G7 yapiga marufuku ununuzi wa mafuta Urusi

Nilikua sijui kama wazungu ni wajinga sasa kuipga marufuku halafu unanunua mlango wa nyuma tena kwa bei ya juu hiyo ndo akili? Kumbe majuu nako hamnazo
 
Ongezea kuwa ndani ya huo uchumi mdogo, Ufisadi ni mzito Russia, kuna kigenge kinajipigia tu pesa. Wewe tazama gas na mafuta anayomiliki russia, bado kiuchumi katupwa na mjapan hana rasilimali hata.
Japan mbali mno, kasouth Korea tu kanamzidi Russia.
 
Kama urussi ana jeuri angegoma kuwauzia hizo bidhaa nchi za magharibi.

Yani watu wakuwekee vikwazo, washike Mali yako, wamsaidie na silaha adui yako alafu kisha bado unafanya nao biashara.

Hapa urussi kashikishwa ukuta
Lazima Urusi afanye biashara zote kadri inavobidi na mataifa ya Magharibi akili kubwa sana ile na haya yooote ni ili

1. Adui yake abweteke kiutegemezi!

2.kuwepo na maingiliano rahisi hii itamsaidia Urusi kumjua Adui yake alivo na uwezo au laa! vizuri !! ivo amtandike vipi!

3. kama akiacha kuuza anampa akili adui yake ya kutafuta bidhaa mpya mbadala wa yake!! Putin yuko sawa kisiasa! akili mingi ile!

4. NATO Kuwasaidia adui wa Urusi siraha (yaani ukraine)kiushundani ni nzuri Mnoo! kwa sababu utausoma mchezo vizuri na kujua uwezo wao ukilinganisha na wa kwako! ...inakufanya kujua ujipange!! vipi.....

hili jambo km lilivo walili jua Israel mapemaa! wakaitolea nje ukraine ! pale Ukrain walipo omba Misaada ya Anti missile IRO D!

5.Pia akifanya nao biashara anazidi kuwadhoofisha maadui kiuchumi!! tena ajabu ndio kashusha kabisaa na bei! ili wazidi kumtegemea!

6.Pia utakaaje kumuuzia adui yako ambaye hana akili ya kujitegemea??(msaada wa adui)....ni kumpa tu...ikibidi wawape na chakula kabisaaa .na wewe urusi unajiingiza humo kumpeleleza umjue zaidi!..ivoivo ndo akili anazo tumia beberu kutunyonya Africa!yaani (misaada).

7.Kwani hujui kuwa Msaada unahatarisha uhuru wa Mtu/nchi??.......hii tulifundishwa miaka mingi!!...sasa hiyo ni vita ukilegea tu! misaada inapitishwa faster!! wanakulisha hata ukitaka wanakukosha kutwa mara tatu weye na familia yako hawana shida, bila kupiga mashine lengo ni usahau kuoga mwenyewe, siku ukiwafukuza watu km hao familia yako haitakuelewa zaidi watakuhasi kabisaaa na kuona una roho mbaya kuwafukuza wanaowaosha bure tena vizuri mno je hujachwaa hapo mpweke??........Misaada ni siraha kubwa sana ya kumtandika adui yakooooo kijana!!...jifunze kuwa makini!
 
Sawa.
 
Black Market itashamiri sana kipindi hiki
Hununui mafuta alafu bado Una nunua gesi kutoka kwake kweli western mwaka huu wamepatikana unanunua ngano, mafuta ya Kula, makaa ya mawe, gesi si angeacha kununua vyote tuone kama wao ni jeurii sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…