AnyWayZ
JF-Expert Member
- May 30, 2022
- 4,880
- 8,424
Hili jibu nimelipenda sana, Nchi hazina shida ila dini na ukabila ndio unatugawanya Watu. Nchi ni miliki za ardhi tu kama vijiji ndani ya Wilaya moja.Naondoa Dini na ukabila
Ondoa Dini na Ukabila, Safi sana Mkuu.