Fuvu na Mifupa(Skull and Bones) Jamii ya Siri ya Kishetani inayoongoza Matukio ya Duniani

Fuvu na Mifupa(Skull and Bones) Jamii ya Siri ya Kishetani inayoongoza Matukio ya Duniani

Huu ndo ujinga huwa sipendi kuusikia kabisaa! Yaani mnadanganywa ili jamaa wauze vitabu vyao vya uongo. Hivi km ni vyama vya siri,hiyo siri gani ya kuandikwa hata vitabuni!!?? Na nyie mnaosimulia hapa,bado mnaamini hivyo vyama ni siri wakati nyie wenyewe mnajua..!! Sasa hapo siri iko wapi km siyo uongo tu!!?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa jamaa wanakwambia tukionacho au tunachokijua katika dunia hii si 100% true as it is. Wanasema tunachokijua na sababu zake ni kijisehemu tu cha ukweli na mastermind wa issue nzima wapo ambayo ni jamii Fulani ya siri. Halafu eti wanataka tuamini juu ya hizo fiction kuliko uhalisia wa kile tukionacho, hapohapo hawaleti ushahidi wa hizo fiction. Tutaaminije juu ya siri iliyo sirini, na kutupilia mbali kinaonekana na kupimwa dhahiri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye UKIMWI Eiyer amenimaliza. Ni kweli Hakuna kitu kinachoitwa UKIMWI? TB inaenezwa kwa sexual intercourse? TB inaenezwa toka kwa mama kwenda kwa mtoto?
Jamaa Eiyer asikupotoshe fanya ngono zembe ndipo utakapo jua UKIMWI upo au la. Kuhusu said effect ya ARV na zinginezo nakubliana nae kama mtaalamu wa Afya. Hata hivyo tunampa MTU ARV kupunguza effect ya HIV na Afya yake isi deteriorate faster. Hivi sio vya kuhadithiwa it is vivid. Tueneze elimu, lakini vilevile tusipotoshe, hususani kwenye jambo linalohusiana na Afya .
Da nimekuelewa sana bro.nashukuru kwakunizingatia

[quote uid=42137 name="Eiyer" post=20998740]Kwa sisi tunaoangalia mambo kwa namna tofauti kabisa tumeona mengi kwenye hili tukio lililokuwa linatokea kwa mtindo wa series...<br /><br />Hawa watu huwa wanaacha signature zao na mara moja ukizijua tu unajua ni nani aliyefanya haya matukio....
<br />Mkuu Eiyer nasoma hizi makala zako kila Mara nipatapo muda najiuliza hivi?<br /><br />Huyu Nimrod mjukuu wa Nuhu na mtoto wa Ham,mkewe Semiramis na mtoto wao Tamuz <br /><br />Mpk walipoamua kuunda utatu wao wa kikanjanja kanjanja <br /><br />Sasa mbn km hadithi yao inafanana na ule 'Utatu Mtakatifu'? hapa nani alianza na huu utatu? Km ni wao akina tamuz ,huu tunaousoma utatu mtakatifu umeanzia wapi?<br /><br />Ilipita miaka mingapi toka utatu huo wa akina Semiramis, nimrod na Tamuz ,hadi utatu huu mtakatifu? <br /><br />Maswali mengi ila majibu sina[/QUOTE]

hapa kama umeniacha kidogo na uelewa wangu mdogo huu!
huyo sananda ambaye alikuwa kwenye list la malaika walio hasi ndio shetani mkuu mwenyewe tunaye mfahamu sisi lucifer?
au lucifer ayupo kwenye hii list ya sananda?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanatufanya wehu awa, mpaka dunia inaisha haitotokea teknolojia hiyo
Aliponiacha hoi ni kupinga uwepo wa retrovirus aina ya HIV. Ni kweli HIV sio pathogen analeta ugonjwa fulani, kama ilivyo plasmodium kwa malaria. Lakini ukweli upo na ni dhahiri kuwa HIV wanathiri kings za miili yetu(immunity) kwa kuingia na kuzishambulia chembe hair nyeupe za damu. Kinafuata ni kizorota kwa kinga ya mwili na kuufanya mwili prone to opportunistic diseases kama T.B, karpos's sarcoma na mengineyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ukweli umefichwa sana, bado tuna kazi kubwa ya kutafuta maarifa na kutafakari la sivyo tutaendelea kuishi kwa kuaminishwa uongo kwa maslai ya watu fulani wachane. Mi nachoelewa weupe wameficha mengi kuhusu historia ya watu weusi sababu wanaogopa watu weusi watakapotambua ukweli yatatokea mabadiliko makubwa. All i can say Black to be Proud and Proud to be black coz we are the origin
 
1504004986903.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Nlikua najalibu kum mantion jamaa kwa hili jukwaa naona Nkafel
 
Mkuu Guru Master na Eiyer

Ahsanteni sana na naomba niwapongeze.

Nimeona mna Maarifa na Hekima ndani yenu kwa kiwango cha kutosha. Pia nimpongeze na Apollo maana nae hamtofautiani (kwa mtazamo wangu).

Nina jambo ambalo ninatamani kufahamu, ni kuhusu behind the scene za SDA CHURCH. Mwanzo wao, waasisi wao na mengine mengi.

Shauku hii imetokana na mada pamoja na michango mliyo share nasi ktk thread hii.



Nawasilisha.
 
Back
Top Bottom