G7 yapiga marufuku ununuzi wa mafuta Urusi

G7 yapiga marufuku ununuzi wa mafuta Urusi

Sijui watu tatizo ni shule au ni nini, kwani kati ya muuzaji na mnunuzi, anayemhitaji mwenzie zaidi ni nani? Si anayeuza? Tafsir ya kuuza ni kwamba wewe una uhitaji, usipokuwa na uhitaji huwezi kuuza.

Russia ktk hili ndio muathirika zaidi, ni vile tu nchini kwake vyombo vya habari vyote vimezimwa kutoa ripoy negative ktk hii inayoitwa operation.

Hawa vijana wanaojiita mashabiki wa putin wanapaswa kutazama hili sakata kwa mapana.
Sio kweli inategemeana na aina ya soko km ni monopoly sio lazima utafute wateja wanajileta


Mfano wa monopoly ni km TANESCO hata wakukatie umeme kila siku lazma utawahitaji

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Nafahamu uchumi wa Japan ni mkubwa swala naloshangaa huyu mu Asia kaingiaje mkenge huko mbona wa Asia wenzake wanakariba tofauti sana! Au palipandikizwa nini..[emoji28]
Naam US anataman kila inchi apandikize kiongozi anaemtaka yeye, Nahisi kitu kikubwa zaidi ni Japan hakuwa na mahusiano mazuri na Russia ata kabla ya vita ya pili ya Dunia! Labda mwisho wa siku atakama alipigwa na Atomic aliamua achague kuwa Rafiki kwa aliempiga Atomic

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama urussi ana jeuri angegoma kuwauzia hizo bidhaa nchi za magharibi.

Yani watu wakuwekee vikwazo, washike Mali yako, wamsaidie na silaha adui yako alafu kisha bado unafanya nao biashara.

Hapa urussi kashikishwa ukuta
Wao ndo kama wanawake hawatoi mbele lakini wanang'ang'aniza kutoa Nyama. Sasa hata kama ni wewe utafanyaje ni kuwapelekea moto tu.
 
Naam US anataman kila inchi apandikize kiongozi anaemtaka yeye, Nahisi kitu kikubwa zaidi ni Japan hakuwa na mahusiano mazuri na Russia ata kabla ya vita ya pili ya Dunia! Labda mwisho wa siku atakama alipigwa na Atomic aliamua achague kuwa Rafiki kwa aliempiga Atomic

Sent using Jamii Forums mobile app
Heri wewe umenielewa
 
Sijui watu tatizo ni shule au ni nini, kwani kati ya muuzaji na mnunuzi, anayemhitaji mwenzie zaidi ni nani? Si anayeuza? Tafsir ya kuuza ni kwamba wewe una uhitaji, usipokuwa na uhitaji huwezi kuuza.

Russia ktk hili ndio muathirika zaidi, ni vile tu nchini kwake vyombo vya habari vyote vimezimwa kutoa ripoy negative ktk hii inayoitwa operation.

Hawa vijana wanaojiita mashabiki wa putin wanapaswa kutazama hili sakata kwa mapana.
Hii Dunia ni kubwa Sana mkuu na mahitaji ya mafuta ni makubwa Sana na ndo maana Bei inepanda. Hizo nchi zote Sana idadi ya watu wao hawaifikii hata India. Nchi kibaao zimewekewa vikwazo lakini zinadunda tu. Mtakoma kulinga mwaka huu.
 
Kama urussi ana jeuri angegoma kuwauzia hizo bidhaa nchi za magharibi.

Yani watu wakuwekee vikwazo, washike Mali yako, wamsaidie na silaha adui yako alafu kisha bado unafanya nao biashara.

Hapa urussi kashikishwa ukuta

Jeuri ni tabia yetu huku wenzao wana cheza na fulsana uchumi anauza kwa pesa yake imefanya ipande dhamani
 
Hununui mafuta alafu bado Una nunua gesi kutoka kwake kweli western mwaka huu wamepatikana unanunua ngano, mafuta ya Kula, makaa ya mawe, gesi si angeacha kununua vyote tuone kama wao ni jeurii sana
elewa , wanalenga kupunguza chanzo cha mapato chake
 
Japan ina uchumi mkubwa sana, Japan mda mrefu alipiga hatua ya Tecnolojia ila USA mara baada kuipaga na Atomic Bomb pale Hiroshima ndiyo wakaingia mikataba kuwa asiendeleze siraha zake mpaka apate idhini ya USA.

Ukiangalia mfumo aliujenga Marekani ni kuwa mataifa yawe yanamtegemea yeye! Yeye anaweza unda siraha zozote bila kuulizwa na mtu na asifatiliwe ila wakiunda wengine hataki cos anaona kabisa ikosiku mtakorofishana na utamchapa nazo, ila siraha zako zikiwa hafifu anajua utamhofia tu.

Sent using Jamii Forums mobile app

US inazuia nchi zingine zisiunde silaha kivipi? Nayo si nchi tu? Kama ni hivyo, hakuna nchi nyingine ya kuigomea au kuizuia US nayo isiunde silaha?
 
Tatzo pro rusia wengi Wana uelewa mdogo. Kama rusia ni mbabe si akatae kuwauszia kama. Anajitisheleza. Make NATO na USA wao hua wanakupiga burn. Hawakuuzii kabisa. Rusia anabweka lkn anawauzia. Si akatae ili tuone ubabe wake.

Tambua kua uchumi wa Russia ni mdogo mno. Putin akili yote. Uwezo wote kawekeza kwenye jeshi. Hahangaiki kuimarisha uchum

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Ongezea kuwa ndani ya huo uchumi mdogo, Ufisadi ni mzito Russia, kuna kigenge kinajipigia tu pesa. Wewe tazama gas na mafuta anayomiliki russia, bado kiuchumi katupwa na mjapan hana rasilimali hata.
 
Hapa ndipo tatizo lilipo, mtanzania wa kawaida kuona ana akili kuliko viongozi wa mataifa hayo na systems zao zote.

Hivi wewe unahisi hao jamaa wana akili sana? Angalia mambo yao tu ktk huu mgogoro ndio utaona walivyo watupu.
 
Kama wanaweka vikwazo, Ili tuwaone wako sirious wangeweka na vikwazo vya kuagiza mbolea na Gas kutoka Russia. Lakini hicho wanqchofanya ni unafiki kwa UKRAINE, wapeleke na majeshi yao kabisa wamtoe PUTIN Ukraine wamfuate mpaka Russia wamchakaze Ili asirudie kwa nchi nyingine. Tofauti nahapo wanafanya unafiki wakumkopesha silaha Ukraine Ili OP ikiisha waangalie namna gani watalipwa.
Gas mpaka September haitanunuliwa,kila kitu mipango.
 
Naam US anataman kila inchi apandikize kiongozi anaemtaka yeye, Nahisi kitu kikubwa zaidi ni Japan hakuwa na mahusiano mazuri na Russia ata kabla ya vita ya pili ya Dunia! Labda mwisho wa siku atakama alipigwa na Atomic aliamua achague kuwa Rafiki kwa aliempiga Atomic

Sent using Jamii Forums mobile app
Pesa ina ushawishi, US ana pesa ndo maana ana influenc ya kutosha. After WW II yeye ndo aliishika mkono ulaya yote. Usione Ulaya ni kondoo kwa US, wanakumbuk fadhila.
 
Tatzo pro rusia wengi Wana uelewa mdogo. Kama rusia ni mbabe si akatae kuwauszia kama. Anajitisheleza. Make NATO na USA wao hua wanakupiga burn. Hawakuuzii kabisa. Rusia anabweka lkn anawauzia. Si akatae ili tuone ubabe wake.

Tambua kua uchumi wa Russia ni mdogo mno. Putin akili yote. Uwezo wote kawekeza kwenye jeshi. Hahangaiki kuimarisha uchum

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Kwanini wamagharibi wasigomee mafuta muda huu kudhoofisha kabisa harakati za RUSSIA pale UKRAINE
Shida yenu mnaangalia hili jambo kishabiki RUSSIA hajamuekea mtu kikwazo hvyo pesa anachukua kama kawaida waliomuekea VIKWAZO ndio wagomee mafuta
Jamaa kaeka sharti NO RUBO NO WESE nawaliogoma wamekatiwa huduma
Kwamaana hio wanunuzi walobakia wamefata matakwa ya RUSSIA
Glenn mie sina ushabiki MKUU natoa hoja kulingana na ninayo yaona na ninayo yasikia kwawatu nje ya media
Muda sio mrefu nilikua na jamaa yangu mmoja hapa karejea toka BERLIN huyu nimmoja wawatu nnao wauliza sana yanayoendelea huko KIUCHUMI
Kama utaona natoa ushabiki nisababu hoja zangu zinapingana nazako ndio maana ila sio mbaya nakubali kutokukubaliana!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kama kabipanga si awapige burn ya ges na mafuta. Anajua kabisa NATO kapeleka silaha. Lkn bado unamuumzia ges na mafuta na mbolea. Si umpige burn kama wew ni mwanaume.

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Nyie vijana bana
NATO hao hao wakati wanataka kumtoa Assad pake SYRIA mkubwa PUT IN alipeleka jeshi uliona kipi cha ajabu kwa NATO kuelekea kwa RUSSIA!!!??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom