FY2021/22 Bajeti ya barabara Singida yaongezwa kwa 370% kutoka TZS 6.1BL hadi TZS 22.4BL

kazi nzuri sana
 
Team JF,


MERRY CHRISTMAS AND HAPPY NEW YEAR 2022.

#TUENDELEE KUMUUNGA MKONO RAIS WETU,
Cyprian Majura Musiba huyu kachukua kazi yako ya kusifu na kuabudu punde atakabidhiwa Tanzanite Media ,
Ohoo kaa chonjo
 
Huyu mama anafanya kazi nzuri sana aise,
 
Happy Boxing Day kwa hisani ya Mhe Samia Suluhu Hassan
 
Miradi yote iliyoachwa na Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli Rais Samia Suluhu Hassan anaitekeleza kwa 100%

Sihiyo tu tayari mingine mipya inaendelea na Ujenzi,

Tunawajibu wa kumwombea Mama huyu,
 
#2025Fever itawapotezea muda wenu bure,hakuna wakumuangusha Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi hizi kubwa na nzuri anazozifanya,

#KAZIIENDELEE NA MAMA
 
Daaah, Mama anapiga kazi balaa
Achana na wapuuzi wenye chuki zao mkuu,mama anaturudisha kwenye uchumi wa enzi za JK.

Kama unapenda pesa na kustawi hiki ndio kipindi chake kabla hajaja sherwani mwingine πŸ˜ƒπŸ˜ƒ.

Ona Takwimu zinavyombeba hapa πŸ‘‡



































 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…