Je wawajua waovu chimbuko la uovu duniani?
Ni jamii siri ya Jamaa nyingi za siri wa wazao uovu Kwa kujinufaisha binafsi. Jamii hizi zipo nyingi mno ila pia sio zote zenye mipango ya kutumia vibaya usiri wa jamii zao siri yaani
secret societies,Kwani wapo wenye nia nzuri tuu ila shida huja pale tusipoweza kuusemea moyo na kwa zana ya usiri wengi wamekuwa wakijificha kwenye jamii hizi siri na kutenda maovu.
Mfano ni jamii siri ya jamii ya
freemasonry ambao wapo na makundi mengi tuu na baadhi waongozwao na hofu ya Mungu wamejitolea kuuenzi uumbaji na kutenda mema ya uumbaji(yang/positivity/mema/mianga) na wapo waliotekwa na giza na kuliishi giza la uumbaji wao na mkuu wao shetani waishio giza lao(ying/negativity/uovu/giza).
Kutokana na usiri wa jamii zao imekuwa no vigumu kuusemea moyo kwa kuwa usiri huu sio tuu kwa wasio wa vikundi vya jamii zao bali hata wao kwa wao ndani ya vikundi vyao na ngazi zao.utumkuta kiongozi wako kwenye kikundi moyo na siri zake ni uovu nae huishiriki madhabahu ya uovu ila we we wa chini yake kamwe usijue ila ukiwa na shauku ya uovu wake wawezi mshawishi kukukuza kwenda nngazi za juu na kuuishi uovu na madhabau yake huku wachini yako akiendelea kuumini kwamba yupo sahihi mahali sahihi akitumikia madhabahu sahihi ila kiukweli yeye huwa chambo ya kuwavuta walio vuguvugu na siku wakikomaa na kufanya maamuzi hujikuta kupanda cheo na kuwa kiongozi kwa malengo na makusudio yao yapewayo nguvu kwa usiri wao wauliao kiaopo na hata kuwa radhi kuuawa kuitunza siri yao.
Swali langu kwa Diamond, je anatambua kwamba Mafuvu ni ishara ya jamii hizi maalum kwa jina la
SKULLS AND BORNS?
Skull and borns ni jamii siri yeye maovu lukiki nao huutumia mziki kwa manufaa ya uovu wao kwa madhabau zao za kishetani na ushetani wao.
Huenda asilijue hili kwa sababu tajwa hapo juu,ila akawa muhanga adhaniae kikawaida kawaida kwamba ni jambo la kikawaida kutumia fuvu nae apatapo msaada wa hapa na pale toka kwenye jamii hii na kujikuta amelowea na kuitoa kafara jamii yetu ya Tanzania kwa faida za malengo ya jamii hizi ambazo kwa usiri wao ngazi zao za juu huwa sio salama kwa madhabawu zao za kishetani.
Napenda kumuasa
Diamond kama kweli alikuwa alijui hili asiwe muhanga wa ujinga wao bali arudi kuijenga jamii ya mianga na asiwe na ya kinyago cha chapa ya mnyama(Pesa),kwakuwa alikuwa na uwezo wa kuwapiga chapa(Fahamu) watanzania basi na ashirikiane na mema na tusaidiane kuwapiga watanzania chapa ya mema wa uungu wa kristo(777)kwa fikra huru na kuwaweka huru kweli kweli,badala ya kufanya ujinga wa ujinga wa uovu na kuwapiga wanadamu chapa ya mnyama 666 kwa kuteka fikra za wanadamu na kuwa mateka kuwaweka wanadamu kwenye magereza ya fikra za ufahamu wao na kuabudu kinyago cha mnyama yaani pesa,kwakuwa hatuna mda tena kwa kuwa fahamu za uungu zimeingia duniani kuuleta ufalme wa Mungu(888) kuishi na wanadamu hadi ukamilisho wa utukukufu wa ufahamu wake 999 ulioibiwa na uovu na kuubadilisha kwa kuuufanya kinyume chake,yaani miguu juu kichwa chini na kuwa 666 yaaani gereza la ufahamu wa mwadamu iongozwayo kwa uovu badala ya kusudio la uumbaji yaani mema ya ufalme wa uungu wa utukufu had I utukufu na hata ukamilisho wa miisho take 999.