitakutumia na tutaenda wote pamoja mpaka kukamilisha process yote
 
Ni kweli lakini pamoja na kukuwekea link kuna sehemu ufika utaomba nikusaidie tena, ndo maana ukija inbox nitakutumia na tutaenda wote pamoja mpaka kukamilisha process yote
mkuu mambo yote hayo ungeeleza kwenye uzi mmoja kwamba unapewa link unakwenda hatua hizi na hizi hapo watu watakuelewa na uwaambie gharama za kujiunga na huo utaratibu...... naamini ukifunguka watu wengi wanahitaji hizo hela za kutizama video na mambo kama hayo watu wasichotaka ni kufuchana mambo ww mwagika hapa kama ni miyeyusho watu waseme hapa hapa unataka mtu aje inbox akiliwa kichwa hawezi rudi hapa atachekwa.

mwaga mchele kwenye kuku wengi wajanja wajipigie
 
Habari wakuu, jana nilileta bandiko hapa kwa wale wasio na kazi au wenye kupata japo masaa mawili kwa siku kuwa kwenye mtandao kutengeneza pesa kupitia simu zao wengi walibeza, lakini nilichokigundua kuwa wengi humu mmekaririshwa kuwa yeyote anayekuja humu na tangazo la fursa ni tapeli kitu ambacho sio kweli, kuna vijana wa kitanzania wametengeneza fursa nyingi kupitia mtandaoni na maisha yao yanaendelea, na wanapata pesa nyingi sana, shida humu wengi mna maisha yenu, mmeajriwa mnawakqtisha vijana fursa, Leo hii kuna vijana wengi wapo vyuo vikuu muda ule wanaotumia kupumzika wanaweza kuutumia kutengeneza fedha,, ni kweli kwamba biashara na matangazo mengi ya mtandaoni yamekuwa ya kitapeli lakini nikwambie kuwa kuna mengine ni fursa kweli hupaswi kubeza, mfano ni kampuni ya App pesa hii ipo hapa hapa Tanzania kuna vijana wengi wameajiajiri kupitia kampuni hii, na wanapata pesa kila siku, kampuni wanauza view kila unapoview video, YouTube, tiktok, Facebook, Instagram na kujibu maswali yao kila siku unaingiziwa hela yako kwenye account! Sasa unakuta kijana Ana chezea simu masaa mpaka 7 kwa siku na hajaingiza hata 1000/= lakini kuna watu wamebuni fursa mtandaoni na wamesaidiq wengi, wewe kama unahisi huu ni utapeli, ingia mtandaoni search neno App pesa, utakutana nayo huko, fuatilia kuanzishwa kwake mpaka kazi inayofanyika huko, baada ya kuridhika njoo uncomment huku kama ni utapeli! Kimsingi kila kitu kina gharama zake kwa ajili ya aliyeanzisha hiyo app lakini hupaswi kuogopa maana hiyo hela unaweza kuirudishq ndani ya Lisaa moja, nimekuja kuwashirikisha maana mm mwenyewe ni mnufaika wa hii, lakini kutokana kuwa bado wanahitaji watu ndo maana tunawashirikisha hasa kwa wale wanaotamani kuingiza pesa kupitia simu zao! Tazama Mfano hapa chini ukishajisajiri, malipo yanafanywa kama ifuatavyo ( wewe ambaye upo tiyari njoo inbox nikupe maelekezo) na jinsi ya kujisajiri
Huu uzi umeuleta hapa jukwaani.

Hivyo basi, process zote za kujiunga ziweke hapa. Weka na namba yako ya simu. Ambaye atahitaji msaada binafsi atakutafuta.

Hivi huko inbox wakija watu 1000 huoni kama utakuwa unajipa adhabu?.

Kama unataka kusaidia watu weka hapa kila kitu, kuna mwingine atausoma huu uzi saa 9 ya usiku wakati wewe umelala, hatakuwa na haja ya kuja huko inbox kama kila kitu kitakuwa wazi hapa jukwaani.

Msaada gani huo wa kuitana chemba ndugu yangu.
 
Back
Top Bottom