Futa Nchi mbili kwenye Uso wa Dunia

Futa Nchi mbili kwenye Uso wa Dunia

Kwamba wewe ni Pro Neurosurgeon, unawezo wa kujua Brain Injury kwa kutumia Meseji...

Ngoja tufanye utaratibu tukupeleke MIT au Havard, maana kipaji chako sio cha kukaa Tanzania...
It doesn’t take a neurosurgeon to know that. Nimeona tuu jinsi ulivokuwa unamshambulia mzee wa watu kwa matusi wakati mzee amekupa tuu ushauri.
 
It doesn’t take a neurosurgeon to know that. Nimeona tuu jinsi ulivokuwa unamshambulia mzee wa watu kwa matusi wakati mzee amekupa tuu ushauri.
Kwanza kabla ya kumpangia mtu cha kupost unatakiwa kutazama hii ni aina gani ya Forum, hii ni Habari Mchanganyiko forum... Humu tunaweka habari mchanganyiko, yeye alichofanya ni kuingilia uhuru wangu wa kupost

sasa kwa hiyo kutetea uhuru wangu wa kupost ndio kosa?

narudia tena sipangiwi cha kupost, unless Jamiiforums wanitoe
 
Wewe ndio mshamba... Uelewi maana ya Forum, na social media platforms... Humu kila aina ya mada zinawekwa as long as hazivunji sheria na sera ya Jamiiforums


Wewe ukitaka mada za kuumiza Vichwa, tafadhali nenda kwenye majukwa ya Siasa huko, ukabishane kuhusu CCM... Sisi tuachie tupige stori tunazozipenda... Mimi sio Albert Einstein au Isaac Newton kukupa Uzi wa Maarifa... Kama maarifa hukuyapata shuleni shauri yako. Nenda kwemye Forums zenye hayo mambo, ni haki yangu kuweka mada ninayoitaka, tusipangiane tafadhali... Bladifwakeni
Oya! Dah Babu huku chitchat ndio mnaongea pumba kiasi hiki, mkuu kama hampo JF!
Sema fresh, kama msingekuwa na jukwaa lenu mngekitibua Sana kwenye majukwaa mengine....

Mi ningeifuta Zanzibar na Tanzania Kuna miyeyusho Sana fikiria Kagera ndio wasomi wanatoka moja wapo ndio wewe.
 
Oya! Dah Babu huku chitchat ndio mnaongea pumba kiasi hiki, mkuu kama hampo JF!
Sema fresh, kama msingekuwa na jukwaa lenu mngekitibua Sana kwenye majukwaa mengine....

Mi ningeifuta Zanzibar na Tanzania Kuna miyeyusho Sana fikiria Kagera ndio wasomi wanatoka moja wapo ndio wewe.
😂😂😂 sawa mkuu mawazo yako yanaheshimiwa sana....
 
Sema Mkuu Kama hauna content au maudhui ni Bora uwe msomji maan unaandika pumba sana sijui ni ugeni wa kuingia JF au ? Hiyo nimekupa constructive criticism
255613606834_status_466f8cd121374e4e9299fe9537d0c8c3.jpg
 
Ukiambiwa uziondoe Nchi mbili, zisiwepo kwenye uso wa Dunia utaziondoa Nchi zipi?
Nchi kwa maana gani?

Yani nchi iondoke na sehemu ya nchi ichukuliwe na bahari?

Au sehemu hiyo itoweke kabisa duniani na dunia iwe ndogo zaidi, kusiwe na ardhi wala bahari?

Au ardhi iwepo halafu ichukuliwe na nchi jirani?

Na kama ardhi iwepo ichukuliwe na nchi jirani, sheria gani zitaongoza nchi jirani ipi ichukue sehemu gani ya nchi iliyoondolewa?
 
Nchi kwa maana gani?

Yani nchi iondoke na sehemu ya nchi ichukuliwe na bahari?

Au sehemu hiyo itoweke kabisa duniani na dunia iwe ndogo zaidi, kusiwe na ardhi wala bahari?

Au ardhi iwepo halafu ichukuliwe na nchi jirani?

Na kama ardhi iwepo ichukuliwe na nchi jirani, sheria gani zitaongoza nchi jirani ipi ichukue sehemu gani ya nchi iliyoondolewa?
Ukifiria sana utatoka nje ya mada....mimi swali langu ni jepesi sana, mfano ukipewa chaguo la kufuta nchi mbili ziwepo Duniani, zisiwepo kwenye ramani bila hayo makando kando sijui ardhi kuchukuliwa na kadharika, ungeweza kufuta nchi gani
 
Ukifiria sana utatoka nje ya mada....mimi swali langu ni jepesi sana, mfano ukipewa chaguo la kufuta nchi mbili ziwepo Duniani, zisiwepo kwenye ramani bila hayo makando kando sijui ardhi kuchukuliwa na kadharika, ungeweza kufuta nchi gani
Hujafafanua swali, nakuomba ufafanue, unaniambia nikifikiria sana nitatoka nje ya mada.

Nataka kujua ili nipate taarifa sahihi kabla ya kufuta nchi.

Nisije kufuta nchi nikajikuta na mimi nimejifuta hapohapo!
 
Hujafafanua swali, nakuomba ufafanue, unaniambia nikifikiria sana nitatoka nje ya mada.

Nataka kujua ili nipate taarifa sahihi kabla ya kufuta nchi.

Nisije kufuta nchi nikajikuta na mimi nimejifuta hapohapo!
Basi nimekupata vyema... Na mimi nakupa choice yoyote wewe utakayoona inafaa katika muktadha wowote wa kufuta Nchi, futa then unipe na sababu zilizokufanya ufute
 
Kwanza kabla ya kumpangia mtu cha kupost unatakiwa kutazama hii ni aina gani ya Forum, hii ni Habari Mchanganyiko forum... Humu tunaweka habari mchanganyiko, yeye alichofanya ni kuingilia uhuru wangu wa kupost

sasa kwa hiyo kutetea uhuru wangu wa kupost ndio kosa?

narudia tena sipangiwi cha kupost, unless Jamiiforums wanitoe
Enhe sasa ulivojielezea kwangu hivi ndo ungemuelezea mzee hivo na sio kumshushia matusi na maneno ya dharau.
Dunia tuu hapa tunapita, there's no need ya kusemana vibaya.
 
Back
Top Bottom