19 records studio
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 421
- 1,085
Khahahaha....tugusie kidogo jina la hicho chama, mm ni member wa chama fulani lakini sio freemason tunajihusisha na jua na sayari
Swaggaz hazitawahi kuisha mimi huasiamini kuweko kwa hivyo vyama kama wanavyosema nijuacho ni uongo mtupu, kama kungekuwepo mimi leo hii ningekuwa shetani kuliko luciferMakubaliano yangu na chama changu bado hakijafikia muafaka wa kutoa siri. Lakini usijali ninachoweza kukuambia ni kuweka nguvu kubwa wa kutafuta wakala ambaye atakuunganisha na chama upendacho, ni wakala tu na aliye muaminifu. Nakutakia maisha mema.
Nitamjuaje ni wakala wakati hana bendera ya Chama chake wewe ulie ingia nisaidieMakubaliano yangu na chama changu bado hakijafikia muafaka wa kutoa siri. Lakini usijali ninachoweza kukuambia ni kuweka nguvu kubwa wa kutafuta wakala ambaye atakuunganisha na chama upendacho, ni wakala tu na aliye muaminifu. Nakutakia maisha mema.
Usiwe na wasiwasi! huna malengo ya kutoka kundiniKhahahaha....
katika kitabu cha THE LAWS OF ATTRACTION IN THE SECRET POWER. kina eleza sheria za mwanachama wa chama changu kukiri kutotoa siri yeyote ile. Nakutakia maisha marefu.
Kama kipo kweli nikupe address yangu tuonane nijoin, nataka kuanzisha vita ya Tatu ya duniaUsiwe na wasiwasi! huna malengo ya kutoka kundini
utazimwa kabla ya ulimi wako kusimama.Kama kipo kweli nikupe address yangu tuonane nijoin, nataka kuanzisha vita ya Tatu ya dunia
Sent using Jamii Forums mobile app
Nibip 0752979762utazimwa kabla ya ulimi wako kusimama.
and then, this 0673505122
Mkuu,
Haya yalishaisha siku nyingi sana na niliomba radhi kwa wewe na wale ambao waliielewa text yangu tofauti na nilivyotaka kumaanisha...
Naomba jambo hili liishe mkuu na sikuwa lengo la mashindano na sijawahi kushindana wala kufikiria hivyo hata siku moja,kilichotokea ni watu wachache kutokuelewa kile nilichomaanisha kwenye post hiyo.....
Siwezi kumzuia mtu kuwaza atakavyo mkuu,nipo JF kwa zaidi ya miaka 6 sasa,sijawahi kabisa kushindana na mtu yoyote kwasababu sioni sababu ya kufanya hivyo na nimekuwa naandika mambo mengi sana hapa.Watu wanaoona hivyo ni fikra zao tu au labda ni uoga wao.....
Nashukuru kwa kunielewa mkuu....
mkuu fanya kutupa hao pindar tuwajue
Ivi lottery nao wanahusika ba ufreemason??Anza na haya maneno kwanza kabla hujawajua hao wagiriki wa kale fumba mambo utawajua robo haya soma sasa
Creatures for a day! What is a man?
What is he not? A dream of a shadow
Is our mortal being. But when there comes to men
A gleam of splendour given of heaven,
Then rests on them a light of glory
And blessed are their days
Hamna lolote ni uongo mtupu, kutishana tu
sasa unaogopa nn kama uongo?Hamna lolote ni uongo mtupu, kutishana tu