G7 yapiga marufuku ununuzi wa mafuta Urusi

G7 yapiga marufuku ununuzi wa mafuta Urusi

Mahitaji ya mafuta yataendelea kupungua duniani kutokana na kuongezeka kwa teknolojia bila kujali swala la Russia na Ukraine na ndio maana mataifa ya kiarabu tayari yameanza kujipanga.

Kufikia mwaka 2035 Ulaya, Marekani, Canada, Japan na Australia watapiga marufuku utengenezaji wa magari yote yanayotumia nishati ya mafuta.

Hivyo mataifa yanayotegemea mafuta kama njia kuu ya kujiingizia mapato yatakuwa na wakati mgumu sana kwani mapato yao yataporomoka.

Magari yanakuja ya kutumia nishati ya umeme na jua na pia majumbani umeme wa jua ndio utakaotumika na kupelekea makampuni kama Tanesco kufa.
 
Si rahisi na haiwezekani nchi kufa. Lakini maisha ya watu huwa magumu sana. Hizo nchi ulizozitaja ni nchi zinazotawaliwa kwa mkono wa chuma na habari hudhibitiwa raia wasijue ukweli wa mambo ya nje wala ya ndani. Serikali hutumia sehemu kubwa ya bajeti (%) kwenye silaha na vyombo vya dola.

Raia wake wengi huhangaika kukimbilia nchi zilizoendelea kama wakimbizi wa kiuchumi. Hakuna mtu toka nchi nyingine anayetaka kwenda kuishi huko.

Inashangaza. Hadi eo hii Warusi wengi hawajui nchi yao iko vitani na Ukraine. Wanajua kuna kikosi kiko kwenye operesheni maalum ya kufagia maNazi na magaidi huko Ukraine. Waliobahatika kuona picha za miji ya Ukraine ilivyobomolewa na maelfu ya maiti za raia wanaambiwa ni kazi ya majeshi ya Ukraine.
Nyie watu ban
Hv hapa DUNIANI kuna nchi yenye bajeti kubwa kwenye ulinzi na usalama kama US ipo!!?
Hv VIKWAZO mnavyosema vinadumaza nyue mmeekewa vikwazo gani mbna mnamaisha magumu kulilo waloekewa vikwazo umewahi kukanyaga IRAN kama IRAN inavikwazo ile sibora nanyie muombe kuekewa pengine mtapata bahati yakua kama wao
Sijui upo nchi gani hapa AFRIKA ila nikwambie huizidi chochote hapo nchini kwako IRAN yenye vikwazo kwenye angle yeyote ya KIUCHUMI
Yaani mmekua wahanga wa PROPAGANDA mpaka tunawaonea huruma
Nachelea kusema hakuna nchi ya AFRIKA inayoizidi IRAN hii nnayoijua mie KIUCHUMI labda labda SA pekeao tena labda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mahitaji ya mafuta yataendelea kupungua duniani kutokana na kuongezeka kwa teknolojia bila kujali swala la Russia na Ukraine na ndio maana mataifa ya kiarabu tayari yameanza kujipanga.

Kufikia mwaka 2035 Ulaya, Marekani, Canada, Japan na Australia watapiga marufuku utengenezaji wa magari yote yanayotumia nishati ya mafuta.

Hivyo mataifa yanayotegemea mafuta kama njia kuu ya kujiingizia mapato yatakuwa na wakati mgumu sana kwani mapato yao yataporomoka.

Magari yanakuja ya kutumia nishati ya umeme na jua na pia majumbani umeme wa jua ndio utakaotumika na kupelekea makampuni kama Tanesco kufa.
MPAA tufike 2035.mtasema ikifika 2055 bila oil hamna maendeleo we hujui Oil Ina mambo mengi sana si mafuta tu kama unavyo fikiria. Gas ndio imekuja kuanza kutumika afu unasema ikifika 2035 basi Tena.
 
Sijui watu tatizo ni shule au ni nini, kwani kati ya muuzaji na mnunuzi, anayemhitaji mwenzie zaidi ni nani? Si anayeuza? Tafsir ya kuuza ni kwamba wewe una uhitaji, usipokuwa na uhitaji huwezi kuuza.

Russia ktk hili ndio muathirika zaidi, ni vile tu nchini kwake vyombo vya habari vyote vimezimwa kutoa ripoy negative ktk hii inayoitwa operation.

Hawa vijana wanaojiita mashabiki wa putin wanapaswa kutazama hili sakata kwa mapana.
Kweli Tanzania elimu yetu inahitaji mageuzi makubwa. Nadhani ushabiki wako wa ushoga umekufanya kuandika utumbo huu...!!!
Wakiacha kununua mafuta ya Russia,tegemea wizi wa mafuta na mauaji(vita) ya kutisha kwenye nchi zenye mafuta. Hao ni mashetani wasiojali. Tatizo Russia hawawezi mletea ubabe. Mtokoma ninyi mnaowaona miungu watu.

Na ukumbuke, kuna bidhaa ukiwa nayo, wewe ndio utatafutwa na wateja. Sio kutafuta wateja.

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
 
Kama urussi ana jeuri angegoma kuwauzia hizo bidhaa nchi za magharibi.

Yani watu wakuwekee vikwazo, washike Mali yako, wamsaidie na silaha adui yako alafu kisha bado unafanya nao biashara.

Hapa urussi kashikishwa ukuta
Wewe ushawahi kubembelezwa ununue unga wake au unanunua kwa shida zako mwenyewe? Kama kweli jeuri agome kununua kama hajafa njaa
 
Nchi zote haziaminiani. Italy kuna maandamano , Ujerumani upungufu wa chakula ,

Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
Hili la GERMAN 100% niukweli mtupu leo nlikua na jamaa yangu alikua huko GERMAN
Huyu bwana hana team yeyote nikamuuliza tu kwenye kumdadisi akasema now changamoto ughali wa maisha na ukosefu wa huduma muhimu hasa kwenye kula
EU ipo matatani(naamini hv haya sio mawazo yahuyo bwana hapana niyakwangu kutokana namaelezo yake mengi aliyonipa ila acha tuzidi kuona)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kesho utasikia
"Hatuwezi kususia mafuta na gas kutoka Russia, ili kulinda uchumi wa ujeruman na watu wake" Chancellor wa ujeruman.

"Japan haiwezi kuachana na mradi wake wa bomba la mafuta kutoka urusi, kwasababu ni mradi wenye masilahi mapana kwa uchumi wa taifa letu"

"USA yaendelea kuagiza mafuta Urusi japo imepunguza asilimia kama njia moja wapo ya kutounga uvamizi wa urusi nchini Ukraine" White house.

Hiyo ndo nguvu ya G7 inayopelekwa mputa mputa na Nguvu ya giant mmoja anaejulikana kama G1 A.k.A jeshi la mtu mmoja.
Hahahahahah G1 mnyama kutoka Kremlin anawapeleka mputa mputa hao machoko wa NATO
 
Sijui watu tatizo ni shule au ni nini, kwani kati ya muuzaji na mnunuzi, anayemhitaji mwenzie zaidi ni nani? Si anayeuza? Tafsir ya kuuza ni kwamba wewe una uhitaji, usipokuwa na uhitaji huwezi kuuza.

Russia ktk hili ndio muathirika zaidi, ni vile tu nchini kwake vyombo vya habari vyote vimezimwa kutoa ripoy negative ktk hii inayoitwa operation.

Hawa vijana wanaojiita mashabiki wa putin wanapaswa kutazama hili sakata kwa mapana.
Mteja ndio mfalme ,hili halina mjadala. Putin bila mteja atavimbiwa kwa kunywa mafuta anayozalisha.
 
Sasa kipindi hiki si ndiyo Mama aagize Mafuta kutoka Urusi moja kwa moja, maana wanunuzi wengine wamesusa kwa sababu zao binafsi,na soko litakua chini kidogo!!?
Urusi ndio mafuta ya bei chei sana India wenzetu wamekimbili huko af Urusi kihistoria ni jamaa zetu hatunaga noma nao the same as China😅
 
Urusi ndio mafuta ya bei chei sana India wenzetu wamekimbili huko af Urusi kihistoria ni jamaa zetu hatunaga noma nao the same as China😅
Dynamics za soko, demand ikupungua lazima bei inashuka . Sisemi mimi, kanuni za soko.
 
Akiya Channel Africa mbona soko litakuwepo la kudumu milele daima
Bora achanel to huku Africa,Mambo ya kuchagulina Marafiki au Maadui ni Mambo ya kizamani! Kama mmeaamua kupigana vita hiyo ni kimpango wenu,Mimi Kama nina shida ya Mafuta nitanunua kwa yoyote yule aliye nayo tena kwa bei nzuri tu!!
 
Mataifa yenye uchumi mkubwa Duniani yanayounda Kundi la G7 yametoa kauli ya pamoja ya kupiga marufuku au kutonunua mafuta ya Urusi ikiwa ni sehemu ya mwendelezo wa vikwazo kwa taifa hilo lililoivamia Ukraine kijeshi tangu Februari 24, 2022.

Wamechukua maamuzi hayo baada ya mkutano wao wa mtandaoni jana Mei 8, 2022 kwa kuwa wanalenga moja ya chanzo kikubwa cha Urusi kuingiza mapato.

G7 ambayo inajumuisha Nchi a Canada, Ufaransa, Ujerumani, Italia, Japan, Uingereza na Marekani imefanya kampeni hiyo ili kummaliza nguvu Rais wa Urusi, Vladimir Putin.

“Hii itakuwa na athari kubwa kwa uchumi wa Rais Vladimir Putin na kumnyima mapato anayoyahitaji kufadhili vita vyake,” inaeleza kauli ya G7 baada ya mkutano kwa njia ya mtandao.

Baada ya mkutano wao huo pia walipata nafasi ya kuzungumza na Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky ambapo wlaimjulisha juu ya mipango yao hiyo.

..................................................................................................

Leaders of the Group of Seven have committed to phasing out their countries’ dependency on Russian energy as they announced fresh sanctions as part of an “unprecedented” package of coordinated sanctions to punish Russia over its invasion Ukraine.


After meeting virtually with Ukrainian President Volodymyr Zelenskyy on Sunday, the leaders also pledged to “elevate” a campaign against Russian elites who support President Vladimir Putin.
The latest show of support for Ukraine comes as Russia prepares to celebrate the defeat of Nazi Germany during World War II.

Putin is expected to preside on Monday over a parade in Moscow’s Red Square of troops, tanks, rockets and intercontinental ballistic missiles, making a speech that could offer clues on the future of the two-month old conflict.

Source: Aljazeera
Wanapiga marufuku hadharani halafu wanapita mlango wa nyuma wanayanunua 😀
 
Back
Top Bottom