Futa Nchi mbili kwenye Uso wa Dunia

Futa Nchi mbili kwenye Uso wa Dunia

Sema Mkuu Kama hauna content au maudhui ni Bora uwe msomji maan unaandika pumba sana sijui ni ugeni wa kuingia JF au ? Hiyo nimekupa constructive criticism
Wewe ndio mshamba... Uelewi maana ya Forum, na social media platforms... Humu kila aina ya mada zinawekwa as long as hazivunji sheria na sera ya Jamiiforums


Wewe ukitaka mada za kuumiza Vichwa, tafadhali nenda kwenye majukwa ya Siasa huko, ukabishane kuhusu CCM... Sisi tuachie tupige stori tunazozipenda... Mimi sio Albert Einstein au Isaac Newton kukupa Uzi wa Maarifa... Kama maarifa hukuyapata shuleni shauri yako. Nenda kwemye Forums zenye hayo mambo, ni haki yangu kuweka mada ninayoitaka, tusipangiane tafadhali..
 
Wewe ndio mshamba... Uelewi maana ya Forum, na social media platforms... Humu kila aina ya mada zinawekwa as long as hazivunji sheria na sera ya Jamiiforums


Wewe ukitaka mada za kuumiza Vichwa, tafadhali nenda kwenye majukwa ya Siasa huko, ukabishane kuhusu CCM... Sisi tuachie tupige stori tunazozipenda... Mimi sio Albert Einstein au Isaac Newton kukupa Uzi wa Maarifa... Kama maarifa hukuyapata shuleni shauri yako. Nenda kwemye Forums zenye hayo mambo, ni haki yangu kuweka mada ninayoitaka, tusipangiane tafadhali..
Sawa Ila fahamu wewe ni mtoto Mdogo Sana . Hapa Katika hii forum
 
Naona ugeni unamsubua anapost pumba kila dakika
Wewe ndio pumba za kupangiana cha kupost unaleta hapa.... Nenda kalime ndizi huko, sio kila mtu anataka kuongelea Habari za CCM na Chadema. Ungekuwa na akili ungeiondoa CCM madarakani, na sio kuja kutusumbua hapa na ujinga wako wa kupangiana mada za kuongelea... Hata jina lenyewe linaonesha wewe ni Mshamba eti "DR HAYA LAND" yani Daktari ardhi ya wahaya 😂😂😂. Mshamba mmoja wewe
 
Sema Mkuu Kama hauna content au maudhui ni Bora uwe msomji maan unaandika pumba sana sijui ni ugeni wa kuingia JF au ? Hiyo nimekupa constructive criticism
Hizo Content za maana andika wewe... Mimi nitakuja kuchangia, tusipangiane cha kuandika... Mimi sio Galillei Galileo kukuandika hapa mada za kuumiza kichwa
 
Back
Top Bottom