Out of topic, jamani natafuta Al udi nzuri...anayejua anitajie jina na bei ikiwezekana...
cc; farkhina Mrs Kharusy Honey Faith FaizaFoxy na wengineo.
jaman watu wanajua kupika hadi raha........................ hongereni
mie ftari yoyote nakula ila napenda uji usikosekane ule wa umewekwa ka ukwaju fulan
Tafuta inaitwa arba wardat ni nzuri tu
Na kuna lotion zake zina harufu ya udi pia zaitwa maryam,nafeesah na lamsa hizi sio ghali kabisa it depend na uwezo wako.....
Kuna udi pia simple unaitwa bint el arab mzuri tu hata badar pia nzuri . Ntakutumia picha zale usijal
unitumie na mimi.....
hivi Dar sehem gani wanauza marashii my dear.....
Dar sijui my dear....
Kuna hata body spray za udi na zinanukiaa kama umejichifukiza vile
huko Z zipo sana??ntakutafuta nikuulize jambo baadae ........
Ujii tafadhali,tuanzie tu hapo maana nina list ndefuu
Ujii tafadhali,tuanzie tu hapo maana nina list ndefuu
Naona leo swaumu yako kali sana lol!!!! Uji wa maziwa au wa limau?
Tafuta inaitwa arba wardat ni nzuri tu
Na kuna lotion zake zina harufu ya udi pia zaitwa maryam,nafeesah na lamsa hizi sio ghali kabisa it depend na uwezo wako.....
Kuna udi pia simple unaitwa bint el arab mzuri tu hata badar pia nzuri . Ntakutumia picha zale usijal
unitumie na mimi.....
hivi Dar sehem gani wanauza marashii my dear.....
Kariakoo dear, ule mtaa wa maduka ya Madera.
Asante sana Somo yangu...manake mwari napenda kunukia hatari...
Huwa natumia udi wa kuchoma, natumia na kitezo cha umeme...jana si ndo ukakatika siku nzima....nilinunajeeeee!
Bora nitumie al udi...
Unajua kupika futari ipi?Kuna kitezo cha umeme?I wish nikione.Vipi vinapatikana wapi?
Unajua kupika futari ipi?
Mihogo,viazi yani nyingi nyingi tu
Out of topic, jamani natafuta Al udi nzuri...anayejua anitajie jina na bei ikiwezekana...
cc; farkhina Mrs Kharusy Honey Faith FaizaFoxy na wengineo.
Ndizi mzuzu za Nazi?