TUPACified
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 1,367
- 604
Kuna wachezaji waliwahi kutokea wakatishia sana amani kwa wapinzani wao, ila kwa sababu fulani hawakufika mbali sana. Binafsi hawa jamaa ndio nilitarajia makubwa sana kutoka kwao
The Emperor, Adriano.
Milos Krasic yule wa Juve.
Robinho wakati ndo anakuja ulaya.
Pato wa Milan.
Philipe Mexes wa Roma.
Diego Ribas wa Werder Bremen.
Cicinho aliyetua Madrid.
Na wengine kibao ongezea.
The Emperor, Adriano.
Milos Krasic yule wa Juve.
Robinho wakati ndo anakuja ulaya.
Pato wa Milan.
Philipe Mexes wa Roma.
Diego Ribas wa Werder Bremen.
Cicinho aliyetua Madrid.
Na wengine kibao ongezea.