Futari ni nini? Kwanini watu wengi wanafuturisha Wasiofunga Ramadhan?

Futari ni nini? Kwanini watu wengi wanafuturisha Wasiofunga Ramadhan?

Futari = kifunguwa kinywa kwa waliofunga.

Ambao hawajafunga wanakula hawafuturu.
Ungesema ni mlo wa kwanza kwa wanaofungulia katika mfungo wa Kiislamu, kifungua kinywa ni breakfast.
 
Ungesema ni mlo wa kwanza kwa wanaofungulia katika mfungo wa Kiislamu, kifungua kinywa ni breakfast.

Breakfast ndiyo futari.

Neno futari linatokana na neno la Kiarabu "Iftar".
 
Naomba kujua siri ya Jambo hili , Katika watu wasiofunga wanaoshiriki kila futari zinazoandaliwa ni STEVE NYERERE

Sasa swali langu ni hili, kwanini wanafuturu hizi futari ilizoandaliwa na kurekodiwa si wale wanaihitaji ? Je kuna siri yoyote ya Utajiri au miujiza ?
Futari ni chakula ambacho muislam aliefunga anakula baada ya jua kuzama. Ktk familia zetu waislam huwa tunakaa pamoja kwa ajili ya kula kwa hivyo hata watoto na wenye udhuru wa kufunga kama wajawazito , wagonjwa, wazazi , na wenye udhuru unaokubalika kisheria hujumuika nao. Hio futari.
Sasa siku hizi huu mfumo wa wanasiasa au matajiri kutumia mwezi mtukufu wa ramadhani kufanya yao.
Wapo wasikuwa waislam wanandalia chakula waislam kuita ftari, wapo waislam wanaandaliwa wakiristo ftari.
Wapo matajiri huaalika matajiri wenzao ftari.
Ftari bora ni kuwaalika waislam wenzio tena wale maskini mkakumuika pamoja na hata kutumia video ili watu wakuoneni.
 
Back
Top Bottom