Futari ipi uipendayo

Futari ipi uipendayo

Mahitaji

Boga

Sukari

Tui jepesi la nazi

Tui zito

Hiliki

Namna ya kutaarisha

Menya boga lako then katakata vipande

Lichemshe na maji kwa muda mdogo kama dakika 15 alafu mwaga maji....

Weka tui jepesi na hiliki

Weka sukar

Wacha ichemke

Mimina tui zito acha ichemke kwa dakika 5.....

Tayar kwa kuliwa

Nb hayo matui yasiwe mengi kutokana na boga ni laini kuiva ..

Apo kwenye boga mi sisemi, mmhu. Nalipendaje. Mi huweka na custard kdg na maziwa ya sona.

My first born analipenda sana pia. Nkipika lazima aanze na kukomba sufuria kwanza.
 
Da Faa we custard unapikaje? Hem tupeane maufundi.

Na faluda naona kama nshasahau vipimo. Pls nifahamishe
 
Da Faa we custard unapikaje? Hem tupeane maufundi.

Na faluda naona kama nshasahau vipimo. Pls nifahamishe


Napika tu kama kawaida......

Nachemsha maziwa naweka hiliki na ark ya rose

Pembeni nachanganya unga wa custard na maji.....

Alafu namimina katika maziwa ikuchemka ndio inakua nzito....

Ikiwiva naweka kwenye kibakuli

Natupia zabibu kavu juu

Nahifadhi kwa friji ipate baridi

Natoa nakula
 
Da Faa we custard unapikaje? Hem tupeane maufundi.

Na faluda naona kama nshasahau vipimo. Pls nifahamishe
farkhina na faluda je??
Mm faluda huchemsha zile Chinese grass na maji kwanza halafu na mimina kwenye maziwa niliyochemsha na kuweka sukari.
Namimina kwenye vibakuli km vinne naweka arki kila kibakuli na flavour yake. Naweka kwa fridge tayar kwa kula.
Uzuri wa hii isiwe ngumu sana so unakisia yale majani yasiwee mengi.
Nb:
Ukiitoa kwenye fridge ukakuta ni ngumu na si makusudio yako USITUPE TAFADHALI rudisha jikoni engezea na maziwa au maji kwa kiasi utachopenda weka frijini...
 
Last edited by a moderator:
Mahitaji

Boga

Sukari

Tui jepesi la nazi

Tui zito

Hiliki

Namna ya kutaarisha

Menya boga lako then katakata vipande

Lichemshe na maji kwa muda mdogo kama dakika 15 alafu mwaga maji....

Weka tui jepesi na hiliki

Weka sukar

Wacha ichemke

Mimina tui zito acha ichemke kwa dakika 5.....

Tayar kwa kuliwa

Nb hayo matui yasiwe mengi kutokana na boga ni laini kuiva ..
Bibie samahani lakini, nyumbani wapi?
 
farkhina na faluda je??
Mm faluda huchemsha zile Chinese grass na maji kwanza halafu na mimina kwenye maziwa niliyochemsha na kuweka sukari.
Namimina kwenye vibakuli km vinne naweka arki kila kibakuli na flavour yake. Naweka kwa fridge tayar kwa kula.
Uzuri wa hii isiwe ngumu sana so unakisia yale majani yasiwee mengi.
Nb:
Ukiitoa kwenye fridge ukakuta ni ngumu na si makusudio yako USITUPE TAFADHALI rudisha jikoni engezea na maziwa au maji kwa kiasi utachopenda weka frijini...
Faluda.jpg
 
Hongera sana ulitengeneza za samaki au nyama

Za nyama mamie embu nsaidie kutengeneza manda za sambusa.
Yaani maelezo mazuri nielewe nasomaga ila sielewi
 
jaman watu wanajua kupika hadi raha........................ hongereni

mie ftari yoyote nakula ila napenda uji usikosekane ule wa umewekwa ka ukwaju fulan
 
Back
Top Bottom